Tetesi: Chukueni hii ya Moto Moto kabisa. Inonga, Kapombe, Chama, Manula na Baleke miamala yao ilisoma mapema sana

Tetesi: Chukueni hii ya Moto Moto kabisa. Inonga, Kapombe, Chama, Manula na Baleke miamala yao ilisoma mapema sana

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Asante sana Wewe Mchezaji Mwandamizi Simba SC na Kiongozi (Mjumbe) wa Bodi ya Simba SC kwa kunipa Taarifa hii muhimu sana.

Laana zangu Kali GENTAMYCINE ziwaendee na nina uhakika zitawaathiri mno nyie wachezaji kwa mlichokifanya.

Halafu kabla GENTAMYCINE sijaja na Exclusives zingine Kubwa Mbili naomba kujua ni kwanini Siku Tatu kabla Kipa Aishi Manula alisema hataki kudaka ila Usiku wa kuelekea katika Mechi Yeye na Kiongozi mkubwa wa Simba SC na Rafiki yake mwenye ukaribu wa Kibiashara na Kiongozi Mmoja wa Yanga SC walienda kwa Kocha Mkuu na kutaka apangwe Manula Golini wakati tayari Kocha alikuwa ameshaamua kuwa Kipa All Salim ndiyo adake Jana?

GENTAMYCINE nikikuletea Taarifa hapa nakuomba uichukue kwa 100% kwani sibahatishi na Chanzo changu cha hii Taarifa ni Mchezaji Mwandamizi kabisa aliyeko ndani yao (Kikosini) kabisa.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!
 
Simba, kama timu, mwaka huu haiko vizuri. Hili limeonekana kwa muda mrefu na kupigiwa makelele sana. Msemaji akaja na usemi kuwa eti timu inacheza objective football.

Nadhani ingekuwa vizuri kama nguvu zingeelekezwa kwenye kuiimarisha timu kwa kutafuta wachezaji sahihi badala ya kuanza kutafutiana lawama maana hili likifanyika hakuna marekebisho yatakayofanyika na timu itaendelea kucheza papatupapatu utafikiri wanacheza Rugby

Sent from my SM-G781U using JamiiForums mobile app
 
Nakubaliana sana na wewe mkuu maana hata kwenye changing room jersey ya Ally Salim ilikuwepo ila nimeshangaa imekuwaje.

Kwa hiyo jamaa waliuza mechi siyo?
Mkuu, hapana. Kubali matokeo. Ni goli lipi uliloona kipa kaachia makusudi?

Kapelekewa moto wa kweli mara zote hizo 5 na hakuweza kuuota. Kwani siku zote si kipa?

Kwa hiyo kwenye tu game la Yanga ndo hakubaliki?

Acheni kutafuta sababu, mmefungwa. Full stop
 
Nakubaliana sana na wewe mkuu maana hata kwenye changing room jersey ya Ally Salim ilikuwepo ila nimeshangaa imekuwaje.

Kwa hiyo jamaa waliuza mechi siyo?
Nasubiri tu kuona Members wa Jamiiforums mkinijengea Sanamu langu GENTAMYCINE kwani nawapeni Info ambazo hakuna Journalist yoyote ana Mbinu ya Kuzipata.

Kaeni tayari kwa Exclusives zangu zingine Kubwa Mbili na hizi ndizo FUNGA KAZI kabisa. Yaani GENTAMYCINE niamue Kuingia CHIMBO halafu nisitoke na Kitu cha uhakika na kweli?
 
Nasubiri tu kuona Members wa Jamiiforums mkinijengea Sanamu langu GENTAMYCINE kwani nawapeni Info ambazo hakuna Journalist yoyote ana Mbinu ya Kuzipata.

Kaeni tayari kwa Exclusives zangu zingine Kubwa Mbili na hizi ndizo FUNGA KAZI kabisa. Yaani GENTAMYCINE niamue Kuingia CHIMBO halafu nisitoke na Kitu cha uhakika na kweli?
Jenta saivi nimeanza kukuelewa we sio popoma kama wanavyodai baadhi ya member
 
Kwamba kocha alikuwa tayari na kikosi chake ila baada ya wachezaji kumuomba akakipangua!!!??? Basi shida ni kocha na si hao uliowataja.
Makocha wa Simba na Yanga hawana nguvu mbele ya Viongozi na Wachezaji Vipenzi vya Mashabiki.

Huna unachokijua kwa Soka la Bongo hivyo nakuomba kaa Kimya na Nisome ambaye nakupa Taarifa za Ndani na usizozijua.
 
Jenta saivi nimeanza kukuelewa we sio popoma kama wanavyodai baadhi ya member
GENTAMYCINE ni ZAWADI YENU KUU NA TUKUKA WANA JAMIIFORUMS WOTE KUTOKA KWA MWENYEZI MUNGU ila bahati mbaya tu Wengi wenu bado hamjalitambua hilo ila Ubarikiwe Wewe kwa kuwa wa Kwanza Kulitambua.

GENTAMYCINE "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" sawa Mkuu?
 
Kama yanga inahonga kama simba mnavyodai basi yanga ina pesa ya kuharibu. Haina hata haja ya kutafta wachezaji wa bei mbaya inaweza hata kuchukua wa mchangani ikaendelea kuhonga tu ili iwe inashinda.
Hata kwa madai haya bado maumivu yenu yanabaki pale pale.
Msitafute mchawi jipangeni....
 
Back
Top Bottom