Tulipotaka Katiba mpya kuna watu walikataa.Aisee kweli hii nchi ni ya kitumwa yaan kila baada ya dkk kadhaa nasikia huko kwa jiran "CLOUDS REDIO INAOMBA RADHI..."
Wewe mwaka 2015 ulikuwa jela ? Mwaka 2015 ndo ulikuwa mwaka mgumu sana ktk chaguzi walizowai kushiriki CCM sidhani kama uchaguzi huu unawaumiza kichwa CCM ndo maana toka Chadema waanze kupiga kelele umeona nani wa CCM anajibu kwa maana ya kudharau ingekuwa wanayosema Chadema yana inpact au damage kwa Chama na serikali bhasi kila siku ungemuona Polepole au Msemaji wa serikali Mr Hassan mbele ya waandishi wa habari kujibu hzo ngonjera za Lissu na chademaNyie hamjagundua plan
Lissu ataanza kampeni DSM
Vyombo hivi vya habari sasa hivi kwenye kipindi rasmi cha kampeni ni vigumu kuvidhibiti kutotangaza habari za wapizani 100%, yaani wataanza kutupia tupia, na hilo watawala hawalitaki!
Kwa hiyo plan ni ifungie Cloud Media ambayo inasikilizwa na wananchi wengi zaidi kuliko vyombo vingine ili kupisha kimbunga cha Dar, maana CHADEMA wamejiandaa kufungulia kampeni Dar
Sasa Dar ikikubali kwa Lissu, ni rahisi mikoa mingine kuitika!
Kwa hiyo watawala wanataka siku CCM wakiwa Dar, Cloud Media itakuwa imeshakuwa huru kurusha mikutano ya CCM na hivyo kuwapa CCM coverage kubwa.
Eleweni hii michezo ya kisiasa inavyochezwa nyie
Nonsense. Vipi hao Wakurugenzi ambao walitangaza? Nilimsikia Msimamizi wa Jimbo la Ruangwa akitangaza tena kwa mbwembwe kuwa Majaliwa amepita bila kupingwa. Yeye anachukuliwa hatua gani?Muda huu Eng. Kilaba anazungumza na vyombo vya habari, anatangaza kuifungia Clouds Media TV na Radio kuanzia kesho tarehe 28 hadi tarehe 3 septemba, kuanzia dakika hii hadi jioni Clouds media isitishe matangazo yote na irushe tangazo la kuomba radhi hadi jioni, kosa ni kutangaza wagombea waliopita bila kupingwa
Mara ya mwisho kusikiliza Clouds FM ilikuwa wakati madogo wangu M.L. Chris na Seba (Deo) Maganga walipokuwa wakitangaza.Waifungie tu Great Thinkers huwa hawasikilizi Clouds FM... alisikika mwanaJF mmoja akisema.
Tanzania daima liko wapi? kama Clouds inafanyiwa hivyo je Chadema itafanyiwaje? Watawezana na hizo faini za kila siku?Umeona sasa!!! only smart people will understand this.........hivi lini chadema wanakuja na chombo chao??
Clouds ni rafiki wa ccm lakini kwenye hilo la kupita bila kupingwa wakaamua kuwa wakweli kumbe hawakujua ccm huwa hawataki kukosolewa liveKwahiyo hapo ukweli ni nn? Kwamba hawajapita bila ya kupingwa au?
TBC hutizamwa na kada wa ccm pekee hakuna mwananchi mpenda Amani anaitizama TBCTanzania daima liko wapi? kama Clouds inafanyiwa hivyo je Chadema itafanyiwaje? Watawezana na hizo faini za kila siku?...
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imevifungia vituo vya habari vya Clouds TV na Radio kwa siku saba kuanzia kesho Agosti 28 na adhabu ya kuomba radhi siku nzima ya leo kwa kosa la kukiuka kanuni za utangazaji na kanuni ndogo za utangazaji za Uchaguzi.
TCRA imesema kosa walilolifanya ni kutangaza takwimu za Uchaguzi ambazo hazijathibitishwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC). Hii ni adhabu ya 2 ndani ya mwezi huu kwa Clouds baada ya kipindi chake cha Jahazi kufungiwa siku chache zilizopita.
View attachment 1549643
=====
The Tanzania Communication Regulatory Authority has on Thursday August 27 banned Clouds TV and Clouds FM for Seven days with immediate effect.
The authority said in a press conference today that the station has been banned after it announced election statistics that had not been approved by the National Electoral Commission.
On Wednesday NEC said the station had aired results that showed that certain Members of Parliament aspirants had sailed through unopposed after other contestants failed to meet nomination criteria in certain constituencies.
Earlier this month TCRA banned a radio programme (Jahazi) from the same station for allegedly promoting immorality in the society.
Zaidi, soma;
Uchaguzi 2020 - Tanzania: The National Elections Regulations(2020) - Mambo muhimu ya kuzingatia
Mimi Clouds huwa siwasikilizi hata siku moja na siwapendi kwani ni vibaraka.Wafungiwe maisha ni wapuuzi sana
Hapa nakuunga mkono kufungia siku 7 redio na tv inayotazamwa na namba 1 sio rahisi.Watafunguliwa kabla ya siku saba kuisha.
Kama kuna mtu anabisha aseme.
Nina uhakika 100% magufuli hawezi kuwaacha watoto pendwa wasisikike hewani 7 days. Never!
Kuna amri itatoka juu muda si mrefu!.
Sent from my Infinix Zero 3 using JamiiForums mobile app