James Comey
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 8,759
- 14,831
Kwamba mlikuwa mnafanana tabia should not be underrated hahaaaaaDuh! Mkuu Erythrocyte , asante kwa taarifa hii, kwanza naomba ku declare interest, mimi ni mdau wa hotel za Mzee huyu. Kampuni yangu ya PPR, ndio ilikuwa ikiwatengenezea matangazo ya biashara, na kila mikutano mikubwa tukiitwa kuitangaza, na ni Mkutano fulani uliofanyikia Ngurdoto, ukanifanya waandishi wa Arusha niwavulie kofia, kwa kuwaheshimu kwa umoja!...
Hili ni suala zito mno ukilitizama kwa makini. Hebu fikiria chumba kilichokuwa kikikodishwa kwa zaidi ya sh 1,000,000/= kwa siku hivi sasa ni sh 400,000/= kwa mwaka? Inasikitisha na kuumiza sana.Hii ndio taarifa ya sasa na ya kushangaza inayozunguka Tanzania mpya yenye uchumi wa kati, kwamba Hotel ya nyota 5 iliyo kwenye kitovu cha utalii Arusha, imefikia makubaliano na uongozi wa chuo cha Uhasibu ili kufanywa malazi ya wanafunzi! Kiukweli hili jambo linafikirisha haswa .
Nakulilia Tanzania .
Ni upepo mbaya tu unapita, mambo yatarejea kama awali tu.Vyovyote iwavyo lakini 5 star Hotel kuwa hostel ya chuo duni kama cha uhasibu Arusha sijawahi kuona.
Mgogoro kwenye kuua hotel tu, lakini kwenye kupangisha chuo cha Uhasibu mgogoro hakuna! hii familia ni kiboko!Fahamu kwanza historia ya Familia ya Mmiliki na Mgogoro ulipo kati ya wanafamilia..
Uchawi huu.Watu hawapigi vyema hesabu zao kuwekeza kwenye "real estate" bongo.
Huyu mwimgine wa hotel mpya "Palm village" nampa miaka mitano hata mortgage atashindwa kupata kwenye benki zetu. Very shame
Hivi biashara ya real estate huwa inafanywaje mkuu?Watu hawapigi vyema hesabu zao kuwekeza kwenye "real estate" bongo.
Huyu mwimgine wa hotel mpya "Palm village" nampa miaka mitano hata mortgage atashindwa kupata kwenye benki zetu. Very shame
Si ndio maana nasema kwenye kupangisha wameelewana lakini kwenye uendeshaji ndio wametofautiana ! halafu unaweza kudhani unafahamu jambo kuliko wengine kumbe hujui lolote .Nadhani una mihemko ya Siasa .
Anaefahamu huu Mgogoro atakuona Toy flani hivi
Ni upepo mbaya tu unapita, mambo yatarejea kama awali tu.
Mwenye Hoteli ni mwerevu sana, wakati biashara ya Mahoteli imegoma/kudoda kutokana na Covid-19 (Watalii kupungua ) ameona ni bora apate pesa ya mboga hadi mambo yatakapotengemaa. Sioni tatizo hapo, nchi kubwa na zenye uwezo wamekuwa wakiyalipa makampuni kutoa mishahara wakati huu wa Covid-19 na wanaendelea kuwakopesha pesa ndefu tu itakuwa kuweka wanafunzi wa uhakika japo pesa ni kidogo.400,000 / year
Hii taarifa ni kweli kwa 101%. Tena mpaka sasa ninapoandika post hii, wengine bado hawajaruhusiwa kuishi hapo ngurdoto baada ya chuo kuwa kwenye mazungumzo na wenye hotel.
Chuo cha Uhasibu Arusha – Institute of Accountancy Arusha (IAA) kimedaiwa kufanya udahili kwa idadi kubwa ya wananafunzi kuzidi uwezo wake, jambo linalosababisha uongozi wa chuo kuhamishia wanafunzi wa baadhi ya kozi katika hoteli ya Ngurdoto..
Hivi unajua Hotel hii iliacha kutoa huduma lini?Mwenye Hoteli ni mwerevu sana, wakati biashara ya Mahoteli imegoma kutokana na Covid-19 (Watalii kupungua ) ameona ni bora apate pesa ya mboga hadi mambo yatakapotengemaa. Sioni tatizo hap, nchi kubwa na wenye uwezo wamekuwa wakiyalipa makampuni kutoa mishahara wakati huu wa Covid-19 na wanaendelea kuwakopesha pesa ndefu tu itakuwa kuweka wanafunzi wa uhakika japo pesa ni kidogo.
Kampuni nyingi kubwa kwenye nchi tajiri zinakuwa liquidated as we speak, we are in a different era and life must continue.
Kwa hiyo Tanzania wakifungua anga basi, watalii wanakuja tu!Kwahiyo watalii wamepungua kwenye hotel moja tu tena ya 5 [emoji93]?
Halafu Tanzania hatuna corona hao watalii kwanini hawaji na anga zilishafunguliwa kitambo.