Clemence Mtenga aliuawa sababu ya rangi yake? Serikali inafeli wapi wakati raia wa Thailand wote wameachiliwa?

Ninachomaanisha ni kwamba hawakutiliwa maanani sasa Joshua Mollel hatujui kama yup salama au la.
Kuna taarifa serikali ilituma ndege kwenda kuwachkua vijana waliopo Israel. Vijana wengi walikataa kurudi. Simaanishi Hata waliotekwa kama walikataa!!
 
Mama yuko bize social media, hayo mambo ya uwongozi ni yakina kikwete
 
Nimesikia Msikitini leo kuwa Tanzania imetuma Makomandoo 50 kwenda Israel na hadi sasa yashavuka mpaka wa Gaza kuanza kazi ya Kumsaka Mtanzania na Kulipiza kwa kifo cha Mtz aliyeuwawa Hamas wanaelewa nguvu na sio kubembelezwa Safi sana Mama kwa Maamuzi sahihi
 

Elewa tu kwa kifupi vita haichagui rangi ya mtu wala taifa la mtu. Imetokea amekufa kama maelfu ya wengine walivyokufa! Ndiyo maana watu tunaombea amani milele!
 

Siyo yetu tu sema za mataifa mengi zipo hoi! Ungekuwa wewe ungefanya nini ili Hamas wamuachilie?
 
Elewa tu kwa kifupi vita haichagui rangi ya mtu wala taifa la mtu. Imetokea amekufa kama maelfu ya wengine walivyokufa! Ndiyo maana watu tunaombea amani milele!
Correction angebaki kwenye ardhi aliyoifikia asingekufa.
 
Kuna taarifa serikali ilituma ndege kwenda kuwachkua vijana waliopo Israel. Vijana wengi walikataa kurudi. Simaanishi Hata waliotekwa kama walikataa!!
Labda wamependa nchi 🤔waulize waarabu wa huko Israel wanasema maisha ni bieeenn
 
No confirmation
 
Acha wapigwe had wany. e... Makobasi sikuzote akil hawana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…