Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo kuna solutions tatuHivi ndugu mshana! Inapotokea mtu anakuwa ana gundu au mikosi kwa maana ya kwamba mtu amekuwa muhanga wa bad spell cast au curse zile positive energy zake ndio zinakuwa zimegeuzwa na kuwa negative energy? Au kuna mechanism gani inakuwa imefanyika?
Just curious my dear witch expert? mshana jr
Nimeona sana mkaa ukitumika kuzuia chuma ulete kwenye vitu vingi sana hasa draw za pesa na vile vitu vinavyouzwa mikononi kama karanga nkYaaan chuma mikosi sna,nakumbuka kule kijijini miaka hiyo tukienda kusaga unga mashineni kwa mfano amboni moja,sasa mama zetu wanadestuli za ule unga kuuanika juani ukauke vizuri ili uweze kudumu kwa muda mrefu,sas wakati umetoka mashineni ule unga umejaa kwenye amboni mpaka juu,na mwingine utia kwnye rambo lakini ukianika pale kitaaani,ebwana 45mints left,ukienda kukusanya yaan hata amboni alijai kabisa,wakati kule umekuja na amboni limejaa na zaid ya kilo5 umeweka kwenye rambo,lakini wenyew huwa wanapenda kuweka pande la mkaaa ktk ya unga alipouwanika,akifanya hivyo wala haupungui kabisa
NB:CHUMA ULETE MPKA KWENYE UNGA WA SEMBE WAPO,SIO ON MONEY ONLY
Mkuu asante
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mshana Jr Ngoja Nije Kwenye Kale Kakiosk Kako Unakolingia Nichukue Pesa Zote Kwa Chuma Ulete Urudi Nyuma [emoji115] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mshana jr mambo yako hayo....
Na usiombee chenchi???kwa hiyo tusitoe chenchiii.
Duu comment zoote hakuna hata 1 inayojibu kilichoulizwa ama nyie ni watz really[emoji15] [emoji15]