DOKEZO Clinic ya Marie Stopes Mwanza inatoa huduma za utoaji mimba (abortion)

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Ni kweli kaka, ila kumbuka mimba inaingia kwa ushirikiano wa mwanaume na mwanamke. Kwa hiyo ushirikiano huu ukiendelea baada ya mimba kutungwa, ni ngumu kwa mwanamke kuwaza kutoa mimba.
Hakuna sababu yoyote ile ya kuua. Abortion ni kuua kiumbe hai. Sasa uue kisa limwanaume halieleweki, uue?
 
Mungu wa Mbinguni akupe ulinzi
 
Jambo la kwanza wanaotoa mimba hawana kosa nadhani ni muda sasa sheria itungwe iruhusiwe kama Marekani tayari kutoa mimba sio kosa maana ata wewe unayetumia kondom unaenda kuzuia mimba kumbe kuna muda sahihi wa kupata mtoto.
Angalizo wadada wengi mmeishia kwa manabii na waganga wa jadi kutafuta watoto mliowaharibu mngali wadogo uko mtapewa mimba na ao waganga hewa na ao watoto watawatesa maisha yenu yote.
Mimba zinatolewa sio kila anayetoa mimba anadhamira mbaya wengi zinatolewa kuokoa uhai wa mama.
 
Kwa kuokoa maisha ya mama inajulikana, na madaktari ndo huamua hilo. Ila hawa wanazozitoa ni zile za mtu kuamua tu, hakuna medical indication.
Ishawishini serikali kupitia wizara ya Afya na wizara ya sheria wabadilishe sheria na kuruhusu abortion, sio sasa hivi kufanya hivyo wakati sheria za nchi zinakataza.
 
Kwa hiyo hakuna haja ya kuripoti huu uvunjaji wa sheria?
hakuna haja ya kuripoti, sio kesi.

Aliyejiripoti mwenyewe kwamba anajuta katoa mimba tatu za Kanumba na sasa hazai tena hakukamatwa.

Unenforced laws. Hata Marekani zipo. Kuna wa Mexico kila asubuhi wanajipanga barabarani nje ya maduka ya hardware wanasubiri waokotwe na mafundi wakapige day waka, na wanajulikana wamebinjuka border, lakini hawakamatwi. Sio kesi.
 
Halafu wafanyakazi wao wengi wanauza vifaa vya mastabation
 

Hii ni kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…