Tetesi: Chukueni hii ya Moto Moto kabisa. Inonga, Kapombe, Chama, Manula na Baleke miamala yao ilisoma mapema sana

Tetesi: Chukueni hii ya Moto Moto kabisa. Inonga, Kapombe, Chama, Manula na Baleke miamala yao ilisoma mapema sana

GENTAMYCINE ni ZAWADI YENU KUU NA TUKUKA WANA JAMIIFORUMS WOTE KUTOKA KWA MWENYEZI MUNGU ila bahati mbaya tu Wengi wenu bado hamjalitambua hilo ila Ubarikiwe Wewe kwa kuwa wa Kwanza Kulitambua.

GENTAMYCINE "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" sawa Mkuu?
✌️
 
Simba, kama timu, mwaka huu haiko vizuri. Hili limeonekana kwa muda mrefu na kupigiwa makelele sana. Msemaji akaja na usemi kuwa eti timu inacheza objective football.

Nadhani ingekuwa vizuri kama nguvu zingeelekezwa kwenye kuiimarisha timu kwa kutafuta wachezaji sahihi badala ya kuanza kutafutiana lawama maana hili likifanyika hakuna marekebisho yatakayofanyika na timu itaendelea kucheza papatupapatu utafikiri wanacheza Rugby

Sent from my SM-G781U using JamiiForums mobile app
Kaa Kimya Mkuu huna unalolijua na kuanzia leo ukiona GENTAMYCINE nakuja na hizi Taarifa Ngumu na Nyeti uwe UNANISHUKURU, unaniombea MAISHA MAREFU kwa Mwenyezi Mungu na kunipigia SALUTE KUBWA sawa?

Sibahatishi kwa Taarifa zangu hapa.
 
Kaa Kimya Mkuu huna unalolijua na kuanzia leo ukiona GENTAMYCINE nakuja na hizi Taarifa Ngumu na Nyeti uwe UNANISHUKURU, unaniombea MAISHA MAREFU kwa Mwenyezi Mungu na kunipigia SALUTE KUBWA sawa?

Sibahatishi kwa Taarifa zangu hapa.
Mzigo mwingine kwenye soka huu paka.tupe habali za kanali wa lugalo .mpira siyo huna unacho jua acha kupotosha watu
 
Kaa Kimya Mkuu huna unalolijua na kuanzia leo ukiona GENTAMYCINE nakuja na hizi Taarifa Ngumu na Nyeti uwe UNANISHUKURU, unaniombea MAISHA MAREFU kwa Mwenyezi Mungu na kunipigia SALUTE KUBWA sawa?

Sibahatishi kwa Taarifa zangu hapa.
Za kuambiwa changanya na zako. JK rais mahiri awamu ya nne.
 
Asante sana Wewe Mchezaji Mwandamizi Simba SC na Kiongozi ( Mjumbe ) wa Bodi ya Simba SC kwa kunipa Taarifa hii muhimu sana.
Mashabiki wa Tanzania ujuaji mwingi kutaka kila mechi mchezaji lazima juu ya kiwango kile kile jambo ambalo haliwezekani hata ulaya nyie ndio mnawapa presha makocha na wachezaji wanashindwa kufanya majukumu yao ipasavyo

Mechi tatu mchezaji akifunga mnamsifia mechi inayofuata akicheza chini ya kiwango tayari mnaanza kusema kazeeka

Halafu kitu kingine timu kufungwa goli nyingi haina maana kwamba timu ni mbovu ni jambo linaloweza kutokea hata ulaya ipo hivyo
 
Simba kwa game za nje ya uwanja hamjambo aisee.

Kuna kolo mmoja hapo juu kaamini, na hili ndo tatizo kubwa. Mnaaminishan propaganda za kipuuzi badala ya kukubali kua wachezaji wenu uwezo mdogo.
 
Hata Yanga ingefungwa tungesikia tu kuwa mchezaji fulani kahongwa fedha.

Kubalini tu kuwa Yanga wako vizuri na muwape heshima yao. Msitafute mchawi, Dakika 45 za kwanza timu zote zilicheza vizuri. Kipindi cha pili Kocha wa Yanga apewe heshima yake
 
Kama yanga inahonga kama simba mnavyodai basi yanga ina pesa ya kuharibu. Haina hata haja ya kutafta wachezaji wa bei mbaya inaweza hata kuchukua wa mchangani ikaendelea kuhonga tu ili iwe inashinda.
Hata kwa madai haya bado maumivu yenu yanabaki pale pale.
Msitafute mchawi jipangeni....
Hizi ndio Ng'ombe ambazo Makonda alisema atatoa
 
MPIRA wa Miguu ni mchezo wa kipaji na Akili tu, kwenye mpira uchawi haufanyi Kazi

Yanga ina wachezaji wenye vipaji vikubwa Sana hata kwenye klabu bingwa itafika mbali mtu Kama Aziz K utamfananisha na Nani?
 
MPIRA wa Miguu ni mchezo wa kipaji na Akili tu, kwenye mpira uchawi haufanyi Kazi

Yanga inawachezaji wenye vipaji vikubwa Sana hata kwenye klabu bingwa itafika mbali mtu Kama Aziz K utamfananisha na Nani?
Ikiwa unaamini hivyo wao hawaamini hivyo na ndiyo maana walifuata maelekezo ya mganga wao waingie uwanjani kupitia mlango ule 😂.
 
Simba, kama timu, mwaka huu haiko vizuri. Hili limeonekana kwa muda mrefu na kupigiwa makelele sana. Msemaji akaja na usemi kuwa eti timu inacheza objective football.

Nadhani ingekuwa vizuri kama nguvu zingeelekezwa kwenye kuiimarisha timu kwa kutafuta wachezaji sahihi badala ya kuanza kutafutiana lawama maana hili likifanyika hakuna marekebisho yatakayofanyika na timu itaendelea kucheza papatupapatu utafikiri wanacheza Rugby

Sent from my SM-G781U using JamiiForums mobile app

Naungana na wewe mkuu..
Simba ni mbovu tangu muuza mbilimbi wa brazil apewe kuifundisha. Simba mechi zote tunashinda kwa bahati na mda wote tumekuwa tukishambuliwa.
Hata mechi ya ngao ya hisani Tanga, ni kuwa Yanga haikuwq na bahati tu, walipata chance Kibao ila hawakufunga.

Kocha ndio mzigo, kocha hajui anataka nini, kocha sub zake mara zote za kijinga. Timu ikipata goli ama ikisawazisha, basi ina relax. Ikipoteza mpira basi, wanakabia kwa macho.
Hizi goli 5 ana zaidi ilikuwa ni swala la muda tu.

Timu haileweki inacheza mfumo gani, timu inacheza kama watoto wa shule wamekusanywa Pahali wanacheza gombania goli. Team haina fitness. Kwahiyo kusema wamehongwa sioni mantiki, maana hata bila kuhongwa Yanga ni nzuri mara 100 ya Simba.

Tunachojiuliza ni kwann uongozi unaendelea kumnangania kocha ambaye hana maajabu. Kocha anayeshindwa kujua Wazee awachzeshe mechi ipi, waanzie sub au waanze. Chapombe, amechoka kabisa lakn kila mechi anaanza. Boko umri haufai tena kuchezea Simba. Mechi na al Ahly, kila mpira aliopewa Boko alipoteza ana alishindwa kukontrol, lakn muuza mbilimbi wa brazil hakuna.

Mohamed Hussein kila mechi anaanzishwa, hatikatai ni mzuri sana, ila lazma na wengine wacheze kwny nafasi yake ili siku akiumia au akiwa na kadi Pengo lake lisionekane.

Kimsingi timu inacheza mpira papatu papatu, haina maarifa. Hilo la rushwa ni kuwaharibia tu watu ili kuwajengea chuki. Otherwise ushahidi uwekwe.
 
Yaani mtu huyo huyo mmoja hajui asimamie wapi nyuzi kibao anaanzisha halafu zote zinapingana, huo sio uanamichezo aisee

Yaani mtu hiyo huyo anasema tumefungwa kwasababu wachezaji wa Yanga walikuwa ni bora kuliko wa Simba
Huyo huyo mmoja anasema Yanga wana kocha mzuri kuliko Simba
Halafu huyo huyo mtu anakuja na uzi wa Simba kafungwa sababu ya wachezaji wameuza mechi.


 
Naomba utulie kaka tutafakari tulipokosea.

Utaandika kila kitu utaonekana mwehu.

Mashauri ungepata utulivu ujue makosa yako wapi.
 
Mkuu,hapana. Kubali matokeo. Ni goli lipi uliloona kipa kaachia makusudi? Kapelekewa moto wa kweli mara zote hizo 5 na hakuweza kuuota. Kwani siku zote si kipa? Kwa hiyo kwenye tu game la Yanga ndo hakubaliki? Acheni kutafuta sababu,mmefungwa. Full stop
Manula amekuwa mapumziko kwa matatibabu muda mrefu sasa, hakupaswa kurejea uwanjani kwa kuanzia na mechi kubwa yenye presha kama hii ya derby, kwanini Ally Salim hakudaka jana na alikuwa siyo majeruhi na tiyari alishapangwa kuwa yeye ndiye atakayekaa langoni?
 
Kama yanga inahonga kama simba mnavyodai basi yanga ina pesa ya kuharibu. Haina hata haja ya kutafta wachezaji wa bei mbaya inaweza hata kuchukua wa mchangani ikaendelea kuhonga tu ili iwe inashinda.
Hata kwa madai haya bado maumivu yenu yanabaki pale pale.
Msitafute mchawi jipangeni....
Nakazia
 
Back
Top Bottom