Na waarabu waliowabaka waafrika enzi za utumwa,wakawaasi na kuwalawiti,nao vipi chuki yako na waarabu iliishaje?Damn,Ndiyo maana chuki zangu na U.S.A haziwezi kwisha.Let Bob Rest in peace.
Mkuu, kwa kesi ya huyu Bob kilichofanyika ni kumwekea virusi vinavyosababisha kansa.Kisayansi inaambukizaje?
Hivi ndo tabia gani ku quote Uzi mrefu kiasi hicho!![emoji38][emoji38][emoji53]The Legeng always survives
Umefikiri na kutamka kwa msukumo wa chuki na kutetea mlengo wako,Ukweli uliowazi USA anafanya ugaidi mwingi sana ili kulinda maslahi yao ya kikoloni kila kona ya dunia iwe kwa wanaharakati ama watawala,kkibaya kwao ni kupinga mambo yao na vibaraka wao!!
Rejea vifo vya Castro wa Cuba,Hugo Chavez ambae kabla ya mauti alisema wazi wazi USA wamemwekea cancer!! JF Kenedy raisi wao mwenyewe walimnywa damu!!
Cha kufurahisha kuna watu wanaamini magaidi ni waarabu na Marekani ndio Taifa takatifu!!
Na waarabu waliowabaka waafrika enzi za utumwa,wakawaasi na kuwalawiti,nao vipi chuki yako na waarabu iliishaje?
Au dini moja imesawazisha,
Kuna kitu nadhani haukijui,
Tawala zoote za kidunia ni za kishetani,maana zinaua na kutesa wasio wa mlengo wao ili kujilinda,narudia tena serikali zoote hata hii ya nanii za kishetani maana zinamwaga damu ya wasiohatia kujilinda
Sasa ukutaka kuwa sawa chukia serikali zooooote
Wajinga wametolea macho CIA tu sababu dini zao zinaichukia amerika wanasahau hii kazi ya ujasusi na kuua ama kutesa ili kulinda maskahi ya watawala ipo hata kwetu,ipo kwa serikali zooteKazi nyingine ni za kishetani.
Hata watesi wa li suu kuna siku watafikia hapo na wasipate farajaThe only asshole l know in this world is this idiot in bed,what is he suffering from?Does he think by confessing he has removed all the pain and sorrows he caused to Bob marleys family?Now he is in bed,can the CIA make him young and healthy with another virus?Confession wont help him it will take him to death.The wages of sin is Death but the way of god is living forever.Bob marley is still living in our minds,so he is still alive,what will this imbecile be remembered for?for killing people?
Not redemption song mkuuBabylon system is the vampire, yea! (vampire)
Suckin’ the children day by day, yeah!
Me say: de Babylon system is the vampire, falling empire,
Suckin’ the blood of the sufferers, yea-ea-ea-ea-e-ah!
Building church and university, wo-o-ooh, yeah! –
Deceiving the people continually, yea-ea!
Me say them graduatin’ thieves and murderers;
Look out now: they suckin’ the blood of the sufferers (sufferers).
Yea-ea-ea! (sufferers)
REDEMPTION SONG.
Mkuu vipi mbona unadandia gari kwa mbele?yaani mi kuichukia u.s.a we inakuuma,any way Bob is my Role model.Na waarabu waliowabaka waafrika enzi za utumwa,wakawaasi na kuwalawiti,nao vipi chuki yako na waarabu iliishaje?
Au dini moja imesawazisha,
Kuna kitu nadhani haukijui,
Tawala zoote za kidunia ni za kishetani,maana zinaua na kutesa wasio wa mlengo wao ili kujilinda,narudia tena serikali zoote hata hii ya nanii za kishetani maana zinamwaga damu ya wasiohatia kujilinda
Sasa ukutaka kuwa sawa chukia serikali zooooote
Nikataka majibu ya sayansi sio majibu ya wasomi.Mkuu, kwa kesi ya huyu Bob kilichofanyika ni kumwekea virusi vinavyosababisha kansa.
Kumbuka Human papillomavirus inasababisha kwa binadamu ndio maana hata huyo jamaa kasema "The nail in the shoe was tainted with cancer viruses and bacteria. If it pierced his skin, which it did, "
Sorry.Not redemption song mkuu
Babylon system
Hiyo sayansi tunafundishwa na hao wasomi mkuu.Nikataka majibu ya sayansi sio majibu ya wasomi.