Hanifer Mjanja
JF-Expert Member
- Dec 10, 2019
- 217
- 329
- Thread starter
- #41
Mamlaka za nchi zina namna yake ya kufanyia uchunguzi haya masuala, kama zikinihitaji naweza kuchangia ushahidi wangu juu ya ninachokijua.Upo tayari kutoa ushahidi??.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mamlaka za nchi zina namna yake ya kufanyia uchunguzi haya masuala, kama zikinihitaji naweza kuchangia ushahidi wangu juu ya ninachokijua.Upo tayari kutoa ushahidi??.
Inaonekana umekata tamaa kukemea maovu ya hapa duniani.Kila laheri
Unaleta mzaha kwenye issue sensitiveBy the way Bi Hanifer Mjanja nmeshakupenda siwezi ishi bila wewe nimeshajisogeza upenuni mwa PM yako nipokee nurul ain
Za diniKunywa pombe ni kinyume cha sheria za nchi?
Hii haiwez kuwa biashara bali uuwajiKutoa mimba gharama zake Ni sh ngapi ?
Hizo njaa zako ulizozisema zinashibishwakwa hela za hao wanaofanya abortion !
Usiharibu biashara ya watu wengine, kituo kikifungwa/wakinyang'anywa leseni utakula mawe ?
Kistaarabu ulitakiwa uondoke hapo ukatafute maisha sehemu nyingine !
Kuwasagia kunguni sio suluhisho!
Mkuu nikuambie hii dunia haina huruma hata kidogo,,, , ,,, wewe fanya Mambo yako yanayokuhusu tu,,, dunia imejaa kila Aina ya ushetani, Kuna watu wanakula mpaka nyama za binadam wenzao ,,, !
UK sio Tanzania, hapa utoaji mimba ni kosaIlianzishwa kwa ajili ya utoaji Mimba huko UK. Hii ndo kazi yake ya kwanza kabisa kwenye katiba yao
Wacha nature iamueInaonekana umekata tamaa kukemea maovu ya hapa duniani.
Simply ondoka hapo katafute maisha sehemu nyingine? Wewe si umesoma? Ni competent? Jiamini na vyeti vyako, maisha sio sehemu moja tu!Nasema njaa kwa sababu nilikubali kufanya kazi hapa nikijua kabisa kinachoendelea, na nimekua nikishiriki hiyo dhambi, ila imefika wakati naona sasa hapana, nimeona niseme tu ili mamlaka husika zichukue hatua. Wewe unajali wao kunyang'anywa leseni ila haujali uuaji wanaoufanya kila siku?
Sasa inahusiana nini na watu kuvunja sheria za nchi mkuu?Za dini
Utoaji wa mimba ni nature?Wacha nature iamue
Hii ni nature ya watu, anapractice unsafe sex akijua abortion ipoUtoaji wa mimba ni nature?
Hata wanaoiba ni wao wenyewe wameamua kuiba, na wanavunja sheria pia (ambazo umesema zimewekwa ili zivunjwe), kwa hiyo pia tusiwaingilie, tuwaache tu waibe?Simply ondoka hapo katafute maisha sehemu nyingine ? Wewe si umesoma ? Ni competent ? Jiamini na vyeti vyako, maisha sio sehemu moja tu !
Wanaotoa si wameamua wenyewe ? Inakuhusu ?
Sheria ? Ndo kitu gani ? Zimewekwa ili zivunjwe !
Maana yangu sio vyote vilivyozuiwa au kukatazwa ni vibaya au vizuriSasa inahusiana nini na watu kuvunja sheria za nchi mkuu?
Huu ushauri,wa kibabe [emoji1]Simply ondoka hapo katafute maisha sehemu nyingine ? Wewe si umesoma ? Ni competent ? Jiamini na vyeti vyako, maisha sio sehemu moja tu !
Wanaotoa si wameamua wenyewe ? Inakuhusu ?
Sheria ? Ndo kitu gani ? Zimewekwa ili zivunjwe !
Daaahhh..!! Yaani sielewi hasa unachotetea. Inawezekana wewe ni mmojawapo wa wanaofaidi kwa hii biashara ya utoaji wa mimba.Hii ni nature ya watu, anapractice unsafe sex alikua abortion ipo
Kwa hiyo utoaji wa mimba kwa maoni yako ni mbaya au mzuri?Maana yangu sio vyote vilivyozuiwa au kukatazwa ni vibaya au vizuri
😃😃😃Mkuu acha watu wapige pesaa. Uki question Kila kitu utaumiaaaDaaahhh..!! Yaani sielewi hasa unachotetea. Inawezekana wewe ni mmojawapo wa wanaofaidi kwa hii biashara ya utoaji wa mimba.