encyclopaedia Tanzaree
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 515
- 405
- Thread starter
- #41
Bora wangejenga mkoa unaoelewekakikwete kaenda chuo jangwani. Udom ni kame hatari, ardhi mawe mawe tu. Niliapa siwezi enda soma huko, nikabaki zangu mjini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora wangejenga mkoa unaoelewekakikwete kaenda chuo jangwani. Udom ni kame hatari, ardhi mawe mawe tu. Niliapa siwezi enda soma huko, nikabaki zangu mjini.
Na kunguni zile halafu maji hakuna🤣🤣🤣Hichi hakikutakiwa kuwa chuo ilitakiwa iwe shule ya msingi, malalamiko kila siku hayaish daaah
Yan ni mtafutanoNa zile Toilet sink za kichina najua zimeshaziba....
Hata kambi haifai, labda apewe mwekezaji😁😁Udom kifutwe na iwe Kambi ya JW
UDOM ni kama shule ya msing, kidumu na ufagio🤣🤣Maji ni uhai,wanahusika wasifanye masihara kabisa,ni maisha ya watu badala ya kusoma kwa makini mwanachuo anawaxa maji!kweli tutafika huko tuendako kwapango huu wa kukosa maji!
Bora Mwalimu Nyerere kuliko hii kitu aisee😀😀Ndo maana li elimu la Tanzania halina ubora. Mtu yuko chuo anajisaidia kichakani. Ustaarabu wa wapi. Nashukuru mtoto wangu alikiponda hicho chuo kuwa ni cha kata, mnasoma na fisi na nyoka.
Labda ni njia ya kuongeza rutuba ili dom iwe ya kijaniKama hakuna maji, si wanatafuta njia mbadala pa kushusha mzigo?
Wapi kwingine zaidi ya vichakani
Imagine mtoto wa kike anaenda kichakani 🤣🤣Maajabu. Chuo Kikuu watu kujinyea vichakani.
Mngemchagua Hashim Rungwe angetekeleza🤣🤣
Serikali ipo kwenye mchakato wa kuwasogezea bahari pamoja na mito, kuweni wavumilivu.