Mbususu sio mchezo..ukute hapo alikuwa anataka kummega harakaharaka aje kwenye Uzi wetu ule wa "umeshakula tunda kimasikhara" atutambie sasa Leo anatambiwa yeye..Mambo mengine ni ya kujitakia tu. Halafu alivyo bwege, ameshindwa hata kufunga mlango!
Tukienda nje ya maadili, rushwa ya ngono ina raha yake kisaikolojia kwa anayepewa nyie!Mswahili analeta uswahili wa kipumbavu,anashindwa kutafuta michepuko kwa mshahara wake
And the law should take its own course ASAP.Kumsimamisha tu? 😳😳😳😳 Huyo ni wa kufukuza kazi.
Hakuna 13:00pm Wala 18:00pmMbona ma lecture wengi ni madomo zege ...huponea kwa vidada ambavyo havijielewi kwa kushikwa sup tu kamevua ngua...
Harafu hao malecture tabia zao utaona kwenye milango ya ofisi zao ...
Tangazo
Muda wa consultation ni kuanzia saa 13:00 PM mpaka saa 18:00 sasa fatilia hiyo consultation wanakuwa wanapiga migegedo tu mabinti......
Ila jinsia ya kike inatabu kwenye Vyuo, ajira, bar, majumbani
Nasikia alikuwa anapenda vimbaumbau hatak wenye chura toa maoni yako mkuuNoma kweli
Anyway kama kawala vya kutosha hamna shida
Tatizo videm huko wanaringisha na chura zao
Ova
Huyu si wa kusimamishwa tu bali kufukuzwa na kushitakiwa. Hana elimu yoyote wala utu. Ni limbukeni na mshamba wa kawaida aliyechelewa kukua na kukataa kuelimikaChuo kikuu cha Dodoma kimeanzisha mchakato wa hatua za kinidhamu na maadili kulingana na Sheria na kanuni za utmishi wa umma.
UDOM imesema mtumishi Petro Bazil alisimamishwa majukumu yake tangu Oktoba 25, 2021 hadi uchunguzi utakapokamilika. Udom imesikitishwa na usumbufu uliojitokeza.
Pia, soma=> UDOM: Wanafunzi wamkamata mkufunzi anayewapa 'Sup' ili afanye nao ngono
View attachment 1989670
Vijana hawa wa shule za kata(miaka ya 2000) hawajui hata kutongoza.Mimi nashangaaga sana mtumishi ambaye ni kijana na sio mzee kupata msala wa ngono na mwanafunzi wake wa chuo.
Msomi mzima mwenye kazi yenye mshahara net around milion 2. Unashindwa kumtongoza binti under 25 akupe mwenyewe. Yaani huwezi kumpata binti uliyemzidi akili, pesa, umri na kila kitu mpaka umtishie kwa sup.
Wasomi mnakwama wapi kwenye kutongoza.
Mbona mishen town wa mtaani wanawala sana hao mabinti,, ama hata wafanyakazi wenye kazi zenye mshahara mdogo kama wafanyakazi wa kwenye branch za ma benk wanawala sana hao watoto bure.
Msomi mzima ,,,,,Yaani college girl huwezi kucheza na saikolojia yake mpaka akupe mwenyewe na bonus akupe kama akufulie na nguo na kukupikia
kaanda watu wa kumfumania kitandani au kumfumani akimtongoza kwa kigezo cha kupasishwa chuo ?Huyo binti sio mjinga kuandaa mpaka watu wa kufumania...
Duh,kweli kipendacho roho basiNasikia alikuwa anapenda vimbaumbau hatak wenye chura toa maoni yako mkuu
Unamwomb fisi alinde bucha?Hili swala ilibidi TAKUKURU ihusike.
Afikishwe mahakamani.
Akikutwa na hatia chuo nacho kitatoa adhabu yake.
wangeenda mbali zaidi wampime huyo mwanataaluma kama ni mzima au ana maambukizi ya ukimwi ili adhabu kali ichukuliwe zidi yake.Hayo yatafahamika baada ya uchunguzi kukamilika. Kwa mfano huenda wakina dada waliodhurika ni wengi. Uchunguzi utabaini hilo.
Pia huenda wengine walikataa ombi wakafelishwa. Hao nao itabidi wafikiriwe wapozwe vipi. Ili mradi basi yote hayo ni baada ya uchunguzi kukamilika.
Kama ni ile video... Probably pale Ni geto kwa demu... Na inavyoonekana jamaa walimuona hivyo wakavizia aingie ili nao waingie ili mfumanie... + Kisasi cha usaliti wa mapenzi (mahusiano)
Tatizo, ni kwamba anaweza akafukuzwa kazi halafu akapata kazi kwenye private institutions na kuendelea kuchafua hali ya hewa. Sijui kama taasisi ya Elimu ya juu inachukua hatua kama za Wizara ya Afya kwa wale wanaokosa maadili ya kitaaluma.Amesimamishwa wakati uchunguzi unaendelea. Mara baada ya uchunguzi kukamilika, hapo ndipo hatua stahiki zitachukuliwa kufuatana na maelekezo ya kanuni za utumishi.