Niache Nteseke
JF-Expert Member
- Apr 29, 2020
- 2,162
- 2,616
Mwaka jana mwishoni uongozi wa WCB Wasafi kupitia mwanasheria wao walipeleka barua Clouds Media kuwataka wasithubutu kupiga nyimbo au content yoyote inayomuhusu msanii wa WCB akiwepo Diamond.
Hatua kali za kisheria zitachukuliwa endapo Clouds Media watakiuka maelezo hayo.
Wanajaa sukari mapema kabla hawajajiridhisha 🤣Nashangaa watu wamekula sabuni mapovu yanawatoka tu.
😃😃😃😃😃
Kwa hiyo hata tusiweke tangazo la wadhamini sio?Yaani leo clouds tv wameonyesha chuki ya wazi wazi mara baada ya Diamond kupanda jukwaani
Mbona hujamalizia kuwa wasafi walitaka nyimbo zao zisichezwe clouds mpaka waambiwe kosa lao lililopelekea mwanzo zisichezweMwaka jana mwishoni uongozi wa WCB Wasafi kupitia mwanasheria wao walipeleka barua Clouds Media kuwataka wasithubutu kupiga nyimbo au content yoyote inayomuhusu msanii wa WCB akiwepo Diamond.
Hatua kali za kisheria zitachukuliwa endapo Clouds Media watakiuka maelezo hayo.
Hiyo andika wewe.Mbona hujamalizia kuwa wasafi walitaka nyimbo zao zisichezwe clouds mpaka waambiwr kosa lao lililopelekea mwanzo zisichezwe
Competition za kibiashara hapa kwetu bongo zimekaa "kiuswahili swahili" sana, kuliko kitaalamu zaidi.,ni ushamba uliopitiliza.If indeed true, this is very unprofessional. Joe should know better.
Tatizo sana kama watoto wa mjini wa siku nyingi na washamba wote wanafanya mambo sawa.
Mbona wasafi ndio waliomba kisheria nyimbo zao zisipigwe clouds?Clouds wapuuzi sana, roho mbaya haijengi
Mbona wasafi ndio waliomba kisheria nyimbo zao zisipigwe clouds?
Hii tambia ya CLOUDS TV kuzima matangazo ya mkutano mkuu kila akitajwa Msanii wa WCB wanakata matangazo wana mana gani wadau hii imekaaje mana kama wameaua kurusha matangazo chochote kitachoendelea wanatakaiwa kutupa kila kina choendelea lkn wageni wamepanda jukwaa akina Alikiba ,Billnas na wegne lkn alipopanda Diamond na zuchu walizima matagazo
Nawasilisha hoja wadau imekaae hii
taratibu basi...."tambia, wameaua, wegne, matagazo, imekaae" ndiyo nini sasa?Hii tambia ya CLOUDS TV kuzima matangazo ya mkutano mkuu kila akitajwa Msanii wa WCB wanakata matangazo wana mana gani wadau hii imekaaje mana kama wameaua kurusha matangazo chochote kitachoendelea wanatakaiwa kutupa kila kina choendelea lkn wageni wamepanda jukwaa akina Alikiba ,Billnas na wegne lkn alipopanda Diamond na zuchu walizima matagazo
Nawasilisha hoja wadau imekaae hii