Yani uyu jamaa namshangaa kinyama ao walimu wakuwadhihaki kila siku ni kwa faida ya Nan??? Alafu kwa nn statement zake ni za generalization?? Kweli kila mwalimu ni WA hovyo kama anavyo zani ?? Dah...izi sifa za kijinga kweli . Kwa nn asiandike barua ya wazi kwa Rais yeye mwenyewe akili na maona alisemee hili kundi lisilo na akili kama ambavyo amekuwa akisema?Inaonesha wazi wewe ilikosa hii ajira. Waalimu hawa hawa au wengine ? Unafika shule ya Msingi kumefurika. Magari ndani ya parking ya Waalimu utafikiri showroom pikipiki hazina idadi .
Sasa kama unayatambua haya iweje uwaseme vibaya ???Kada zingine Zina allowance kibao, food allowance, house allowance, transport allowance, nk mbali na hayo wana vikao kila wiki tena vya pesa nzuri tu. Sasa njoo Kwa walimu manina anasahihisha mitihani ya ndani bureee, anasimama bureee, mitihani ya mock mkoa na wilaya bureeee, anafundisha mpaka jumapili bureeee, hawana hata vikao navikiwepo vya SMT ni bureeee, kila kitu halambi hata sumuni
daah jf ilipoa sana pasipo wewe mwanangu mpwayunguMpaka vyombo vya Habari vimeliona hili, walimu mjitathimini vinginevyo mtadharaulika mpaka kufa kwenu. Mnachekwa mpaka na watoto wanadai mmekuwa ombaomba kwa kuwaomba wanafunzi wawanunulie Chai muda wa break na wakisema pesa hawana mnawachapa.
Walimu wengi mnawalazimisha wanafunzi wanunue vibiashara vyenu vya ubuyu na ice-cream za ubuyu wa mia mia vibiashara ambavyo faida yake haifiki hata Buku tano.
View attachment 2632018
Where did this happen!!?Mpaka vyombo vya Habari vimeliona hili, walimu mjitathimini vinginevyo mtadharaulika mpaka kufa kwenu. Mnachekwa mpaka na watoto wanadai mmekuwa ombaomba kwa kuwaomba wanafunzi wawanunulie Chai muda wa break na wakisema pesa hawana mnawachapa.
Walimu wengi mnawalazimisha wanafunzi wanunue vibiashara vyenu vya ubuyu na ice-cream za ubuyu wa mia mia vibiashara ambavyo faida yake haifiki hata Buku tano.
View attachment 2632018
Kwa hiyo hao wengine wote wana allowance kibao?Hauna uelewa wote kuhusu kipato,mwalimu Hana kipato nje ya mshahara,hao wote wengine Wana allowance kibao na wengine zinazidi mshahara
Tuma picha nione walimu wakiwa na magariInaonesha wazi wewe ilikosa hii ajira. Waalimu hawa hawa au wengine ? Unafika shule ya Msingi kumefurika. Magari ndani ya parking ya Waalimu utafikiri showroom pikipiki hazina idadi .
Halafu Bado anadharau walimu,dahMnazurula = mnazurura, madaftali = madaftari. Watu wengine ni kama vile mna laana au hamkupata malezi mazuri.
Tukiziposti utatupa nini!!?Tuma picha nione walimu wakiwa na magari
Kusomea ualimu hakuna uhusiano wowote ule na ukilaza wako. Wako walimu wengi tu mashuleni waliofaulu vizuri katika ngazi zao zote za elimu walizosoma.Nilikuwa kilaza, nikaenda kusomea ualimu wa shule ya msingi kama Tate Mkuu
Walimu wengi ni waliofeli form four na form sixKusomea ualimu hakuna uhusiano wowote ule na ukilaza wako. Wako walimu wengi tu mashuleni waliofaulu vizuri katika ngazi zao zote za elimu walizosoma.
Changamoto ni hii serikali yako isiyo jitambua! Na ambayo kwa namna moja au nyingine, imechangia kuwafanya walimu wa nchi hii, kudharauliwa hata na watu wasioijua kesho yao.
PoleniWatu wamekasirika sana
Sijafundishwa na mwalimu mimiMkuu basi uwe na adabu hata kidogo na changamoto wanazopitia walimu. Chochote kile unachojivuna nacho wewe hivi sasa kuhusu suala zima la elimu uliyokuwanayo ni zao la walimu.
Duuuh mimi ni mwalimu ,,ila sijawahi kufeli toka darasa la kwanza mpaka chuo kikuu,,so hoja hii sio sahihi nduguWalimu wengi ni waliofeli form four na form six
Unaelewa maana ya kufeli kweli? Mtahiniwa anayetambulika kufeli ni yule aliyepata daraja 0, au F kwenye masomo.Walimu wengi ni waliofeli form four na form six
Unaelewa maana ya kufeli kweli? Mtahiniwa anayetambulika kufeli ni yule aliyepata daraja 0, au F kwenye masomo.
Sasa nikuulize swali, kuna mwalimu aliyeajiriwa serikalini, halafu ana ufaulu wa division 0 kidato cha 4, au cha 6?
Kufeli mtihani sio kufeli kila kitu,tunakariri sana wakati mwingineWalimu wengi ni waliofeli form four na form six
Kwani kima cha chini kwa serikali ni shs ngapi! Na kima cha chini kwa walimu ni ngapi! Acheni upumbafu walimu tuna maisha mazuri mno kuliko hata nyie wafanyakazi wa clouds wanaoishi kwa michongo ya kuombaombaMpaka vyombo vya Habari vimeliona hili, walimu mjitathimini vinginevyo mtadharaulika mpaka kufa kwenu. Mnachekwa mpaka na watoto wanadai mmekuwa ombaomba kwa kuwaomba wanafunzi wawanunulie Chai muda wa break na wakisema pesa hawana mnawachapa.
Walimu wengi mnawalazimisha wanafunzi wanunue vibiashara vyenu vya ubuyu na ice-cream za ubuyu wa mia mia vibiashara ambavyo faida yake haifiki hata Buku tano.
View attachment 2632018
Ahsante kwa kunifungua macho tate.Kusomea ualimu hakuna uhusiano wowote ule na ukilaza wako. Wako walimu wengi tu mashuleni waliofaulu vizuri katika ngazi zao zote za elimu walizosoma.
Changamoto ni hii serikali yako isiyo jitambua! Na ambayo kwa namna moja au nyingine, imechangia kuwafanya walimu wa nchi hii, kudharauliwa hata na watu wasioijua kesho yao.
Tanzania port Authoritie Dar es salama.. muajiriwa wa chini kabisa kila siku ana over time ya 40KKwani kima cha chini kwa serikali ni shs ngapi! Na kima cha chini kwa walimu ni ngapi! Acheni upumbafu walimu tuna maisha mazuri mno kuliko hata nyie wafanyakazi wa clouds wanaoishi kwa michongo ya kuombaomba