[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Chadema wataibeba hii kama sera yao ya uchaguzi ukiachana na ile ya jogoo ambayo tayari mgombea wao kaahidi kumshughulikia yule Jogoo ambaye Magu alipewa kama zawadi.
Hakika ni rais bora kabisa dunia hakuna rais amewahi kula mahindi ivyo
Kama maisha yako ni mazuri Basi fanya uwasaidie wale wanaoshi chini ya dola. Sio kulaumu viongozi.Hujaelewa point yangu. Nje wanajifanya wapo na wananchi. Wakati maisha yao private ni ya juu huku wapiga kura wao hata kula mlo mmoja ni taabu. Waalimu miaka 5 hata kuongenzwa mia ya mshahara hakuna.
Mimi maisha yangu binafsi ni mazuri mno.
Hapa nawaongelea million 50 wanaoishi chini ya dola moja kwa siku.
ππ, Kazi kweli.Chadema wataibeba hii kama sera yao ya uchaguzi ukiachana na ile ya jogoo ambayo tayari mgombea wao kaahidi kumshughulikia yule Jogoo ambaye Magu alipewa kama zawadi.
Akiwauliza wananchi wake je?wanataka kupanuliwa wapi
Wanasaccos ya mtaa wa ufipa wanavituko watasema kwanini MH raisi magufuli kala mahindi [emoji23][emoji1787][emoji2960]Chadema wataibeba hii kama sera yao ya uchaguzi ukiachana na ile ya jogoo ambayo tayari mgombea wao kaahidi kumshughulikia yule Jogoo ambaye Magu alipewa kama zawadi.
Watapigwa mpaka wanyeKama hutaki lia!! sie tunakula mahindi nyie mnasubiri maelekezo ya kichaa wenu mwende mabarabarani baada ya kushindwa vibaya uchaguzi, badala mchape kazi
Mimi siyo Rais.Kama maisha yako ni mazuri Basi fanya uwasaidie wale wanaoshi chini ya dola. Sio kulaumu viongozi.
Be the part of the solution.
You did get me well.Mimi siyo Rais.
Kwani ukila mahindi unavunja sheria yoyote?!Hii siyo kawaida kwa mheshimiwa Rais kufakamia vyakula barabarani. Dumila hupita mara nyingi, lakini hatujawahi kumuona akila mahindi ya kuchoma hadharani!View attachment 1528229
Kuna uwezekano mkubwa sana, makombora yaliyoanza kurushwa kati jana na leo na mpinzani wake mkuu ndugu Tundu Lissu yameanza kuleta madhara!
CCM msaidieni mpeperushaji wa bendera yenu kwani kimbunga bado lakini kashaanza kupepesuka!
Sorry! Naomba nukuu yake japo kwa ufupi.Kiswahili alichoongea Rais leo kinahitaji kamusi.
Wewe hutaki kupanuwa magari yapite kwa urahisi?Kiswahili alichoongea Rais leo kinahitaji kamusi.
Na bado, hizi ni rasha rasha tu, mvua za vuli bado. Hapa nakumbuka zile push-up jukwaani. Ukweli ni kwamba uchaguzi ukiwa huru na wa haki bila kutumia nguvu za dola, dhulma na rushwa, CCM lazima ipigwe chali.Hii siyo kawaida kwa mheshimiwa Rais kufakamia vyakula barabarani. Dumila hupita mara nyingi, lakini hatujawahi kumuona akila mahindi ya kuchoma hadharani!View attachment 1528229
Kuna uwezekano mkubwa sana, makombora yaliyoanza kurushwa kati jana na leo na mpinzani wake mkuu ndugu Tundu Lissu yameanza kuleta madhara!
CCM msaidieni mpeperushaji wa bendera yenu kwani kimbunga bado lakini kashaanza kupepesuka!
Nitapigwa ban mkuu ππππSorry! Naomba nukuu yake japo kwa ufupi.