bulicheka 4
JF-Expert Member
- Mar 22, 2020
- 915
- 1,019
Hapo ni Serikali ya kushukuriwa kwa kuikodi hiyo sehemuYaani acha tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna watu kila kitu ni kuilaumu serikali.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo ni Serikali ya kushukuriwa kwa kuikodi hiyo sehemuYaani acha tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna watu kila kitu ni kuilaumu serikali.
Acha unafiki ,ile hotel ni ya mtu binafsi,na kama zilivyo biashara za ngozi nyeusi mwenye mali akiondoka nazo zinaondoka,kuanguka kwa hiyo hoteli hakuingiliani kwa chochote na serikali au uchumi wa kati, unafikirishwa na nini kwa kipi cha ajabu?kufilisika kwa kampuni au biashara ni jambo ambalo lipo duniani kote la sivyo wewe ni mkulima wa matikitimaji ndio maana unafikirishwa kuanguka kwa hiyo hoteliHii ndio taarifa ya sasa na ya kushangaza inayozunguka Tanzania mpya yenye uchumi wa kati , kwamba Hotel ya nyota 5 iliyo kwenye kitovu cha utalii Arusha , imefikia makubaliano na uongozi wa chuo cha Uhasibu ili kufanywa malazi ya wanafunzi ! kiukweli hili jambo linafikirisha haswa .
Nakulilia Tanzania .
Mitano Tena!!Hii ndio taarifa ya sasa na ya kushangaza inayozunguka Tanzania mpya yenye uchumi wa kati , kwamba Hotel ya nyota 5 iliyo kwenye kitovu cha utalii Arusha , imefikia makubaliano na uongozi wa chuo cha Uhasibu ili kufanywa malazi ya wanafunzi ! kiukweli hili jambo linafikirisha haswa .
Nakulilia Tanzania .
Tatizo sio Tanzania na uchumi wa Kati, bali ni warithi kushindwa kuwa na umoja na kuweka management inayo stahiliHii ndio taarifa ya sasa na ya kushangaza inayozunguka Tanzania mpya yenye uchumi wa kati , kwamba Hotel ya nyota 5 iliyo kwenye kitovu cha utalii Arusha , imefikia makubaliano na uongozi wa chuo cha Uhasibu ili kufanywa malazi ya wanafunzi ! kiukweli hili jambo linafikirisha haswa .
Nakulilia Tanzania .
Ubwege mtozeni ni ukiwa hujui chanzo cha Tatizo ni niniNi dalili za ukuaji uchumi, tutembee kifua mbereee.
View attachment 1638380
Chuo cha Uhasibu Arusha – Institute of Accountancy Arusha (IAA) kimedaiwa kufanya udahili kwa idadi kubwa ya wananafunzi kuzidi uwezo wake, jambo linalosababisha uongozi wa chuo kuhamishia wanafunzi wa baadhi ya kozi katika hoteli ya Ngurdoto.
Baadhi ya Wanafunzi hao ambao wamepelekwa Ngurdoto kusoma na kuishi ni kutoka katika kozi za:
•Bachelor in Business Management (BBM)
•Basic Technician Certificate in Business Management (BTCBM)
•Ordinary Diploma in Business Management (ODBM) mwaka wa 1
•Bachelor of Accountancy (BA) mwaka wa 1 & 2
•Basic Technician Certificate In Accountancy (BTCA)
•Ordinary Diploma In Accountancy (ODA) mwaka wa 1 & 2
Baadhi ya Wanafunzi wamelalamikia suala la kupelekwa Hotelini kwani awali waliomba kusomea Main Campus ambapo walishakodi vyumba karibu na chuo na kununua mahitaji ya kujikimu kama vile magodoro, majiko nk.
Wamesema sasa wanalazimika kulipa kiasi cha Tsh. 400,000 kama malipo ya Hosteli (huko hotelini)
“Kama chuo kimejaa kwanini wanachukua idadi ambayo wao hawawezi kumudu na kuanza kutusumbua wakati tumeomba main campus?”, amehoji mwanafunzi mmoja.
Wanafunzi wameomba kama Idadi imezidi ni bora baadhi ya Wanafunzi wahamishiwe Vyuo vingine.
Sasa familia watoto hawana mshikamanoNaona hoteli zote za Mrema zina Challange.
Naona madenti wanajiachiaaaDah, hadi roho imeniuma.
Hivi kufeli na kuanguka kwa hoteli hizo wakulaumiwa ni serikali au waliyoachiwa mali hizo ?"upinzani umetuchelewesha sana".
Duh...!, Mkuu Erythrocyte , asante kwa taarifa hii , kwanza naomba ku declare interest, mimi ni mdau wa hotel za Mzee huyu. Kampuni yangu ya PPR, ndio ilikuwa ikiwatengenezea matangazo ya biashara, na kila mikutano mikubwa tukiitwa kuitangaza, na ni Mkutano fulani uliofanyikia Ngurdoto, ukanifanya waandishi wa Arusha niwavulie kofia, kwa kuwaheshimu kwa umoja!. Wakati waandishi wa Dar na kwingineko, hawakupangii kuasi cha nauli, kwenye zile little brown naniliu zetu, ukitoa wawili, sawa, watatu sawa, watano sawa, kumbe wenzetu wa Arusha wana viwango fixed kutegemeana na mahali, ukiwaita Ngurdoto kiwango ni 'kilo', nikawaita, nikaweka idadi ya the number I can afford, watu wakaambiana, wakajazana na kila mtu anataka 'kilo'!. Nilichofanya, wale most important ITV, TBC na Channel Ten, nikawacheki, wakafuatia magazeti yangu 4 key, Daily News, Guardian, Citizen na Mwananchi, halafu the rest nikawapatia nauli ya watatu watatu, kwanza wakanigomea!, huwezi kutuleta Ngurdoto siku nzima alafu atupige 3, sisi huku tunafanya kwa kilo!. Nikawaeleza hali halisi, na kuwaomba pokeeni kilichopo, wakapokea shingo upande, wakaondoka. Mimi nikawa niko relaxed kwa the key media is well taken care of. Kumbe waandishi wameambiana wamelipwa tofauti tofauti, wakakubaliana black out mimi sikuambiwa!. Siku hiyo usiku natazama TV... tazama na wewe!, patupu!, kesho yake naangalia magazeti bila bila!. Conference ni ya 3 days, day 2, hakuna mwandishi ame show up!. Kila nikiwauzia, wanasema wali file itatoka tuu!. Nikaanza ku cross check with their editors, no story was filled from Arusha!. Kwa kutumia my good rapport with editors, plus my back up team, nikaanza moja kutuma kote story ya jana yake, direct kwa editors. Ndipo mwandishi Mzee Mwenzangu mmoja akaniambia, kitendo cha kuwabagua waandishi, wakakubaliana kufanya go slow wote na hakuna media yoyote kutoa story!. Kiukweli that was typical yellow journalism ya petty cash journalism!, Arusha Press are mercenaries!, it was like blackmail. From then ni heshima adabu!. Comming back to Hotels, my favourite wa Impala na ndio makao makuu. The boss mchana kutwa anashinda kwenye usimamizi, anaingia kazini saa 5 usiku, hadi saa 12:00 asubuhi, daily, hakuna kulala na hakuna Jumamosi, Jumapili wala Sikukuu. Kutokana na ratiba hii, sijui chakula cha nyumbani alikuwa anakula saa ngapi, lakini kwa wahudumu wa hotel na walivyo warembo, ilikuwa ni kazi na dawa!. Kupitia ukaribu huo, kwanza ndio nikajua kumbe ni huyu jamaa huwa anaamua Mbunge wa Arusha awe nani, ni yeye aliyekuwa akimfund Lema japo ni mwana CCM, kama yule tajiri wa Dar alivyokuwa aki i fund Chadema japo yeye ni CCM, na angekuwa hai, CCM ingepigwa mweleka Arusha. Kwa sisi wanye economic eye, the money ilitumika as capital kujenga hiyo business empire yake, sio income from the hotels, alikuwa na side business ya big bucks changing hands usiku kucha. Kwa vile na mimi nafanya editing usiku kucha, ndio unaona people's movements with trunks full of $. This side business ndio inaingiza good money, mke, watoto hawajui na hawawezi na wazee wengine kwa sababu walikuwa wanajua the risks associated, hivyo they opted to keep the family away. Alipoitwa kwenye makao ya milele, no one else knew how to go about. Na japo jamaa alikuwa ni Mchaga, lakini alikuwa na genes za Kisukuma za kupenda vi spring chickens vyeupe, na kupenda watoto, hivyo he had many with wahudumu warembo na kuna mahali, alma nusra ningemvunjia heshima, ila after learning ni pumziko la Boss, I just said no, kwa heshima tuu, hata kama hata jua!, the lady insisted nisiogope, kwasababu the boss picks every good tasty meals!. Hizo ni tabia za Kisukuma za wanawake wengi, watoto wengi na openly!. Uzuri wa huyu Mzee, akikukubali, any price you tell anakulipa bila kusema punguza kudogo!. Mimi na team yangu ni kula bure, kulala bure!. He was more than boss, na baada ya kujikuta tunafanana tabia, tukatokea kuwa marafiki, jamaa anaongea na presidents!.Hizo connections ndizo zilikuwa zinafanya hotel zijae. Ameondoka na connections zake!. RIP Don Mrema!.
P
Kwami first world mteja anasajiliwa kwa kutumia nini? Jambo usilolijua ni sawa na usiku wa kizaa, endelea kuota mchanaMsijali tunaanza kusajili watalii wa ndani loji na hotel dec 2020 kwa portal ya maliasili na utalii, kila mteja atapaswa tumia Id, nida, leseni udereva ama paspoti.
Aligeuza baada ya kuona biashara siyoKama sijakosea mwenye Land Mark Hotel ya Ubungo pale naye alishawahi igeuza hosteli kwa Muda.
Ngurudoto hyo wanafunzi naona wanajiachiaKama sijakosea mwenye Land Mark Hotel ya Ubungo pale naye alishawahi igeuza hosteli kwa Muda.
Familia wameshindwa kuiendesha kutokana na mauzauza yao huoni hata ubora umeshukaHapa linaloshangaza ni jambo moja tu mteja mkubwa wa hotel hii alikuwa ni nani? maana kitakwiimu tanzania kwa sasa watalii wanaoingia ni wengi mno kupita miaka yote iliyopita au mteja mkuu alikuwa ni SEMINA?
Watabanjuana sna hapoHuenda wengi watapigwa DISCO kwenye mitihani ya kupanda mwaka!
We mzee wa magorofa ya drive inDuh...!, Mkuu Erythrocyte , asante kwa taarifa hii , kwanza naomba ku declare interest, mimi ni mdau wa hotel za Mzee huyu. Kampuni yangu ya PPR, ndio ilikuwa ikiwatengenezea matangazo ya biashara, na kila mikutano mikubwa tukiitwa kuitangaza, na ni Mkutano fulani uliofanyikia Ngurdoto, ukanifanya waandishi wa Arusha niwavulie kofia, kwa kuwaheshimu kwa umoja!. Wakati waandishi wa Dar na kwingineko, hawakupangii kuasi cha nauli, kwenye zile little brown naniliu zetu, ukitoa wawili, sawa, watatu sawa, watano sawa, kumbe wenzetu wa Arusha wana viwango fixed kutegemeana na mahali, ukiwaita Ngurdoto kiwango ni 'kilo', nikawaita, nikaweka idadi ya the number I can afford, watu wakaambiana, wakajazana na kila mtu anataka 'kilo'!. Nilichofanya, wale most important ITV, TBC na Channel Ten, nikawacheki, wakafuatia magazeti yangu 4 key, Daily News, Guardian, Citizen na Mwananchi, halafu the rest nikawapatia nauli ya watatu watatu, kwanza wakanigomea!, huwezi kutuleta Ngurdoto siku nzima alafu atupige 3, sisi huku tunafanya kwa kilo!. Nikawaeleza hali halisi, na kuwaomba pokeeni kilichopo, wakapokea shingo upande, wakaondoka. Mimi nikawa niko relaxed kwa the key media is well taken care of. Kumbe waandishi wameambiana wamelipwa tofauti tofauti, wakakubaliana black out mimi sikuambiwa!. Siku hiyo usiku natazama TV... tazama na wewe!, patupu!, kesho yake naangalia magazeti bila bila!. Conference ni ya 3 days, day 2, hakuna mwandishi ame show up!. Kila nikiwauzia, wanasema wali file itatoka tuu!. Nikaanza ku cross check with their editors, no story was filled from Arusha!. Kwa kutumia my good rapport with editors, plus my back up team, nikaanza moja kutuma kote story ya jana yake, direct kwa editors. Ndipo mwandishi Mzee Mwenzangu mmoja akaniambia, kitendo cha kuwabagua waandishi, wakakubaliana kufanya go slow wote na hakuna media yoyote kutoa story!. Kiukweli that was typical yellow journalism ya petty cash journalism!, Arusha Press are mercenaries!, it was like blackmail. From then ni heshima adabu!. Comming back to Hotels, my favourite wa Impala na ndio makao makuu. The boss mchana kutwa anashinda kwenye usimamizi, anaingia kazini saa 5 usiku, hadi saa 12:00 asubuhi, daily, hakuna kulala na hakuna Jumamosi, Jumapili wala Sikukuu. Kutokana na ratiba hii, sijui chakula cha nyumbani alikuwa anakula saa ngapi, lakini kwa wahudumu wa hotel na walivyo warembo, ilikuwa ni kazi na dawa!. Kupitia ukaribu huo, kwanza ndio nikajua kumbe ni huyu jamaa huwa anaamua Mbunge wa Arusha awe nani, ni yeye aliyekuwa akimfund Lema japo ni mwana CCM, kama yule tajiri wa Dar alivyokuwa aki i fund Chadema japo yeye ni CCM, na angekuwa hai, CCM ingepigwa mweleka Arusha. Kwa sisi wanye economic eye, the money ilitumika as capital kujenga hiyo business empire yake, sio income from the hotels, alikuwa na side business ya big bucks changing hands usiku kucha. Kwa vile na mimi nafanya editing usiku kucha, ndio unaona people's movements with trunks full of $. This side business ndio inaingiza good money, mke, watoto hawajui na hawawezi na wazee wengine kwa sababu walikuwa wanajua the risks associated, hivyo they opted to keep the family away. Alipoitwa kwenye makao ya milele, no one else knew how to go about. Na japo jamaa alikuwa ni Mchaga, lakini alikuwa na genes za Kisukuma za kupenda vi spring chickens vyeupe, na kupenda watoto, hivyo he had many with wahudumu warembo na kuna mahali, alma nusra ningemvunjia heshima, ila after learning ni pumziko la Boss, I just said no, kwa heshima tuu, hata kama hata jua!, the lady insisted nisiogope, kwasababu the boss picks every good tasty meals!. Hizo ni tabia za Kisukuma za wanawake wengi, watoto wengi na openly!. Uzuri wa huyu Mzee, akikukubali, any price you tell anakulipa bila kusema punguza kudogo!. Mimi na team yangu ni kula bure, kulala bure!. He was more than boss, na baada ya kujikuta tunafanana tabia, tukatokea kuwa marafiki, jamaa anaongea na presidents!.Hizo connections ndizo zilikuwa zinafanya hotel zijae. Ameondoka na connections zake!. RIP Don Mrema!.
P
Yaani wewe ulewe fedha zako serikali ije iku rescue??? Unajua biashara wewe ??? Unajua kitu kinaitwa fair trade?? Nguvu ya soko ??Hivi unajua kitu inaitwa "bailout" ewe sukule!?