DOKEZO Clinic ya Marie Stopes Mwanza inatoa huduma za utoaji mimba (abortion)

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Abortion (kutoa mimba) ni MAUAJI sawa na kumnyonga mtu mzima.

Abortion sio tu kuvunja sheria ya nchi bali ni DHAMBI mbele ya Mungu.

Mungu ana kanuni zake. Ukipanda maharage, utavuna maharage. Ndio kanuni ya "KARMA"- yaani kila unachofanya ujue UTALIPWA TU. Hapo ni Mungu mwenyewe anajua atakulipaje.

Kama ni binti uliyetoa mimba, unaweza kujikuta utakapoolewa mimba hazishiki, au zinatoka. Au ukampata mume wa kukutesa vibaya - utafikiri ni roho yake mbaya kumbe ni malipizi ya uliyofanya kabla.

Umaweza kuzaa watoto wakakua, wakamaliza chuo, lakini kabla hujaonja "matunda" ya kuwasomesha, mwingine anakufa. Mwingine anakuwa shoga, na mwingine anakuwa mlevi wa madawa ya kulevya na pombe juu. Kumbe:- KARMA !!
 
Hii haiwez kuwa biashara bali uuwaji
 
Simply ondoka hapo katafute maisha sehemu nyingine? Wewe si umesoma? Ni competent? Jiamini na vyeti vyako, maisha sio sehemu moja tu!

Wanaotoa si wameamua wenyewe? Inakuhusu?

Sheria? Ndo kitu gani? Zimewekwa ili zivunjwe!
 
Simply ondoka hapo katafute maisha sehemu nyingine ? Wewe si umesoma ? Ni competent ? Jiamini na vyeti vyako, maisha sio sehemu moja tu !

Wanaotoa si wameamua wenyewe ? Inakuhusu ?

Sheria ? Ndo kitu gani ? Zimewekwa ili zivunjwe !
Hata wanaoiba ni wao wenyewe wameamua kuiba, na wanavunja sheria pia (ambazo umesema zimewekwa ili zivunjwe), kwa hiyo pia tusiwaingilie, tuwaache tu waibe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…