James Comey
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 8,759
- 14,831
Kwamba mlikuwa mnafanana tabia should not be underrated hahaaaaaDuh! Mkuu Erythrocyte , asante kwa taarifa hii, kwanza naomba ku declare interest, mimi ni mdau wa hotel za Mzee huyu. Kampuni yangu ya PPR, ndio ilikuwa ikiwatengenezea matangazo ya biashara, na kila mikutano mikubwa tukiitwa kuitangaza, na ni Mkutano fulani uliofanyikia Ngurdoto, ukanifanya waandishi wa Arusha niwavulie kofia, kwa kuwaheshimu kwa umoja!...