Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yule akibaki na mimba ikaleta mtoto akimshindwa kumlea kwa ugumu wa maisha kukimbiwa na mwanaume aliemtia mimba akaamua amfukie ardhini au akamtupa jalalani ikabainika amefanya hivyo anaeenda jela ni nani?Nasema njaa kwa sababu nilikubali kufanya kazi hapa nikijua kabisa kinachoendelea, na nimekua nikishiriki hiyo dhambi, ila imefika wakati naona sasa hapana, nimeona niseme tu ili mamlaka husika zichukue hatua. Wewe unajali wao kunyang'anywa leseni ila haujali uuaji wanaoufanya kila siku?
Acha afichue uovu,kusoma na kujiamini ni pamoja na kuisaidia jamii yake,sasa kama umesoma na husaidii jamii elimu yako yafaa nini?Simply ondoka hapo katafute maisha sehemu nyingine ? Wewe si umesoma ? Ni competent ? Jiamini na vyeti vyako, maisha sio sehemu moja tu !
Wanaotoa si wameamua wenyewe ? Inakuhusu ?
Sheria ? Ndo kitu gani ? Zimewekwa ili zivunjwe !
Mbona unaanzia katikati mkuu? Mimba inaingiaje bila kutarajia? Maana mimba kuingia sio sawa na mtu kudondokea mtaroni wakati anatembea.Yule akibaki na mimba ikaleta mtoto akimshindwa kumlea kwa ugumu wa maisha kukimbiwa na mwanaume aliemtia mimba akaamua amfukie ardhini au akamtupa jalalani ikabainika amefanya hivyo anaeenda jela ni nani? Sasa kipi bora uende jela ukasotee miaka kwa sababu ya tumbo lako au utoe mimba ambayo imeingia bila kutarajia ukaendelea na maisha mengine?
Sometimes uwe unafikiria nje ya box mkuu dunia imejaa ushetani huo wa kutoa mimba cha mtoto,
Kwa hiyo tuache tu mimba ziendelee kuflashiwa ili facility isifungwe?Ni kweli ni vibaya ila hayo ndo madili yenyewe...
Ukiamua kufwata na kufanya vitu halali tu basi ipo siku hyo facility itafungwa.
Hapana, wala sijafukuzwa, ila nimechoka kushiriki uuaji kila siku.Umefukuzwa kazi na sasa umeona kama mbwai iwe mbwai..?
Mkuu wengine hawajui mpangilio wa mzunguko wa siku zao wengine siku hua zinavurugika kwa hio anajikuta tu kamwagiwa Dejan wawili baada ya mwezi kitu kinasomaMbona unaanzia katikati mkuu? Mimba inaingiaje bila kutarajia? Maana mimba kuingia sio sawa na mtu kudondokea mtaroni wakati anatembea.
Kwa hiyo suluhisho ya hayo ni kufumbia macho utoaji wa mimba kinyume cha sheria?Mkuu wengine hawajui mpangilio wa mzunguko wa siku zao wengine siku hua zinavurugika kwa hio anajikuta tu kamwagiwa Dejan wawili baada ya mwezi kitu kinasoma
Ok.Mamlaka za nchi zina namna yake ya kufanyia uchunguzi haya masuala, kama zikinihitaji naweza kuchangia ushahidi wangu juu ya ninachokijua.
Pigania utoaji mimba uruhusiwe sasa,kwa sasa ni kosa la jinai kwahio wanachofanya Marie stopes ni kuihujumu nchi.Yule akibaki na mimba ikaleta mtoto akimshindwa kumlea kwa ugumu wa maisha kukimbiwa na mwanaume aliemtia mimba akaamua amfukie ardhini au akamtupa jalalani ikabainika amefanya hivyo anaeenda jela ni nani?
Sasa kipi bora uende jela ukasotee miaka kwa sababu ya tumbo lako lililobeba mimba au utoe mimba ambayo imeingia bila kutarajia ukaendelea na maisha mengine?
Sometimes uwe unafikiria nje ya box mkuu dunia imejaa ushetani huo wa kutoa mimba cha mtoto,
Mkuu sheria pekee zinazoheshimiwa zipo kwenye vitabu vya dini hizi zingine zinapindishwa kila siku tena na watunga sheria wenyewe, sasa wewe ni nani usipindishe sheria?Kwa hiyo suluhisho ya hayo ni kufumbia macho utoaji wa mimba kinyume cha sheria?
Unajua kuwa hata mwizi anapindisha sheria pia?Mkuu sheria pekee zinazoheshimiwa zipo kwenye vitabu vya dini hizi zingine zinapindishwa kila siku tena na watunga sheria wenyewe, sasa wewe ni nani usipindishe sheria?
Sijasema iruhusiwe nimesema angalia huyo anaeamua kutoa mimba ana hali gani, unajua binadamu mnajua kulaumu tu hamjui kuangalia upande wa pili nini kimepelekea atoe mimba?Pigania utoaji mimba uruhusiwe sasa,kwa sasa ni kosa la jinai kwahio wanachofanya Marie stopes ni kuihujumu nchi.
Hilo sijui labda umpate mmoja umuulize kua unajua unapindisha sheria,Unajua kuwa hata mwizi anapindisha sheria pia?
Si njaa zake ndo zinamfanya aendelee kuwa kwenye hiyo taasisi Kama alivyobainisha si ndio ?Acha afichue uovu,kusoma na kujiamini ni pamoja na kuisaidia jamii yake,sasa kama umesoma na husaidii jamii elimu yako yafaa nini?
Inamhusu kwa sababu jamii inayoathirika ni jamii ambayo nae anaishi.
Asante sana, naona watu wanatetea uvunjaji sheria za nchi.Acha afichue uovu,kusoma na kujiamini ni pamoja na kuisaidia jamii yake,sasa kama umesoma na husaidii jamii elimu yako yafaa nini?
Inamhusu kwa sababu jamii inayoathirika ni jamii ambayo nae anaishi.