Kwa hio umeileta kama evidence....I have a good one for youRacism in Israel Is Still Alive and Well - The Media Line
Last week, the female students of Darka High […]themedialine.org
Israeli teachers' racist WhatsApp chat caught by pupils
The education minister apologises after Ethiopian Israeli girls film teachers mocking them on a trip.www.bbc.co.uk
Ethiopian Jews suffer racism in Israel
There are more than 140,000 Ethiopian Jews live in Israel - Anadolu Ajansıwww.aa.com.tr
Umenisanua...hivi mke mkubwa wa " bwana mkubwa" anaitwa nani, hata kale kadogo , kataje tu, ili tukitaitiwa tujue pa kuanzia.Bahati mbaya ukijikuta kwenye mikono ya magaidi ya kiislamu
Gaidi akikuuliza unaitwa nani mwambie Abdulkarim akikuuliza tena mke mkubwa wa mtume anaitwa nani mwambie ndio umesilimu una wiki moja bado ujamjua
Pia usisahau kusema inshallah na allahmdulilai
Hili unusurike usije ukafa kiboya
Khadija na Aisha......ujue na shahada pia. Hapo ndo utakamatwa vizuri. Kuna Saudah Bint Zam'ma ila huyo ni wa story nyingine.Umenisanua...hivi mke mkubwa wa " bwana mkubwa" anaitwa nani, hata kale kadogo , kataje tu, ili tukitaitiwa tujue pa kuanzia.
Asante sana , Nita download Qur'an niwe aware kidogo.Khadija na Aisha......ujue na shahada pia. Hapo ndo utakamatwa vizuri. Kuna Saudah Bint Zam'ma ila huyo ni wa story nyingine.
Kweli tusubiri ila kama hajatuma, namuombea aguswe atumeTusubiri tamko la familia ya marehemu
Dubai hawana mahusiano mazuri na Hamas.Clemence siye mateka pekee aliyefariki huko Gaza, na sioni sababu ya kifo chake kihusishwe na rangi yake ama udini. Hoja kubwa ninayoiona hapa ni juhudi gani zilifanywa na wizara husika kuwanusuru hawa wenzetu, na wala hatukuona wakilipa uzito kwenye vyombo vya habari. Yani walishindwa hata kujiongeza kupiganisha huko Arab Emirates kwa wenye DPWorld yao wasaidie ku push kwakuwa ni maswahiba wa Hamas.
Wewe unaropoka tu! Wewe utakuwa hupo sawasawa kichwani. Waliokuwa wanamshikilia, Hamas, wamekiri amekufa mikononi mwao, ila wamekataa kumwua, halafu wewe punguani unaropoka tu!!Kauliwa na Isreal
Kafa wakiwa mikononi mwa hamas lkn kwa bomu la isrealWewe unaropoka tu! Wewe utakuwa hupo sawasawa kichwani. Waliokuwa wanamshikilia, Hamas, wamekiri amekufa mikononi mwao, ila wamekataa kumwua, halafu wewe punguani unaropoka tu!!
Hamas wanasema kuwa marehemu aliugua. Wanadai walimpeleka hospitali, alipopata nafuu walimrudisha huko walikokuwa wamemficha. Wanadai eti, akiwa huko walikomficha alikufa kutokana na hofu!!Either Israel missiles or Hamas. So far hatujui. Palestinian arab ni wabaguzi wa rangi wakubwa. It's possible walimuua kwa sababu ni mtu mweusi pia
Tumfukuze balozi wa Palestina kwenye nchini mwetu. Hatuwezi kuwa na mahusiano na mamlaka inayolea magaidi.Poleni watanzania wote kwa kuondokewa na kijana Clement. Inahuzunisha.
Suluhisho la hili ni nini, mleta mada.?
Majibu yatatoa mwanga u-raia wa namna gani!
Wewe kweli punguani!! Hamas ambao waliwapiga na kuwaua Wapalestine wenzao ambao walikuwa wamefikia hatua nzuri ya kuwa na Taifa la Palestina, wewe unawaita freedom fighters!! Nchi yetu ni dhahiri ina wendawazimu wengi kuliko tunavyodhania.Kauwawa na IDF .. Clemence Hana impact yoyote kwa Hamas ila IDF wamemuua ili kuja kuwa blame freedom fighters hamas ...
Tuanze na Isreal ndio wanafukuzwa kila nchiTumfukuze balozi wa Palestina kwenye nchini mwetu. Hatuwezi kuwa na mahusiano na mamlaka inayolea magaidi.
Hata unachoa dika wewe mwenyewe huelewi. Umesema wazi kuwa Israel ina wafungwa waarabu kwenye magereza yao. Mfungwa au mahabusu, ni tofauti kabisa na mateka wa magaidi.Utmost bullshit, sema kama sio uvamizi wa Israel kwenye ardhi ya palestina kusingekua na huu mgogoro na watu wasingetekwa. Hivi unajua Israel ina mateka wa kipalestina zaidi ya elfu 1 ila wangetekwa na Hamas ungesikia kelele kibao kuwa ni magaidi.
Acheni unafiki
Iko hivi, wathailand 12 wameachiwa pamoja na waisrael 12 ikiwa ni makubaliano yaliyofanyika Kati ya Israel na Hamas. Sasa tujadili hill jambo. Clemence Mtenga sasa ni marehemu, amefia Gaza. Mpaka sasa maelezo hayajanyooshwa kuwa kafa kwa kombora, au gunshot etc. Vyombo vya habari vinavyojulikana hapa nchini hawakutangaza kuhusu hawa Vijana waliotekwa hata katika tukio la bwana Clemence kufariki. Katika pita pita Zangu mtandaoni niliona kuwa serikali ya Thailand ilifanya makubaliano na Iran ili wananchi wao waachiwe. Lakini bongo kuna watu wengi hawana hata taarifa kuwa kuna Mtanzania kauwawa. Nina unpopular opinion, mimi nadhani ubaguzi wa rangi na udini umefanya hili jambo lisichukuliwe kwa uzito na kusababisha kifo. Inasemekana wapalestina waarabu ni wabaguzi wa rangi kwa black Palestinians....inawezekana Hamas wamemuua kwasababu his, au alishikiliwa na raia na katika missle akawa mhanga. Pili mimi naamini Jina lake lingekuwa Rashid Mtenga, tungekuwa nae....ila kwa kuwa anaonekana sio part ya Islam umma, wala hakuna alietilia maanani kwanzia viongozi wa dini waliotaka kuandamana mpaka serikalini.
Hata mbowe aliitwa gaidi.jee ni gaidi?Hata unachoa dika wewe mwenyewe huelewi. Umesema wazi kuwa Israel ina wafungwa waarabu kwenye magereza yao. Mfungwa au mahabusu, ni tofauti kabisa na mateka wa magaidi.
Wapi nimeandika wafungwa? Hao ni mateka maana hawana kesi wala jalada la mashtaka bali wamekua detained permanently without due process in the courts of law. Hao ni mateka tu sema sababu ni Israel mnasifia ila akifanya Hamas mnadai ni magaidi.ina wafungwa waarabu kwenye magereza yao