DOKEZO Clinic ya Marie Stopes Mwanza inatoa huduma za utoaji mimba (abortion)

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Kwa hiyo najisumbua bure tu, haiwezi kusaidia kitu?
Serikali ikiingilia wafadhili wenu nao watazuia funding. Umejiuliza ajira zenu zinahudumia idadi ya watu wangapi nchini kiuchumi?

Hakuna lisilojulikana serikalini, lakini ukishakuwa tegemezi ndio hivyo tena.

Kutoa mimba ni jinai kama ilivyo kwa vitendo vya ushoga. Hujasikia kuna watu wamepewa fedha kuja kuhamasisha ushoga nchini?! 😆😆😆
 
Ilianzishwa kwa ajili ya utoaji Mimba huko UK. Hii ndo kazi yake ya kwanza kabisa kwenye katiba yao

Asante mkuu
Kuna watu hawajui hasa majukumu ya msingi ya hii taasisi; mojawapo mi kusaidia watu wenye complications za masuala ya uzazi
Lingine ni kutoa elimu/ushauri na huduma za uzazi wa mpango ikiwa ni njia za muda mrefu na muda mfupi.


Kama mtu hajui kazi za Marie Stopes aende ku gugu ataziona![emoji3]
 
Daaahhh...!! Ngoja nione nini kitafuata baada ya hii taarifa yangu, kama mambo yataendelea kama kawaida basi nitaamini kuwa mamlaka zimebariki hili.
 
Lakini kwa Tanzania hawajapewa usajili kwa ajili ya kutoa huduma za abortion, kasome hata website yao ya Marie stopes Tanzania.
Kwa sababu abortion kwa Tanzania ni illegal.
 
Hapana
Nilikuwa najaribu kuunganisha dots
Ok.
Huwa wanajificha chini ya mwamvuli wa kutoa huduma za uzazi wa mpango na kutoa elimu kuhusu uzazi wa mpango.
Ila nyuma ya mlango wanayoyafanya ndo hayo ya kuflash.
 
Yes Katiba yao inasema : Iwapo mwanamke anamimba labda kabakwa au akuwa Tayari kuzaa(mfano yupo JKT(kwa Tanzania) ni mfano tu! Au yupo Chuo etc - Yaani ana sababu ya msingi kama yeye- Rukhusa Kutoa MIMBA! Ata yeye Mwanzilishi alianzisha hii Marie Stopies kwa sababu alikuwa ataki tena zaa na mume wake wa Ndoa😭Yes Marie Stopies aliamuwa ataki tena zaa na mumewe wa Ndoa- na Leo hii UK ambako ndo asili ya Marie Stopies Mkeo wa Ndoa kama amesema ataki usex nae- ukiforce Ni Kesi ya KUBAKA- na anaweza enda akaitoa mimba na ana kosa kisheria
 
Ni Watoa Mimba walioizinishwa na Serikali ya Uingereza! Na kwa sasa wapo Duniani kwenye nchi zaid ya nchi 30!. Once nikutana na boss wao pale Sinza opp na ilipokuwa Ongera Bar- wapo mpaka leo ndo alinipa hii history yao na majukumu yao
 

Attachments

  • D7D491A9-73CF-4ED2-81D7-0E496666710D.jpeg
    6.5 KB · Views: 10
  • A2530949-A4FE-41B7-9833-9D7175371D88.png
    80.9 KB · Views: 10
  • 98F168E2-16ED-4590-90AE-1639B6D65489.png
    93.8 KB · Views: 9
  • 9CC004C5-AD68-42CF-B760-BEA4C1001FC5.png
    247.7 KB · Views: 10
Ni sawa, ila angalia website yao kwa Tanzania hapa What we do. hakuna sehemu wamesema wanatoa huduma za abortion, kwa sababu wanajua ni kinyume cha sheria, na walipoomba usajili Tz, hawakuomba kwa ajili ya kutoa huduma za kutoa mimba (cheki screenshot niliyo attach)
 

Attachments

  • Screenshot_2023-01-05-19-02-04-521_com.android.chrome.jpg
    126.7 KB · Views: 11
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…