Ettore Bugatti
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 4,123
- 8,242
Mzee ana stressHii aliyotoa TL sijui Ni spana namba ngapi.?
Maana Kama toolbox bado haijawekwa mezani mambo yako hivi sijui zikitolewa hizo nyingine nadhani Kuna mtu atawehuka!
Duh hahah alimwaga radhi eeh?Nitapigwa ban mkuu ππππ
Atabeba zege safari hii. Anafakamia mahindi hivi alisanitize hata mikono kweli ?Hii siyo kawaida kwa mheshimiwa Rais kufakamia vyakula barabarani. Dumila hupita mara nyingi, lakini hatujawahi kumuona akila mahindi ya kuchoma hadharani!View attachment 1528229
Kuna uwezekano mkubwa sana, makombora yaliyoanza kurushwa kati jana na leo na mpinzani wake mkuu ndugu Tundu Lissu yameanza kuleta madhara!
CCM msaidieni mpeperushaji wa bendera yenu kwani kimbunga bado lakini kashaanza kupepesuka!
Walinzi ........ sana mahindi ya kuchoma jauHii siyo kawaida kwa mheshimiwa Rais kufakamia vyakula barabarani. Dumila hupita mara nyingi, lakini hatujawahi kumuona akila mahindi ya kuchoma hadharani!View attachment 1528229
Kuna uwezekano mkubwa sana, makombora yaliyoanza kurushwa kati jana na leo na mpinzani wake mkuu ndugu Tundu Lissu yameanza kuleta madhara!
CCM msaidieni mpeperushaji wa bendera yenu kwani kimbunga bado lakini kashaanza kupepesuka!
Koronya tuliiombea na Mungu alisikia maombi yetuAtabeba zege safari hii. Anafakamia mahindi hivi alisanitize hata mikono kweli ?
2015 kuna watu walipiga pushup I guess this time watu watapiga nyeto liveHii aliyotoa TL sijui Ni spana namba ngapi.?
Maana Kama toolbox bado haijawekwa mezani mambo yako hivi sijui zikitolewa hizo nyingine nadhani Kuna mtu atawehuka!
Hilo pigia mstari wapige kura wasipigwe asubuhi tuu misa ya kwamza haitatoka mtu anaapishwaJembe magufuli tunasubiri amalizie miaka yake 5 iliyobaki
Usihofu mkuu kutakuwa na mwalikoWatapigwa mpaka wanye
Ngoja asahau ang'ate hiyo mikeHii siyo kawaida kwa mheshimiwa Rais kufakamia vyakula barabarani. Dumila hupita mara nyingi, lakini hatujawahi kumuona akila mahindi ya kuchoma hadharani!View attachment 1528229
Kuna uwezekano mkubwa sana, makombora yaliyoanza kurushwa kati jana na leo na mpinzani wake mkuu ndugu Tundu Lissu yameanza kuleta madhara!
CCM msaidieni mpeperushaji wa bendera yenu kwani kimbunga bado lakini kashaanza kupepesuka!
Kuna video rejea hapo juuSorry! Naomba nukuu yake japo kwa ufupi.
Sidhani hata kama mwenyewe alielewa alichoongeaKumbe umemwelewa
Mnataka Niwapanulie WapiKampeni za maji taka!
Nilimshangaa sanaSidhani hata kama mwenyewe alielewa alichoongea
Ni stressNilimshangaa sana