CLOUDS: Mishahara ya walimu inadhalilisha utu wao

Bachelor Ii Mpumbafu wewe mimi ni mwalimu na wazazi wangu wote walikuwa walimu na maisha yetu ni mazuri kuliko hata hayo ya wafanyakazi wa TPA unaojikomba kwao. Suala na maisha na maendeleo ni kujipanga wala sio kipato wewe kapuku. Tena uwe na adabu!
 
Bachelor Ii Mpumbafu wewe mimi ni mwalimu na wazazi wangu wote walikuwa walimu na maisha yetu ni mazuri kuliko hata hayo ya wafanyakazi wa TPA unaojikomba kwao. Suala na maisha na maendeleo ni kujipanga wala sio kipato wewe kapuku. Tena uwe na adabu!
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hawa watu wanatakiwa kukemewa maana wanaongea ujinga mwingi sana..

Hivi mnajua salary ya Mwalimu wa degree ni kubwa kuliko injinia wa Halmashauri mwenye degree?

Hivyo hivyo Kwa diploma au cheti? Hao wengine hawadhalilishwi ila Walimu tuu?

Na nyie Walimu kataeni kudhalilishwa na kutumiwa kutafutia umaarufu Kwa watu wapuuzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…