Badala ya kujifukuza wao viongozi eti wanawafukuza wachezaji ili wanachama wao wasione uzembe wa viongozi wao kwa kusajili hovyo .
Chama alitaka kusawazisha kwa free kick Diarra akafanya save ya maana ikawa kona iliyoleta goli !
Manula amefanya save nyingi za hatari , yale magoli Hata Andre onana asingeweza kufuta !
Dakika 20 za mwisho wachezaji wa simba walikuwa hoi poor fitness maanake maandalizi yalikuwa duni uwezo wa mwili ulikuwa umefika Kikomo zingeongezwa dakika 30 wangepigwa 5 nyingine jumla ikawa 10!, lakini hapo sio kosa la mchezaji ni kosa la Mwalimu wa viungo.
Kwahiyo mwalimu wa viungo sawa ni halali kufukuzwa.