Chunga sana rafiki yako akipata nafasi atatembea na shemeji yake

Chunga sana rafiki yako akipata nafasi atatembea na shemeji yake

Tulivyowa chuo kuna mkaka nilikuwa namzimikia, nikawa namwambia rafiki yangu nampenda yule Kaka so akawa anafahamu Hilo.

Na huyo mkaka alikuwa ananipenda sema hakuwahi nitamkia kwasababu tayari nilikuwa na mtu wangu. Ila tukienda club lazima anifate tucheze wote,dalili nyingi zilionyesha ananizimikia kiaina.
Ma ex ni ngumu sana kuachana ngumu mno kuna chemistry moja kali sana hapo
 
Mi kuna mshkaji alinikopa 500k akaniambia mpelekee shemeji yako pale big bon sinza mi huyoo mpaka big bon shem kashuka kwenye bajaj aisee ile ni pisi balaa..nikampa ile hela sasa kuna jicho alinipiga saa tunaagana aisee yani alinikaribisha kabisa...

baada ya wiki nikamtext shem niaje ? njoo tule bia hapa heineken house sinza basi aisee huezi amini shem akaja na gari yake hapo jamaa kasafiri kala wine baadae si akaonja magic moment yangu..kumbe alikua mnywaji balaa ah nikaanza kumnawa pale...anasema we huogopi mi shem wako..! check oil kistyle yuko byee aisee nikaruka upande wa pili pale karibu na boardroom tafuna sana shem saaana akanielewa

ikawa ndo kamchezo jamaa alivyotangaza ndoa nikamkataa kabisa mpaka anaolewa analalamika tu na harusini nikaenda...
ila nikamtupa kabisa alilia mno nikamwambia noo we sa hv umeapa kanisani big nooo!

namkwepaga sana!
 
Huu uandishi wa kijinga kabisa. Nachukua huu uandishi
Binafsi nimetoka na marafki wawili wa Dem wang tnaanz kma hivi

1.Uyu alipgwa suspension mwaka jna walkua wote high school kwa sbb ya kumiliki cm kwaio bae wang akawa anaazma annchek alvypgwa pendi nkawa nmchk alkua ankaa mjini dar kwaio process zote mpk anatoka shule nlkua nawsiliana nae akaja akfikia geto akakaa kama week ykufnyika ykafanyika badae akaenda kwao alkuja krud shule juz kmalza necta kaja piah so now kshkua kma bae tnaish .

2.Baada ya rfk ake wa hapo juu kupgwa suspension akawa anaazma kwa rfk ake mwingne nyy alkua mtu wa mjini bc kmlza necta nmmtafuna last wkeend kimasihara huyu alkuja geto nkatest nkapewa so now naish nao hvohvo.

Chakushngza wote wnnkubli sana ila bae hnitak anadai chemistry hziendani bc nmekubali matokeo ngoja niishi na Hawa wawili [emoji3571][emoji3571]

Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
 
Afu time nyingine marafiki ni mikosi tu, mi kuna rafiki yangu kipenz alisababisha niachane na mpenz wangu wa kwanza baada ya kugundua anatembea nae,baadae nikamsamehe rafiki yangu maisha yakaendelea lakin baadae kuna mume wa mtu nilikuwa napunguzia machungu lakini tena nikagundua ana mchepuko mwingine ambaye ni rafiki yangu yuleyule niliyemsamehe.Kiukweli sijawahi taka kumwona tena huyu shost
 
Mimi sinaga marafiki uchwara sijui mwamba Mara chalii.kwangu Kila kitu kuko 50/50 sinaga adui Wala rafiki wa kudumu,,Nina mke mmoja na ndugu japo hata wao hivyo hivyo wakileta uzwazwa tunazenguana dakika 0 na Kila mtu ananijua.

ninachoshukuru ni kuwa pepo la kutamani wake za watu,wapenzi wa watu na wanafunzi Sina na asilimia ya ninaowala kimasihala ni wale ninaowajua.
 
Kwani rafiki yako akiingiza kwenye hiyo tundu la demu wako, wewe unapungukiwa nini? Au ni wivu wa kijinga tu? Kikubwa kuheshimiana
 
Mi kuna mshkaji alinikopa 500k akaniambia mpelekee shemeji yako pale big bon sinza mi huyoo mpaka big bon shem kashuka kwenye bajaj aisee ile ni pisi balaa..nikampa ile hela sasa kuna jicho alinipiga saa tunaagana aisee yani alinikaribisha kabisa...

baada ya wiki nikamtext shem niaje ? njoo tule bia hapa heineken house sinza basi aisee huezi amini shem akaja na gari yake hapo jamaa kasafiri kala wine baadae si akaonja magic moment yangu..kumbe alikua mnywaji balaa ah nikaanza kumnawa pale...anasema we huogopi mi shem wako..! check oil kistyle yuko byee aisee nikaruka upande wa pili pale karibu na boardroom tafuna sana shem saaana akanielewa

ikawa ndo kamchezo jamaa alivyotangaza ndoa nikamkataa kabisa mpaka anaolewa analalamika tu na harusini nikaenda...
ila nikamtupa kabisa alilia mno nikamwambia noo we sa hv umeapa kanisani big nooo!

namkwepaga sana!
Ulifanya maamuzi salama. Ungenogewa rafiki yako one day angekuja kukunasa

Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app
 
Faza hausi alinimaindi sababu nlimfukuzia wapangaji wake kisa nliwachanganya wote walikua ni marafiki sana lakini baada ya kuhama kila mtu kaenda kukaa kivyake na nmewaacha wote nasubiri wapangaji wapya
 
Binafsi nimetoka na marafki wawili wa Dem wang tnaanz kma hivi

1.Uyu alipgwa suspension mwaka jna walkua wote high school kwa sbb ya kumiliki cm kwaio bae wang akawa anaazma annchek alvypgwa pendi nkawa nmchk alkua ankaa mjini dar kwaio process zote mpk anatoka shule nlkua nawsiliana nae akaja akfikia geto akakaa kama week ykufnyika ykafanyika badae akaenda kwao alkuja krud shule juz kmalza necta kaja piah so now kshkua kma bae tnaish .

2.Baada ya rfk ake wa hapo juu kupgwa suspension akawa anaazma kwa rfk ake mwingne nyy alkua mtu wa mjini bc kmlza necta nmmtafuna last wkeend kimasihara huyu alkuja geto nkatest nkapewa so now naish nao hvohvo.

Chakushngza wote wnnkubli sana ila bae hnitak anadai chemistry hziendani bc nmekubali matokeo ngoja niishi na Hawa wawili [emoji3571][emoji3571]
Jifunze kuandika
 
Back
Top Bottom