Chuo cha Uhasibu Arusha chadaiwa kudahili Wanafunzi wengi kuliko uwezo wake, wengine wasomea na kuishi Hoteli ya Ngurdoto

Chuo cha Uhasibu Arusha chadaiwa kudahili Wanafunzi wengi kuliko uwezo wake, wengine wasomea na kuishi Hoteli ya Ngurdoto

Hujui kitu unarukia tu Mambo usiyoyajua. Kwa taarifa yako mmiliki Mrema alifariki mwaka jana hivyo familia wakaanza kugombana bila maelewano ikitiliwa maanani alikuwa na watoto wa mama tofauti tofauti ikafikia wakashindwa hata kuwalipa mishahara wafanyakazi pia mikopo ya benki wakashindwa kulipa. Hivyo tatizo hapo ni management baada ya mzazi wao kufariki and not otherwise.

Wakati mwingine uliza kwanza siyo kurukia mambo yanayokuzidi kimo dada!
Kwani Mzee Mengi yuko hai? Yeye mbona biashara zake hazijafa na kuna ugomvi wa kifamilia huko? Acha upumbavu jamaa.
 
Hii ndio taarifa ya sasa na ya kushangaza inayozunguka Tanzania mpya yenye uchumi wa kati , kwamba Hotel ya nyota 5 iliyo kwenye kitovu cha utalii Arusha , imefikia makubaliano na uongozi wa chuo cha Uhasibu ili kufanywa malazi ya wanafunzi ! kiukweli hili jambo linafikirisha haswa .

Nakulilia Tanzania .
Mdororo wa uchumi. Safari ya Tanzania kuelekea uchumi wa Zimbabwe ya Mugabe imeshaanza. Mitano tena!
 
Mkuu honestly mie naumia kweli kweli yani
Tumevuka mipaka ya kutokua na AKILI TIMAMU sahivi Sijui tuko wapi

Watu wamekua wanashindana kutoa kejeri dhidi ya Serikali Mara mitan tena, Mara uchumi wa kat yani alimrad mtu na yeye aseme aonekane, Mbona Mimi wakat nip jalalani kam nyie sikua natoa kejeri hivi [emoji19][emoji19]
Kawaida Yao mkuu
 
Hii ndio taarifa ya sasa na ya kushangaza inayozunguka Tanzania mpya yenye uchumi wa kati , kwamba Hotel ya nyota 5 iliyo kwenye kitovu cha utalii Arusha , imefikia makubaliano na uongozi wa chuo cha Uhasibu ili kufanywa malazi ya wanafunzi ! kiukweli hili jambo linafikirisha haswa .

Nakulilia Tanzania .
Ni jambo jema kuliko kukosa biashara kwa uhaba wa wateja. Hiyo hotel ilikua inajiendesha kwa kupora wateja wa kituo cha mikutano cha kimataifa cha arusha kwa njia za kifisadi na kusababisha gharama kubwa kwa serikali kutokana na vigogo serikalini kutunga semina na mikutano isiyokua na tija ili kuipatia biashara hoteli hiyo. Acha tu ife kama wenyewe wameshindwa kubuni uendeshaji wenye tija kwa uchumi wa taifa.
 
Mkuu honestly mie naumia kweli kweli yani
Tumevuka mipaka ya kutokua na AKILI TIMAMU sahivi Sijui tuko wapi

Watu wamekua wanashindana kutoa kejeri dhidi ya Serikali Mara mitan tena, Mara uchumi wa kat yani alimrad mtu na yeye aseme aonekane, Mbona Mimi wakat nip jalalani kam nyie sikua natoa kejeri hivi [emoji19][emoji19]
Wengi malimbukeni tu wa mitandaoni...wa kupuuzwa.
 
THIS is purely mismanagement, The gvt has nothing to do with the failures and never ending internal conflicts within the family of the late Mrema.

Lawama zote kwa Mrema mwenyewe alishindwa kuweka mifumo ya kuendesha mali hizi sasa kila mtu ni kambale nani ataenda kulala sehemu yenye migogoro??
Though I can't feign knowledge of what exactly had transpired to Ngurdoto leading to this abysmal end, however, comparing with other businesses I know which had met the same end, they share one common denominator- a heavy burden of government taxes and other tozos kill businesses. In short, business climate in Tanzania at the moment is awfully unfriendly.....only a fool will plunge in head on!
 
Kosa la marehemu inasingiziwa serikali
Mrema alikua amehodhi kila kitu peke yake na kibaya hakuwa hata na mipango ya baadae. Pole kwa familia yake
Asante kwa kunijulisha

Unaona Sasa Mama D, Mimi sikuwa naijua hio hotel wala mmiliki simjui Lakini nilivyoona hio habar wala sikua na kimuhe muhe cha kusema mitano tena MARA uchumi wa kati Sijui nini, Unless ujitoe akili ndio unawez fanya hivyo kama walivyo wengi
Mwenye akili timamu sio rahisi awe na akili za kufatana fatana
TUNAAMBUKIZANA SANA UJINGA
 
Wengi malimbukeni tu wa mitandaoni...wa kupuuzwa.
Yaani siku hizi hata mtu akifanya uzembe kwenye kumanage biashara anaitupia lawama serikali[emoji23]
Kuna watu Nadhani si wazima [emoji23][emoji23]
Haki ya Mungu Nakuambia Anne
ipo Siku utaona watu wanakuja na thread humu wanasema " Mvua inanyesha Dar tuu Wakati mikoani hainyeshi na Serikali imekaa kimya tuu " and the likes
Na watu watakuja kucomment ushuzi as usual
 
Hii ndio taarifa ya sasa na ya kushangaza inayozunguka Tanzania mpya yenye uchumi wa kati , kwamba Hotel ya nyota 5 iliyo kwenye kitovu cha utalii Arusha , imefikia makubaliano na uongozi wa chuo cha Uhasibu ili kufanywa malazi ya wanafunzi ! kiukweli hili jambo linafikirisha haswa .

Nakulilia Tanzania .
Karibuni kwenye Graduation wakuu itafanyikia hapo hapo hotelini jumatatu tar 7/12/2020
IMG-20201201-WA0002.jpg
 
Haki ya Mungu Nakuambia Anne
ipo Siku utaona watu wanakuja na thread humu wanasema " Mvua inanyesha Dar tuu Wakati mikoani hainyeshi na Serikali imekaa kimya tuu " and the likes
Na watu watakuja kucomment ushuzi as usual
Yaani acha tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna watu kila kitu ni kuilaumu serikali.
 
Watu hawapigi vyema hesabu zao kuwekeza kwenye "real estate" bongo.
Huyu mwimgine wa hotel mpya "Palm village" nampa miaka mitano hata mortgage atashindwa kupata kwenye benki zetu. Very shame
 
Pamoja na Sababu zote hizi walizotaja inaumiza kuona Wafanyabiashara na wawekezaji wetu wa Ndani hawalindwi na wala Serikali iwajali. Serikali inapaswa kushirikiana nao hao ndio wanatengeneza Ajira na ndio walipa Kodi wakubwa.
 
Back
Top Bottom