Hata mimi nashindwa kuelewa kitu hapaNashindwa kuunganisha kitu hapa; kama unaamini Membe ndie Bollen wakati kiuhalisia Membe is nomore, na unaposema tena Bollen anajua alipo Magufuli...
Wakati nakumbuka Membe na Magufuli walikuwa paka na panya, sasa huyu Bollen iweje acheze pande zote, ina maana huyu Bollen anawaondoa wote?
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
hata mm nashangaaSasa wewe unataka CCM ibaki madarakani ili iweje?Chama cha wezi,wauaji,wachonganishi na wauza nchi cha kazi gani?
Huyu mwamba alitumwa na Mungu hakika🖐️🤣
Ndo hapo sasa. Namshangaa huyu mleta mada analalamika. Bollen Ngetti kama anataka kuiua ccm basi aendelee kupewa nafasi zaidi ili afanikishe kazi yake.Sasa wewe unataka CCM ibaki madarakani ili iweje?Chama cha wezi,wauaji,wachonganishi na wauza nchi cha kazi gani?
Mtakoma safari hii , Wanafiki wakubwa nyie !Naona Boleni anajipigia sifa
Eti jasusi wa CIA😂😂😂😂
KWANINI TUKUAMINI?Wanabodi,
Usipuuze maneno ya mlevi apitaye njia. Msikilize na kufuatilia ayasemayo baadaye. Kuna mtu nchi hii anatumia mwamvuli ya uanahabari (cover paper) akiitwa Bollen Ngetti.
vyombo vya usalama. Bollen ameonekana kwenye Mapinduzi ya Niger, Mali na Burkinafaso. Juzi mmemuona Gaza. Lakini akiwa Tanzania ni kada wa CCM. Special Mission kukiua CCM. Niishie hapo kwa Leo.
Picha yake Ngeti kwangu nisiyemfahamu huyu mtu hatari kuliko hao unaosema anawatisha.Wanabodi,
Usipuuze maneno ya mlevi apitaye njia. Msikilize na kufuatilia ayasemayo baadaye. Kuna mtu nchi hii anatumia mwamvuli ya uanahabari (cover paper) akiitwa Bollen Ngetti.
Nimemfuatilia jamaa huyu kwa muda mrefu. Si Mwema kwa nchi yetu. Kama kuna wanaoamini Bernard Membe amefariki basi wajue Membe ni hai, na ni Bollen. Jamaa ni agent wa CIA Ukanda wa Afrika Mashariki akiangalia miradi ya USA katika masuala ya usalama. Ukifika USA embassy utamkuta pembeni benchi kama mwenzio kila siku. Huyu ndiye anajua "aliko" Magufuli.
Wanabodi, nimeamua kufunguka baada ya kujua mengi ya huyu mgeni akijiita kada wa CCM. Huyu jamaa ni maalumu kuvuruga siasa za nchi hii. CCM yumo na upinzani ni damu damu. Ameshiriki sana kumuondoa Chongolo kitini. Naomba msipuuzie maneno haya hususan vyombo vya usalama. Bollen ameonekana kwenye Mapinduzi ya Niger, Mali na Burkinafaso. Juzi mmemuona Gaza. Lakini akiwa Tanzania ni kada wa CCM. Special Mission kukiua CCM. Niishie hapo kwa Leo.
Nitakuchangia japo mzigo uwe mwingi.Kukiua ccm?
Aaah basi huyo ana mapenzi mema na nchi.
Nikimuona namnunulia ya baridi moja
Msalimie Gaidi mkuuMtakoma safari hii , Wanafiki wakubwa nyie !
Wanabodi,
Usipuuze maneno ya mlevi apitaye njia. Msikilize na kufuatilia ayasemayo baadaye. Kuna mtu nchi hii anatumia mwamvuli ya uanahabari (cover paper) akiitwa Bollen Ngetti.
akiwa Tanzania ni kada wa CCM. Special Mission kukiua CCM. Niishie hapo kwa Leo.
hiyo mission inaweza kukamilika Yes. hiyo siwezi bisha hata kidogo. Nakubali kabisaa.
Lakini inaweza kuchukua zaidi ya miaka kati ya 70 au 120 ijayo mission kutimia kwa namna hali ilivyo....
Mark my words...
huyu ndiye huyo mpuuzi? Mbona ni mtu mdogo tu na hawezi kuliangusha dude kubwa ccm. Mbona mnaichukulia ccm poa sana?
Ok vipi kuhusu huyo Bollen....mwambieni aturudishie magufuli wetu.
Ahsante sana ndugu yangu. Ndiye huyo. Soon nitawaletea picha zake akiwa Kagame, Rostam Aziz, Membe na Barack Obama. Huyu jamaa ni mzimu anayekiangamiza CCM. Mnakumbuka battle yake na Cyprian Musiba DW? Amekuwa rafiki mkubwa kwa nje kwa Chongolo mwisho SG out. Mkimtafuta Kigogo 2014 msakeni huyu. CCM tusilale.
Wanabodi,
Usipuuze maneno ya mlevi apitaye njia. Msikilize na kufuatilia ayasemayo baadaye. Kuna mtu nchi hii anatumia mwamvuli ya uanahabari (cover paper) akiitwa Bollen Ngetti.
Nimemfuatilia jamaa huyu kwa muda mrefu. Si Mwema kwa nchi yetu. Kama kuna wanaoamini Bernard Membe amefariki basi wajue Membe ni hai, na ni Bollen. Jamaa ni agent wa CIA Ukanda wa Afrika Mashariki akiangalia miradi ya USA katika masuala ya usalama. Ukifika USA embassy utamkuta pembeni benchi kama mwenzio kila siku. Huyu ndiye anajua "aliko" Magufuli.
Wanabodi, nimeamua kufunguka baada ya kujua mengi ya huyu mgeni akijiita kada wa CCM. Huyu jamaa ni maalumu kuvuruga siasa za nchi hii. CCM yumo na upinzani ni damu damu. Ameshiriki sana kumuondoa Chongolo kitini. Naomba msipuuzie maneno haya hususan vyombo vya usalama. Bollen ameonekana kwenye Mapinduzi ya Niger, Mali na Burkinafaso. Juzi mmemuona Gaza. Lakini akiwa Tanzania ni kada wa CCM. Special Mission kukiua CCM. Niishie hapo kwa Leo.
Kife tu tumechokaWanabodi,
Usipuuze maneno ya mlevi apitaye njia. Msikilize na kufuatilia ayasemayo baadaye. Kuna mtu nchi hii anatumia mwamvuli ya uanahabari (cover paper) akiitwa Bollen Ngetti.
Nimemfuatilia jamaa huyu kwa muda mrefu. Si Mwema kwa nchi yetu. Kama kuna wanaoamini Bernard Membe amefariki basi wajue Membe ni hai, na ni Bollen. Jamaa ni agent wa CIA Ukanda wa Afrika Mashariki akiangalia miradi ya USA katika masuala ya usalama. Ukifika USA embassy utamkuta pembeni benchi kama mwenzio kila siku. Huyu ndiye anajua "aliko" Magufuli.
Wanabodi, nimeamua kufunguka baada ya kujua mengi ya huyu mgeni akijiita kada wa CCM. Huyu jamaa ni maalumu kuvuruga siasa za nchi hii. CCM yumo na upinzani ni damu damu. Ameshiriki sana kumuondoa Chongolo kitini. Naomba msipuuzie maneno haya hususan vyombo vya usalama. Bollen ameonekana kwenye Mapinduzi ya Niger, Mali na Burkinafaso. Juzi mmemuona Gaza. Lakini akiwa Tanzania ni kada wa CCM. Special Mission kukiua CCM. Niishie hapo kwa Leo.