Tetesi: Chukueni hii ya Moto Moto kabisa. Inonga, Kapombe, Chama, Manula na Baleke miamala yao ilisoma mapema sana

Tetesi: Chukueni hii ya Moto Moto kabisa. Inonga, Kapombe, Chama, Manula na Baleke miamala yao ilisoma mapema sana

ivi tangu chama aje Simba alikuwa anacheza no ngapi? achen utani simba
mwalimu hatuna maana hata All ahly
wa msimu huu ni wabovu lakini tumeshindwa kuwafunga, mwalimu anakazania na mfumo wake wa 4.2.3.1
wakati hana watu wa aina hiyo.
basi kama umeamua kumchezesha chama pembeni basi tumia 4.3.3 naona hii itafaa zaid mana niliona kule misri tulitumia mfumo huo ndani ya dakika 5 tukapata,
kila mechi Simba ikishinda ni mbambamba tu lakini sio kwa kutafuta, kama hatobadilika aisee tutakoma.
 
Simba imeponzwa na dharau na kujifanya wao ni makamu Bingwa wa afrika hawafungiki.
Sababu

*yanga ni kibonde wa ihefu na sio wa kuifunga simba

*yanga anaupiga mwingi lakini mlaini kama chapati za maji na ngao ya jamii aliitema

*Simba haijapoteza mbele ya Al ahly mabingwa wa kihistoria afrika sembuse yanga utopolo mabingwa wa kihistoria Tanzania

*kmc na kina Jkt na kina asas walipewa bahasha

*Al merreikh ni wakimbizi wa vita hawafanyi mazoezi

*kufika fainali kombe la malooser aka kombe la mbuzi lenye marumo walioshuka daraja

*kwa mkapa hatoki mtu

*mayele hayupo na nabi hayupo

*simba ni wa kimataifa


Mpira ni effort na performance sio historia na maneno
 
Asante sana Wewe Mchezaji Mwandamizi Simba SC na Kiongozi ( Mjumbe ) wa Bodi ya Simba SC kwa kunipa Taarifa hii muhimu sana.



Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!
Maneno ya mtu aliyeshindwa. Simba ni mdebwedo na nilishawahi kukuambia. Yaani mpaka matano!
 
Nasubiri tu kuona Members wa Jamiiforums mkinijengea Sanamu langu GENTAMYCINE kwani nawapeni Info ambazo hakuna Journalist yoyote ana Mbinu ya Kuzipata.

Tunakuaminia sana, wasanue wote. Haiwezekani watupe aibu kubwa hivi
 
Manula amekuwa mapumziko kwa matatibabu muda mrefu sasa, hakupaswa kurejea uwanjani kwa kuanzia na mechi kubwa yenye presha kama hii ya derby, kwanini Ally Salim hakudaka jana na alikuwa siyo majeruhi na tiyari alishapangwa kuwa yeye ndiye atakayekaa langoni?
Mkuu kabla kikosi kutoka una uhakika gani kama alitakiwa kucheza Ally Salimu na sio Aishi Manula??

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
 
Asante sana Wewe Mchezaji Mwandamizi Simba SC na Kiongozi ( Mjumbe ) wa Bodi ya Simba SC kwa kunipa Taarifa hii muhimu sana.


Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!
Haka kajamaa huwa kajinga sana .et kwamba kana laana kali
 
Hata Yanga ingefungwa tungesikia tu kuwa mchezaji fulani kahongwa fedha.

Kubalini tu kuwa Yanga wako vizuri na muwape heshima yao. Msitafute mchawi, Dakika 45 za kwanza timu zote zilicheza vizuri. Kipindi cha pili Kocha wa Yanga apewe heshima yake
Na Simba walipowafunga msimu huu na uliopita mbona hamkukubali kuwa wako vizuri na hamkuwapa heshima yao, anyway subirini tarehe 1/12 mtakapokutana na Al Ahly ndio mtaujua uwezo halisi wa timu yenu maana hamtaki kuamini kwamba jana mliwafunga sababu ya Manula, tukutane CAFCL mkuu
 
Simba, kama timu, mwaka huu haiko vizuri. Hili limeonekana kwa muda mrefu na kupigiwa makelele sana. Msemaji akaja na usemi kuwa eti timu inacheza objective football.

Nadhani ingekuwa vizuri kama nguvu zingeelekezwa kwenye kuiimarisha timu kwa kutafuta wachezaji sahihi badala ya kuanza kutafutiana lawama maana hili likifanyika hakuna marekebisho yatakayofanyika na timu itaendelea kucheza papatupapatu utafikiri wanacheza Rugby

Sent from my SM-G781U using JamiiForums mobile app
Ama kweli wajinga na wapotoshaji hawaishi na walikuwepo enzi na enzi na watakuwapo mpaka mwisho wa dunia

Endelea kuianika CV yako mbovu
 
Mtani ww ni Mnafiki,, hakuna Cha rushwa Wala mihamala,, nyie Timu hamna nakwambia,, wale wachezaji wenu wazee hawana uwezo wa kupambana na vijana wa Yanga wengi wao walio chini ya 25 yrs
 
Nilitegemea nyuzi za Yanga ziwe nyingi sana!!!
====
Kwa hiyo Yanga ikimfunga Al Ahly atakuwa amewasomesha wachezaji wa Al Ahly miamala!!!

Simba Ina kiwango kidogo cha uchezaji...inakuzwa na jina tu.
 
Rafiki yake mwenye ukaribu wa Kibiashara na Kiongozi Mmoja wa Yanga SC walienda kwa Kocha Mkuu na kutaka apangwe Manula Golini wakati tayari Kocha alikuwa ameshaamua kuwa Kipa All Salim
Kama kocha alikubali kubadili maamuzi kwa stahili hii, basi Atimuliwe. Lakini, kama mleta mada analeta uzushi kisa kudhalilisha ushindi wa Yanga, alaaniwe na wanachama wote wa Simba.
 
Asante sana Wewe Mchezaji Mwandamizi Simba SC na Kiongozi ( Mjumbe ) wa Bodi ya Simba SC kwa kunipa Taarifa hii muhimu sana.
Wote hao we mbwiga? Basi hamna timu,mmeabakiwa na makopo. Halafu uchiz wako kuna watu wanauamini eti? Simba ina mashabiki maandazi
 
Nakubaliana sana na wewe mkuu maana hata kwenye changing room jersey ya Ally Salim ilikuwepo ila nimeshangaa imekuwaje.

Kwa hiyo jamaa waliuza mechi siyo?
Masikini. Kweli Simba ina mashabiki machiz wote. Ndio wa kumuelewa huyu anaruka ruka tu?. Unasahau juzi kaamdika nini? Leo atageuza kile alichokiandika jana. Poleni. Ngoja waje Azam wawagonge muwafukuze wachezaji wote
 
Back
Top Bottom