Clip ya RC Chalamila imenikumbusha mara ya kwanza nilipohudhuria mazishi ya kiislamu. Yale mafundisho nlopata pale huwa yananirudia akilini

Mazishi ya kikristo nimehudhuria mengi ila mahubiri hayatishi kama ya kiislam. Ya kiislam hata kama ni mtu wa totoz na gambe unaweza stop kdg
Hujaenda Kigoma wakati wanaamsha watu kuswali alfajiri ni full kutishana kama una demu chumbani unaweza kuahirisha mechi ya morning glory 🤣🤣🤣
Mara ooh kitanda ni jeneza mara oooh shuka ni sanda

Aaaahhrrrrrwalinikeraaaaa
 
Ulitaka kuzungumzia ushoga ila ukakosa namna ya kuwasilisha, ndo ukaja na huu uzi kusingizia mazishi ya kiislamu.
 
katika uislam hotobu/mafunzo yanayotolewa baada ya maiti kuzikwa ni kwaajili ya walio hai na siyo kwaajili ya marehem, marehem yake yameshapita kinacho mfaa ni dua tu.
 
Hilo halimanish wafu wanahukumiwa maana wafu hawajui Jambo lolote kamwe soma tena vizuri..

Muhuri 9:5 Kwa maana walio hai wanajua kwamba watakufa, lakini waliokufa hawajui jambo lolote kamwe, wala hawana thawabu tena, kwa sababu kumbukumbu lote kuwahusu limesahauliwa.
 
Sasa kwann uliingiza ktk mada yakoo??
Unaendelea kulazimisha niwaongelee tu.

Mie nimefikisha ujumbe kwamba shehe alisema hizo haki mnazoziita za binadamu mkumbuke pia kuna haki za Muumba wenu aloweka jinsia mbili, ME na KE. Sasa haki zenu zinavyowatoa akili mkataka ME awe KE na KE awe ME ndipo tayari mna-subscribe kwenye ukichaa uliohalalishwa na watu waliokosa aibu, soni na akili
 
See me tmrw
 
Ndo lengo la uzi wako lilikua hili, yaan bila kuzungumzia hamjisikii ahueni.
Lol
 
Kweli shetani ana nguvu,kuhama ndo ukaona soln!badala ya kuhudhuria ibada?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…