Chuma Ulete: Ni kweli ipo? Ipi dawa ya kuidhibiti?

Chuma Ulete: Ni kweli ipo? Ipi dawa ya kuidhibiti?

Yaaan chuma mikosi sna,nakumbuka kule kijijini miaka hiyo tukienda kusaga unga mashineni kwa mfano amboni moja,sasa mama zetu wanadestuli za ule unga kuuanika juani ukauke vizuri ili uweze kudumu kwa muda mrefu,sas wakati umetoka mashineni ule unga umejaa kwenye amboni mpaka juu,na mwingine utia kwnye rambo lakini ukianika pale kitaaani,ebwana 45mints left,ukienda kukusanya yaan hata amboni alijai kabisa,wakati kule umekuja na amboni limejaa na zaid ya kilo5 umeweka kwenye rambo,lakini wenyew huwa wanapenda kuweka pande la mkaaa ktk ya unga alipouwanika,akifanya hivyo wala haupungui kabisa
NB:CHUMA ULETE MPKA KWENYE UNGA WA SEMBE WAPO,SIO ON MONEY ONLY
 
Hivi ndugu mshana! Inapotokea mtu anakuwa ana gundu au mikosi kwa maana ya kwamba mtu amekuwa muhanga wa bad spell cast au curse zile positive energy zake ndio zinakuwa zimegeuzwa na kuwa negative energy? Au kuna mechanism gani inakuwa imefanyika?

Just curious my dear witch expert? mshana jr
Hapo kuna solutions tatu
1.kwa njia za kidini kufanyiwa maombi na dua
2.dawa ya moto ni moto!kutafuta mganga arekebishe mambo (hii ni option mbaya na kwa wasioamini katika Mungu)
3.kusubiri mpaka iishe nguvu expiry date...kuna nyingine huchukua miaka mingi mpaka kuja kuxpire
 
Yaaan chuma mikosi sna,nakumbuka kule kijijini miaka hiyo tukienda kusaga unga mashineni kwa mfano amboni moja,sasa mama zetu wanadestuli za ule unga kuuanika juani ukauke vizuri ili uweze kudumu kwa muda mrefu,sas wakati umetoka mashineni ule unga umejaa kwenye amboni mpaka juu,na mwingine utia kwnye rambo lakini ukianika pale kitaaani,ebwana 45mints left,ukienda kukusanya yaan hata amboni alijai kabisa,wakati kule umekuja na amboni limejaa na zaid ya kilo5 umeweka kwenye rambo,lakini wenyew huwa wanapenda kuweka pande la mkaaa ktk ya unga alipouwanika,akifanya hivyo wala haupungui kabisa
NB:CHUMA ULETE MPKA KWENYE UNGA WA SEMBE WAPO,SIO ON MONEY ONLY
Nimeona sana mkaa ukitumika kuzuia chuma ulete kwenye vitu vingi sana hasa draw za pesa na vile vitu vinavyouzwa mikononi kama karanga nk
 
Watu wengi huangaika kupata pesa kwa tabu lakini kuna nguvu ya kichawi huwarudisha nyuma hii inatokana na mchawi kutumia muujiza wake wa chuma ulete.Hebu tupeane maufundi hayo.
acc759017d9a486246ea8a5d174a2713.jpg
093d756af92a87bdd927db8b430b9904.jpg
 
Kwanini wenye chuma ulete..wnyewe wana hali mbayak kiuchumi kuliko hao wanaochumwa?
 
Duu comment zoote hakuna hata 1 inayojibu kilichoulizwa ama nyie ni watz really[emoji15] [emoji15]

Mkuu wala usiumize kichwa ,hiyo chuma ulete ni Uchawi tu ambao binadamu anaeamini kuwa zipo nguvu za kupambana nazo ni maombi tu kwa alie juu ya yote haya.Mimi hawa Wachawi waliwahi kunisafisha elfu sabini dukani kwangu k/koo..Kuanzia wakati huo nimekuwa mtu wa kusali kabla ya kufungua duka langu na sijawahi ona tukio hilo kwangu mpaka wakati huu..
 
Uchawi ni invisible science ndio maana huitwa magic. So kitendo cha utapeli wa aina yoyote inayotumia kiini macho huo ni uchawi.
 
Ili kutengeneza chuma ulete , mchawi huchukua njugu mawe nyeusi na kuimeza nzima nzima bila kuitafuna halafu anainya na kuichukua tena. Baada ya hapo atachukua mti unaitwa Kilinda Mgunda, anaunguza pamoja na hiyo njugu mawe nyeusi aliyo imeza na kuitoa kwa njia ya haja kubwa. Vinachomwa kisha vinasagwa na kuwa unga unga.

Anachanjwa kwenye pembe zote za mwili wake na kupakwa hiyo ndumba halafu ndumba nyingine inawekwa kwenye chungu kisha inapikwa pamoja sarafu halafu anatumia kuoga
Baada ya hapo ataenda kuwaalika majini wa chuma ulete ulete. Jinsi majini wa chuma ulete wanavyo alikwa. Kinachukuliwa kipande cha ngozi ya hayawani wa mwituni, ngozi ya kinyonga iliyo kaushwa, pamoja na pangaa ya mti. Pangaa ya mti ni mti ulio ota juu ya mti mwingine.

Vitu vyote hivi vinachomwa pamoja na njugu mawe na kisha kusagwa na kufungwa kwenye kitambaa chekundu pamoja na jinni halafu vinaenda kufungwa kichawi kwenye mti mkubwa kwa muda wa siku tatu usiku na mchana.

Baada ya hapo, ndumba hiyo itatolewa mahali hapo na kwenda kuwekwa kichawi katika eneo la sokoni vinapo uzwa vitu. Baada ya siku tatu ndumba hiyo inachukuliwa inaenda kuzikwa kaburini kwa muda wa siku tatu. Siku ya saba, ndumba hiyo inachukuliwa na kupelekwa kwenye chumba maalumu, kwa ajili ya kupikwa kichawi. Basi baada ya hapo, hiyo chuma ulete itakuwa inafuata amri ya mtu huyo na kumpatia chochote anacho kitaka.
 
Back
Top Bottom