Chuo cha Uhasibu Arusha chadaiwa kudahili Wanafunzi wengi kuliko uwezo wake, wengine wasomea na kuishi Hoteli ya Ngurdoto

Hiyo hotel mmiliki alishafariki sasa huwezi kukimbilia kulaumu serikali chadema tunahitaji utulivu n umakini zaidi kwenye kuripoti habari kama hizi
Mzee Mengi ni mchaga kama alivyo huyo Mrema mwenye hotel na kufariki kwa mzee Mengi hatujaona tv, radio wala magazeti yake yakifungwa.

Sasa unaposema mwenye mali kafa hivyo na biashara yake imekufa basi ingekuwa kila mwenye mali akifa basi afe na mali zake nchi hii ingekuwa masikini mno.
 
Hivi mnavyosema na bado ni nan anakomolewa hapa? Tanzania ikiingia kwenye kanga ni watanzania wote tunaoishi tanzania tutaumia kwahiyo tusishangalie matatizo ya tanzania ila tunatakiwa kuishauri serikali yetu
Inashaurika? Wakati mtu anakwambia hapangiwi na ukimshauri ndo unaharibu kabisaaaa.
 
Kwahiyo watalii wamepungua kwenye hotel moja tu tena ya 5 [emoji93]?

Halafu Tanzania hatuna corona hao watalii kwanini hawaji na anga zilishafunguliwa kitambo.
Mkuu utalii na watalii wanahusika na nchi nyingi sana mkapa afike na kuondoka Tanzania... Na nchi nyingi (source markets) bado Covid-19 inazidi kushika kasi...
So biashara ya utalii si direct kama kupanda daladala za makumbusho mawasiliano...
Arusha kama Arusha ni mji ulioathirika kiuchumi kupita miji yote (isipokuwa Unguja na Pemba) kutokana na kudorora kwa utalii...
 
vyovyote iwavyo lakini 5 star Hotel kuwa hostel ya chuo duni kama cha uhasibu Arusha sijawahi kuona
Huwaga unaubishi wa kijinga Ngurudoto ni swala la management ndo inshu nawewe Kama mdau ws JF humu Kuna mada nyingi sana zinavyoelezea jinsi warithi wanavyofuja Mali na kusahau kuwekeza kwenye uzalishaji
 

Unapoamua kufanya uwekezaji mkubwa kama ule ni muhimu ukawa na plan itayokusaidia kukwepa risk za kupoteza pesa yako ikiwa ni pamoja na kujua kiasi cha uwekezaji, management nzuri, succession plan, sheria za nchi, uhakika wa soko tarajiwa na mabadiliko yanayoweza kutokea.

Kama mmiliki ameondoka tuu mali zake zinashundikana kusimamiwa ni wazi hizi biashara hazikua na misingi sahihi.

Wanaoilaumu serikali nao wahakikishe wanaweka mambo yao sawa, hayatokei kwa matajiri wakubwa tuu, hata kwenye familia zetu mwenye mali anapoondoka hata aache mashamba, kuku, mbuzi bila kuacha mipango sahihi vinaondoka nae
 
Hivi mnavyosema na bado ni nan anakomolewa hapa? Tanzania ikiingia kwenye kanga ni watanzania wote tunaoishi tanzania tutaumia kwahiyo tusishangalie matatizo ya tanzania ila tunatakiwa kuishauri serikali yetu
Hakuna kitu ninachopenda kama serikali ya jiwe ikipata matatizo kama wao wanavyofurahi kundi fulani la watu likipata matatizo
 
Kuwa na kifua kikubwa ni maturity pia let yours be yours, the past that are typically yours no good to retrieve. Please at personal level never speak about the dead when they can't respond to whatever squirts of today unleashed to the public. Learn to speak the good side of the deceased there is no harm and the survivors will respect you.
 
r.i.p mrema
 
Paskal umesema kweli tupu
 
Duuu si anapata hasara jamani
Hakuna hasara kwasababu hakuna watalii kabisa, we hoteli haiingizi watalii kabisa huku wakiendelea kuingia cost ya kuwalipa wafanya usafi wa ndani, laundry, garden n.k

Wanaona ni bora wale pesa za kuwahost wanafunzi kuliko hotel kubaki tupu

Hali ni tete

[emoji6][emoji6][emoji6]
 
Kweli haya ni majanga , hoteli nzuri hivyo leo inageuka hostel? Hatari na nusu.
 
Daah!! Ngurdoto wanafunzi wanalipa shilingi 400,00/=hostel kwa mwaka? Huku Mwanza maeneo ya Nyegezi wanafunzi wa SAUT wanalipa laki 8 hadi milioni moja kwa mwaka kulipia chumba kwa watu binafsi, vyumba vyenyewe vya kawaida tu vingine hata havina vitanda.
 
Biashara za kitanzania nyingi haziwaandai succeeding generations kuja kuendesha biashara walizoacha muaanzilishi (founder) hivyo kupelekea biashara hizo kufa. Greed pia ya wanafamilia kugawana mali ni ujinga mwingine tunao sana.
 
Failure yao ya kuendesha biashara unataka uilaumu Serikali ? Mbona Serena haijageuzwa hostel ?
Serena imejizatiti vzr
Subir uone na yatakayotokea
Kwa mengi
Ndo utajua bongo n kina nan
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…