Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukweli wanaujua sema tu wanajitoa ufahamuSimba imeponzwa na dharau na kujifanya wao ni makamu Bingwa wa afrika hawafungiki.
Sababu
*yanga ni kibonde wa ihefu na sio wa kuifunga simba
*yanga anaupiga mwingi lakini mlaini kama chapati za maji na ngao ya jamii aliitema
*Simba haijapoteza mbele ya Al ahly mabingwa wa kihistoria afrika sembuse yanga utopolo mabingwa wa kihistoria Tanzania
*kmc na kina Jkt na kina asas walipewa bahasha
*Al merreikh ni wakimbizi wa vita hawafanyi mazoezi
*kufika fainali kombe la malooser aka kombe la mbuzi lenye marumo walioshuka daraja
*kwa mkapa hatoki mtu
*mayele hayupo na nabi hayupo
*simba ni wa kimataifa
Mpira ni effort na performance sio historia na maneno
Wacha wajifarijiMasikini. Kweli Simba ina mashabiki machiz wote. Ndio wa kumuelewa huyu anaruka ruka tu?. Unasahau juzi kaamdika nini? Leo atageuza kile alichokiandika jana. Poleni. Ngoja waje Azam wawagonge muwafukuze wachezaji wote
SawaNa Simba walipowafunga msimu huu na uliopita mbona hamkukubali kuwa wako vizuri na hamkuwapa heshima yao, anyway subirini tarehe 1/12 mtakapokutana na Al Ahly ndio mtaujua uwezo halisi wa timu yenu maana hamtaki kuamini kwamba jana mliwafunga sababu ya Manula, tukutane CAFCL mkuu
Mechi imeuzwa kipa katoka kupona nyonga harafu unataka adake mechi ngumu nakubaliana na mkuu gentaKumbe kipa alishasanuka ni kina kirefu wakamlazimisha avuke daaah!
Kipa asilaumiwe kila akijaribu kuruka wapi mpira wavuni mara tano(05) [emoji2][emoji2]
Wakati mwingine uache upuuzi kwa mambo muhimu. Huna maanaAsante sana Wewe Mchezaji Mwandamizi Simba SC na Kiongozi ( Mjumbe ) wa Bodi ya Simba SC kwa kunipa Taarifa hii
Tatizo la simba inawekeza kwenye msneno sana timu ilianza kuonyesha udhaifu wiki mbili zilizopita kwenye mchezo dhidi ya al ahaly timu inahitaji kuongeza utimamu wa kimwili mabeki wa mwisho hawana muunganiko na viuongo lipo gape kubwa sana beki moja ya pembeni mfano ile mechi ya ahaly zilipigwa kona fupi nne na hakuna aliyeshughulika kukaba zote ni chochoro,timu yote inabebwa na kibu D unategemea wa kubadili matokeo ni miqsson au onana jipangeni mnunue wachezaji wa viwango sio maneno ya ahmed alliy yawaaminishe mna timu mpira hauchezwi chumbani hizo fikra zako ina maana nyie pia mnatoa miamala yanga kufungwa na simba zaidi ya goli nne ni mara kibao!Asante sana Wewe Mchezaji Mwandamizi Simba SC na Kiongozi ( Mjumbe ) wa Bodi ya Simba SC kwa kunipa Taarifa hii muhimu sana.
Acha upuuzi na weweNakubaliana sana na wewe mkuu maana hata kwenye changing room jersey ya Ally Salim ilikuwepo ila nimeshangaa imekuwaje.
Kwa hiyo jamaa waliuza mechi siyo?
Ona jinga hili, unaingizwa mkenge na wewe unajaa kama zezeta. Kwahiyo golikipa wa akiba huwa havai jezi?Nakubaliana sana na wewe mkuu maana hata kwenye changing room jersey ya Ally Salim ilikuwepo ila nimeshangaa imekuwaje.
Kwa hiyo jamaa waliuza mechi siyo?
Kama Aliyekuzaa.Ww ni kichaa
Nakuomba iamini Taarifa yangu 100% sawa?Ni kweli tumefungwa lkn kufungwa huku Kuna namna ipo sio bure. Hawa wachezaji wa kigeni wachunguzwe hasa Inonga
Zimefika mkuu..swalama huko?,Mkuu nakusalimia huko ulipo
Acha uchochezi ...Asante sana Wewe Mchezaji Mwandamizi Simba SC na Kiongozi (Mjumbe) wa Bodi ya Simba SC kwa kunipa Taarifa hii muhimu sana.
Laana zangu Kali GENTAMYCINE ziwaendee na nina uhakika zitawaathiri mno nyie wachezaji kwa mlichokifanya.
Halafu kabla GENTAMYCINE sijaja na Exclusives zingine Kubwa Mbili naomba kujua ni kwanini Siku Tatu kabla Kipa Aishi Manula alisema hataki kudaka ila Usiku wa kuelekea katika Mechi Yeye na Kiongozi mkubwa wa Simba SC na Rafiki yake mwenye ukaribu wa Kibiashara na Kiongozi Mmoja wa Yanga SC walienda kwa Kocha Mkuu na kutaka apangwe Manula Golini wakati tayari Kocha alikuwa ameshaamua kuwa Kipa All Salim ndiyo adake Jana?
GENTAMYCINE nikikuletea Taarifa hapa nakuomba uichukue kwa 100% kwani sibahatishi na Chanzo changu cha hii Taarifa ni Mchezaji Mwandamizi kabisa aliyeko ndani yao (Kikosini) kabisa.
Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!