Tetesi: Chukueni hii ya Moto Moto kabisa. Inonga, Kapombe, Chama, Manula na Baleke miamala yao ilisoma mapema sana

Tetesi: Chukueni hii ya Moto Moto kabisa. Inonga, Kapombe, Chama, Manula na Baleke miamala yao ilisoma mapema sana

Asante sana Wewe Mchezaji Mwandamizi Simba SC na Kiongozi (Mjumbe) wa Bodi ya Simba SC kwa kunipa Taarifa hii muhimu sana.

Laana zangu Kali GENTAMYCINE ziwaendee na nina uhakika zitawaathiri mno nyie wachezaji kwa mlichokifanya.

Halafu kabla GENTAMYCINE sijaja na Exclusives zingine Kubwa Mbili naomba kujua ni kwanini Siku Tatu kabla Kipa Aishi Manula alisema hataki kudaka ila Usiku wa kuelekea katika Mechi Yeye na Kiongozi mkubwa wa Simba SC na Rafiki yake mwenye ukaribu wa Kibiashara na Kiongozi Mmoja wa Yanga SC walienda kwa Kocha Mkuu na kutaka apangwe Manula Golini wakati tayari Kocha alikuwa ameshaamua kuwa Kipa All Salim ndiyo adake Jana?

GENTAMYCINE nikikuletea Taarifa hapa nakuomba uichukue kwa 100% kwani sibahatishi na Chanzo changu cha hii Taarifa ni Mchezaji Mwandamizi kabisa aliyeko ndani yao (Kikosini) kabisa.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!
Na kocha chali. Naona Mgunda akirejea.
 
Nakubaliana sana na wewe mkuu maana hata kwenye changing room jersey ya Ally Salim ilikuwepo ila nimeshangaa imekuwaje.

Kwa hiyo jamaa waliuza mechi siyo?
Nchi hii, Leo Ally Salim amekuwa wakuliliwa? si juzi tu mlikuwa mnasema Manula arudi. Kwanza hakuna hata goal moja unaweza kumlaumu Manula, yalikuwa ma goal ya kawaida kipa yoyote anaweza kufungwa.
 
Msimbazi hali ni tete.

5G ni hatari kubwa!
IMG-20231107-WA0064.jpg
IMG-20231107-WA0053.jpg
IMG-20231107-WA0054.jpg
IMG-20231107-WA0055.jpg
IMG-20231107-WA0059.jpg

Screenshot_20231107_163001_WhatsApp.jpg
 
Naungana na wewe mkuu..
Simba ni mbovu tangu muuza mbilimbi wa brazil apewe kuifundisha. Simba mechi zote tunashinda kwa bahati na mda wote tumekuwa tukishambuliwa.
Hata mechi ya ngao ya hisani Tanga, ni kuwa Yanga haikuwq na bahati tu, walipata chance Kibao ila hawakufunga.

Kocha ndio mzigo, kocha hajui anataka nini, kocha sub zake mara zote za kijinga. Timu ikipata goli ama ikisawazisha, basi ina relax. Ikipoteza mpira basi, wanakabia kwa macho.
Hizi goli 5 ana zaidi ilikuwa ni swala la muda tu.

Timu haileweki inacheza mfumo gani, timu inacheza kama watoto wa shule wamekusanywa Pahali wanacheza gombania goli. Team haina fitness. Kwahiyo kusema wamehongwa sioni mantiki, maana hata bila kuhongwa Yanga ni nzuri mara 100 ya Simba.

Tunachojiuliza ni kwann uongozi unaendelea kumnangania kocha ambaye hana maajabu. Kocha anayeshindwa kujua Wazee awachzeshe mechi ipi, waanzie sub au waanze. Chapombe, amechoka kabisa lakn kila mechi anaanza. Boko umri haufai tena kuchezea Simba. Mechi na al Ahly, kila mpira aliopewa Boko alipoteza ana alishindwa kukontrol, lakn muuza mbilimbi wa brazil hakuna.

Mohamed Hussein kila mechi anaanzishwa, hatikatai ni mzuri sana, ila lazma na wengine wacheze kwny nafasi yake ili siku akiumia au akiwa na kadi Pengo lake lisionekane.

Kimsingi timu inacheza mpira papatu papatu, haina maarifa. Hilo la rushwa ni kuwaharibia tu watu ili kuwajengea chuki. Otherwise ushahidi uwekwe.
Simba Simba, sio nyinyi juzi mmetoka kuipokea team kutoka Egypy m
 
Simba Simba, sio nyinyi juzi mmetoka kuipokea team kutoka Egypy m
Simba Simba, sio nyinyi juzi mmetoka kuipokea team kutoka Egypy mkasema tumetoka kwa kanuni tu. Sio Simba walisema kwanini Kapombe na Mohd Hussein hawaitwi team ya Taifa. Leo wamekuwa wazee, wamechoka... Mimi nilidhani huko tumepita mambo ya miaka ya 90. Leo team ziko level ya juu, kukubali kuna siku mechi inawakataa kabisa. Ziko team hata Barcelona, Man u, Brazil kuchezea vipigo goal 6 mpaka 7 lakini mechi inakuja nyingine wanajipanga, hatusikii haya.
 
Yaani mtu huyo huyo mmoja hajui asimamie wapi nyuzi kibao anaanzisha halafu zote zinapingana, huo sio uanamichezo aisee

Yaani mtu hiyo huyo anasema tumefungwa kwasababu wachezaji wa Yanga walikuwa ni bora kuliko wa Simba
Huyo huyo mmoja anasema Yanga wana kocha mzuri kuliko Simba
Halafu huyo huyo mtu anakuja na uzi wa Simba kafungwa sababu ya wachezaji wameuza mechi.


Hata mi huyu jamaa huwa nikipitia nyuzi zake hubaki na alama flani ya kujiuliza maana hukinzana sana hasimami na hoja 1.
 
Nasubiri tu kuona Members wa Jamiiforums mkinijengea Sanamu langu GENTAMYCINE kwani nawapeni Info ambazo hakuna Journalist yoyote ana Mbinu ya Kuzipata.

Kaeni tayari kwa Exclusives zangu zingine Kubwa Mbili na hizi ndizo FUNGA KAZI kabisa. Yaani GENTAMYCINE niamue Kuingia CHIMBO halafu nisitoke na Kitu cha uhakika na kweli?
JF wakupe tu kila mwaka tuzo yako ya jukwaa la Sports.
GENTAMYCINE
 
Kufungwa hatukatai, lakini kugongwa goli tano ni aibu mno!

Vs Azam zinakuja kuwa mara mbili yake ikiwa mpira utachezwa kama ule vs Yanga.
 
Asante sana Wewe Mchezaji Mwandamizi Simba SC na Kiongozi (Mjumbe) wa Bodi ya Simba SC kwa kunipa Taarifa hii muhimu sana.

Laana zangu Kali GENTAMYCINE ziwaendee na nina uhakika zitawaathiri mno nyie wachezaji kwa mlichokifanya.

Halafu kabla GENTAMYCINE sijaja na Exclusives zingine Kubwa Mbili naomba kujua ni kwanini Siku Tatu kabla Kipa Aishi Manula alisema hataki kudaka ila Usiku wa kuelekea katika Mechi Yeye na Kiongozi mkubwa wa Simba SC na Rafiki yake mwenye ukaribu wa Kibiashara na Kiongozi Mmoja wa Yanga SC walienda kwa Kocha Mkuu na kutaka apangwe Manula Golini wakati tayari Kocha alikuwa ameshaamua kuwa Kipa All Salim ndiyo adake Jana?

GENTAMYCINE nikikuletea Taarifa hapa nakuomba uichukue kwa 100% kwani sibahatishi na Chanzo changu cha hii Taarifa ni Mchezaji Mwandamizi kabisa aliyeko ndani yao (Kikosini) kabisa.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!
wewe unachangia kuharibu mpira wa nchi hii kwa kujifanya unajua sanaa. ARSENAL ILISHAWAHI KUFUNGWA 8 NA MAN U Tuseme nao walihongwa? tuache ujuaji kwenye mambo yanayohusu kazi za watu
 
Asante sana Wewe Mchezaji Mwandamizi Simba SC na Kiongozi (Mjumbe) wa Bodi ya Simba SC kwa kunipa Taarifa hii muhimu sana.

Laana zangu Kali GENTAMYCINE ziwaendee na nina uhakika zitawaathiri mno nyie wachezaji kwa mlichokifanya.

Halafu kabla GENTAMYCINE sijaja na Exclusives zingine Kubwa Mbili naomba kujua ni kwanini Siku Tatu kabla Kipa Aishi Manula alisema hataki kudaka ila Usiku wa kuelekea katika Mechi Yeye na Kiongozi mkubwa wa Simba SC na Rafiki yake mwenye ukaribu wa Kibiashara na Kiongozi Mmoja wa Yanga SC walienda kwa Kocha Mkuu na kutaka apangwe Manula Golini wakati tayari Kocha alikuwa ameshaamua kuwa Kipa All Salim ndiyo adake Jana?

GENTAMYCINE nikikuletea Taarifa hapa nakuomba uichukue kwa 100% kwani sibahatishi na Chanzo changu cha hii Taarifa ni Mchezaji Mwandamizi kabisa aliyeko ndani yao (Kikosini) kabisa.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!
Jisome kwanza hapa halafu urudi kusoma thread yako tena


Tukubali hoja ipi kati ya hizo zote?
 
Asante sana Wewe Mchezaji Mwandamizi Simba SC na Kiongozi (Mjumbe) wa Bodi ya Simba SC kwa kunipa Taarifa hii muhimu sana.

Laana zangu Kali GENTAMYCINE ziwaendee na nina uhakika zitawaathiri mno nyie wachezaji kwa mlichokifanya.

Halafu kabla GENTAMYCINE sijaja na Exclusives zingine Kubwa Mbili naomba kujua ni kwanini Siku Tatu kabla Kipa Aishi Manula alisema hataki kudaka ila Usiku wa kuelekea katika Mechi Yeye na Kiongozi mkubwa wa Simba SC na Rafiki yake mwenye ukaribu wa Kibiashara na Kiongozi Mmoja wa Yanga SC walienda kwa Kocha Mkuu na kutaka apangwe Manula Golini wakati tayari Kocha alikuwa ameshaamua kuwa Kipa All Salim ndiyo adake Jana?

GENTAMYCINE nikikuletea Taarifa hapa nakuomba uichukue kwa 100% kwani sibahatishi na Chanzo changu cha hii Taarifa ni Mchezaji Mwandamizi kabisa aliyeko ndani yao (Kikosini) kabisa.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!



Kama yanga anaweza kumfunga Al ahly, kwa nini simba ionekane watu wamekula hongo?
 
Back
Top Bottom