Chuma Ulete: Ni kweli ipo? Ipi dawa ya kuidhibiti?


Hii ni kitu ya kufikirika zaidi kuliko uhalisia ingekua inalipa kihivyo matajiri wengi wangefilisika na kutajirisha wengine
 
Last edited by a moderator:
merengop90 naikubali sana michango yako
 
Last edited by a moderator:
Sasa hizo ndulele watu hutumia kuzuia chuma ulete, wanaziweka kwenye pesa za mauzo n.k.

Ila ukitaka kucheka chuma ulete aende kwa mtu mwenye majini au mizimu ya kwao kichwani, utaona mchakamchaka.

Ila ukitaka huwe safe zaid, jikabidhi kwa Mungu tu
 
Mm mdogowangu alipigwa laki3 za mpesa..alikua wakala na biashara ikafia hapo coz mtaj ulikua mdogo uswahilini nomasana
 
Au tura zinatumika sana kujikinga na chuma ulete

Sasa hizo ndulele watu hutumia kuzuia chuma ulete, wanaziweka kwenye pesa za mauzo n.k.

Ila ukitaka kucheka chuma ulete aende kwa mtu mwenye majini au mizimu ya kwao kichwani, utaona mchakamchaka.

Ila ukitaka huwe safe zaid, jikabidhi kwa Mungu tu
 
mshana jr niliwahi kusikia kila bank hapa Tanzania Zikizinduliwa kuna wazeee wanakuja kusimika ZINDIKO
Pia kuna tetesi Mahakama zote hapa Bongo ZIMEZINDIKWA!!

Natumai mshana jr utakuja na Thread yake kuhsu hizi Taasisi.
 
Last edited by a moderator:
mshana jr niliwahi kusikia kila bank hapa Tanzania Zikizinduliwa kuna wazeee wanakuja kusimika ZINDIKO
Pia kuna tetesi Mahakama zote hapa Bongo ZIMEZINDIKWA!!

Natumai mshana jr utakuja na Thread yake kuhsu hizi Taasisi.

Hizo habari zipo sana tu na Nazifanyia kazi ili siku nikija nije na kitu kamili
 
Last edited by a moderator:
Hizo habari zipo sana tu na Nazifanyia kazi ili siku nikija nije na kitu kamili

Hapa naona tujifunze namna ya kukanyaga madhabau za shetani kwa kutumia nguvu za mungu alieumba mbingu na nchi. Ukijua hilo wataweka vichungu vyao kutengeneza madhabahu njia panda na kwengine, WEWE UNAKANYAGA KWA SPIDI ZOTE NA KUSONGA MBELE bila kuingia katika mitego yao, vinginevyo..................
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…