Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikulala bila malipo?Yaani umeonekana Kabisa Una Hofu kubwa ya Maovu uliyotenda....Tulia kaa kwa kutulia ulipie uovu wako...Kwanza Mtangazaji ana maamuzi Gani yeye sio Mkurugenzi sasa kwa akili zako muajiriwq tu ana maamuzi gani kwenye kampuni..Wakati Mwingine watz huwa mnaonyesha udhaifu mkubwa hata wa Kuelewa mambo madogo tu...Huna hata akili kidogo za kuelewa Hii ni Kampuni na Makonda aliivamia wanaojua nn kifanyike sio Mwajiriwa kama huyo mtu mdogo.....
Badala mjirekebishe muache uovu mnajificha eti ugaidi...jinga
[emoji3][emoji2][emoji38][emoji16][emoji16]Yule ni undercover,
Lazima wajilinde maana linaweza kuwaangukia...haijulikani Mama yupo upande upi kwa suala la hiki kiumbe 😆😆😆
Mgongo upi tena?Tunaojitambua tulijua tu Mwanasheria uchwara anatafuta kiki kupitia mgongo wa Makonda.
Jamhuri inaweza kumshtaki, msimvimbishe makalio shoga yenu.Kusaga hawezi kumshtaki Makonda!
Hujui Sheria ya Jinai wewe
Mtu Binafsi hawezi kushtaki, ni Serikali ndio Inashtaki, Mtu Binafsi atakuja kama Shahidi Tu
Hao Clouds hawana Uwezo kisheria Kumshtaki Bashite, atashtakiwa na Serikali na wao watakuja Kama Mashahidi Tu.
Huyo Sam Kilaza Hana anachojua.
Kama alivyofanywa Jangili Sabaya.
Jua Serikali Ikimshtaki hachomoki
Na Clouds watakuja Kutoa ushahidi
YalimalizwaUtetezi wenu una maana ipi, kabla ya kwenda mbali, au mna maanisha kilichofanywa ni halali? Majibu tasafali, kabla mambo hayajawa mengi.
Kusaga hawezi kumshtaki Makonda!
Hapo bado Wamarekani hawajaleta ushahidi wao!Utetezi wenu una maana ipi, kabla ya kwenda mbali, au mna maanisha kilichofanywa ni halali? Majibu tasafali, kabla mambo hayajawa mengi.
Makonda alikuwa na ofisi yake mle mle mjengoni sasa atavamiaje ofisini kwake?Wewe unasemaje, walivamiwa au hawakuvamiwa?
Siyo kwamba hawakuvamiwa, bali wao wanakana kuhusika kwenye kufungua kesi au kuhusika kutoa ushahidi wowote, (maana yake hawataki usumbufu).
Walivamiwa lakini wanaamua kuachana na hayo. Hilo halimuondolei jinai Makonda. Kama Jamhuri ikiamua kulianzisha, lazima apandishwe kizimbani.
Cc Elungata johnthebaptist
Alafu shahidi ataenda kuwa nani kama clouds wamesema hawakuvamiwaWewe unasemaje, walivamiwa au hawakuvamiwa?
Siyo kwamba hawakuvamiwa, bali wao wanakana kuhusika kwenye kufungua kesi au kuhusika kutoa ushahidi wowote, (maana yake hawataki usumbufu).
Walivamiwa lakini wanaamua kuachana na hayo. Hilo halimuondolei jinai Makonda. Kama Jamhuri ikiamua kulianzisha, lazima apandishwe kizimbani.
Cc Elungata johnthebaptist
Nimekupenda bureClouds wana haki ya kutohusika maana kwao hilo neno lilishaisha
Ila wasiopenda amani, wanaohukumu wengine kwa kutumia historia, wenye chuki wataendelea kupambana na mambo yasiyo na tija wala maendeleo kwa jamii wala familia zao binafsi.
Makonda katulizana tuliii, waliokosewa washayamaliza lakini wapenda vita wameamua kumuinukia. Wataweza???
Anayefungua kesi ya makonda na clouds hana tofauti na mtu anayeenda kuhamisha msiba wa jirani na kuupeleka kwake
Kuna wakati nakuona kama zimo hivi ndiyo maana nikaku copy ili uone mawazo mgando ya wengine, kumbe nawe ni wale wale tu.Makonda alikuwa na ofisi yake mle mle mjengoni sasa atavamiaje ofisini kwake?
Siku ile alikuwa anakagua tu studio.
Makonda alikuwa na ofisi yake pale Clouds, sasa unabisha nini?Kuna wakati nakuona kama zimo hivi ndiyo maana nikaku copy ili uone mawazo mgando ya wengine, kumbe nawe ni wale wale tu.
Hapa tunazungumzia Clouds!Tuhuma za Makonda siyo kuhusiana na Clouds tu, zipo zingine.
Ndio!Sasali ni msemaji wa Clouds Media?