Gilbert A Massawe
JF-Expert Member
- May 14, 2015
- 5,010
- 4,083
Wagner wakipewa nguvu Bongo wapuuzi kama nyie tunawazika ( Hamas-Chadema)Tunawahitaji Wagner hapa Tanzania. CCM imetuteka nyara kwa msaada wa vyombo vya Dola, hatuna wa kutetea
Wote waliotabiria kifo Chadema wamekufaWagner wakipewa nguvu Bongo wapuuzi kama nyie tunawazika ( Hamas-Chadema)
Usichojua Wagner ipo ila wamevaa nguo za kijani ( Uvccm)
Kumbuka CCM ni chama Cha kijamaa
Picha yake ili tukikutana nae tumpishe mbali kama MasudiWanabodi,
Usipuuze maneno ya mlevi apitaye njia. Msikilize na kufuatilia ayasemayo baadaye. Kuna mtu nchi hii anatumia mwamvuli ya uanahabari (cover paper) akiitwa Bollen Ngetti.
AahaaaaaKukiua ccm?
Aaah basi huyo ana mapenzi mema na nchi.
Nikimuona namnunulia ya baridi moja
Wewe kanywe mbege tu kisha ukainamishwe siasa umeijulia wapiWagner wakipewa nguvu Bongo wapuuzi kama nyie tunawazika ( Hamas-Chadema)
Usichojua Wagner ipo ila wamevaa nguo za kijani ( Uvccm)
Kumbuka CCM ni chama Cha kijamaa
Bollen ameonekana kwenye Mapinduzi ya Niger, Mali na Burkinafaso. Juzi mmemuona Gaza. Lakini akiwa Tanzania ni kada wa CCM[emoji3064][emoji23]Wanabodi,
Usipuuze maneno ya mlevi apitaye njia. Msikilize na kufuatilia ayasemayo baadaye. Kuna mtu nchi hii anatumia mwamvuli ya uanahabari (cover paper) akiitwa Bollen Ngetti.
Nimemfuatilia jamaa huyu kwa muda mrefu. Si Mwema kwa nchi yetu. Kama kuna wanaoamini Bernard Membe amefariki basi wajue Membe ni hai, na ni Bollen. Jamaa ni agent wa CIA Ukanda wa Afrika Mashariki akiangalia miradi ya USA katika masuala ya usalama. Ukifika USA embassy utamkuta pembeni benchi kama mwenzio kila siku. Huyu ndiye anajua "aliko" Magufuli.
Wanabodi, nimeamua kufunguka baada ya kujua mengi ya huyu mgeni akijiita kada wa CCM. Huyu jamaa ni maalumu kuvuruga siasa za nchi hii. CCM yumo na upinzani ni damu damu. Ameshiriki sana kumuondoa Chongolo kitini. Naomba msipuuzie maneno haya hususan vyombo vya usalama. Bollen ameonekana kwenye Mapinduzi ya Niger, Mali na Burkinafaso. Juzi mmemuona Gaza. Lakini akiwa Tanzania ni kada wa CCM. Special Mission kukiua CCM. Niishie hapo kwa Leo.
Mnatukana sana ndugu zangu na hiyo tu ni sababu ya msingi, tena nzito sana kwa nyinyi wa wasakatonge watetezi wa wanyonge kupuuzwa sana na wananchi na kutokusikilizwa kabisa na taasisi yeyote ya umma au isiyo ya umma ispokua hiyo ya kwenu pekeyenu.....Siku JWTZ, Polisi na TISS wakisimama na kuwa neutral CCM ndio mwisho wake.
Tusi liko wapi hapo?Mnatukana sana ndugu zangu na hiyo tu ni sababu ya msingi, tena nzito sana kwa nyinyi wa wasakatonge watetezi wa wanyonge kupuuzwa sana na wananchi na kutokusikilizwa kabisa na taasisi yeyote ya umma au isiyo ya umma ispokua hiyo ya kwenu pekeyenu.....
So,
Utambulisho wenu ni mbaya mno mbele ya jamii kwasabb hiyo. Lakini pia totally hamuaminiki even kwenye taasisi yenu na vilevile hamuaminiki kabisa kwenye taasisi za umma mathalani police,
Ndio maana mkitaka kufanya chochote mnadhibitiwa strongly at a very bigining.
Kwasabu utambulisho wenu wa matusi, uharibifu na fujo ndicho hugonga vichwa vya watu wa ulinzi wakiona mnataka kufanya jambo.
Thus your Identity ukionekana popote wewe ndugu zako na taasisi yako..Tusi liko wapi hapo?
Mimi yangu macho ila nimewa-alart wenye Mamlaka. Jamaa si Mwema kwa amani ya nchi yetu. Bado Niko naye kuwaletea ayafanyayo. Wanaompuuza watakuja kujuta.Lisemwalo lipo...
Itoshe tu kusema huna akiliThus your Identity ukionekana popote wewe ndugu zako na taasisi yako..
JW, TISS, Police and other institutions wakiwaona wewe na taasisi yako wanaona, Matusi, Fujo, uharibifu at a very first place.
Ndugu yangu mwenye akili sana π€£Itoshe tu kusema huna akili View attachment 2831870
Uliahidi na nani wewe kidampa tu wa kupewa kapelo na T shirt mdebwedo kisha mnapandishwa kwenye matrekta. Wenye CCM yao wanakula mema ya nchi.Ndugu yangu mwenye akili sana [emoji1787]
makasiriko yako yakusaidie kutuliza mihemko na ghadhabu dhidi ya CCM..
Tuliahidi wananchi, tumetekeleza tunasonga mbele bila wasiwasi wala tashwishwi
YES,Uliahidi na nani wewe kidampa tu wa kupewa kapelo na T shirt mdebwedo kisha mnapandishwa kwenye matrekta. Wenye CCM yao wanakula mema ya nchi.
View attachment 2831964View attachment 2831965View attachment 2831966
nashangaa, eti taka taka kama huyu aiue ccm?.. Jabali Lowasa aliondoka na nyomi ya hatari n bado ccm ikasurvive, alafu iangushwe na huyu nguchiro, hajulikani popote zaidi ya mitandaonihuyu ndiye huyo mpuuzi? Mbona ni mtu mdogo tu na hawezi kuliangusha dude kubwa ccm. Mbona mnaichukulia ccm poa sana?
Huyo hataki kukizika ndio maana.π€Sasa wewe unataka CCM ibaki madarakani ili iweje?Chama cha wezi,wauaji,wachonganishi na wauza nchi cha kazi gani?
nashangaa, eti taka taka kama huyu aiue ccm?.. Jabali Lowasa aliondoka na nyomi ya hatari n bado ccm ikasurvive, alafu iangushwe na huyu nguchiro, hajulikani popote zaidi ya mitandaoni
.YES,
wananchi wanafurahia kula mema ya nchi, ndicho CCM ilichowaahidi na imetekeleza kwa weledi mkubwa sana na bado....
Ni kweli wananchi wenye CCM yao wanakula mema ya nchi na tshirts wanapata pia....
wananchi na waTanzania wote ndio wenye CCM yao...
Usikiskie vibaya π