mbona matangazo aloshiriki mondi wanapiga? acha kudanganya watu wale wamejaa roho mbaya na hawajiulizi why tangu waache kupga nyimbo zake ndo anapaa zaidi? wcb waliandika barua wakitaka waambiwe kosa la kutocheza nyimbo zao awali na sio hicho ulichoandika.Mwaka jana mwishoni uongozi wa WCB Wasafi kupitia mwanasheria wao walipeleka barua Clouds Media kuwataka wasithubutu kupiga nyimbo au content yoyote inayomuhusu msanii wa WCB akiwepo Diamond.
Hatua kali za kisheria zitachukuliwa endapo Clouds Media watakiuka maelezo hayo.
Hahhhaha, sasa Clouds ndio walirusha content ya Diamond au walikuwa na lengo la kuhabarisha mkutano wa CCMMwaka jana mwishoni uongozi wa WCB Wasafi kupitia mwanasheria wao walipeleka barua Clouds Media kuwataka wasithubutu kupiga nyimbo au content yoyote inayomuhusu msanii wa WCB akiwepo Diamond.
Hatua kali za kisheria zitachukuliwa endapo Clouds Media watakiuka maelezo hayo.
Karibu mjini.mbona matangazo aloshiriki mondi wanapiga? acha kudanganya watu wale wamejaa roho mbaya na hawajiulizi why tangu waache kupga nyimbo zake ndo anapaa zaidi? wcb waliandika barua wakitaka waambiwe kosa la kutocheza nyimbo zao awali na sio hicho ulichoandika.
Afu hivi vi TV vya Tanzania ni wanafiki wakubwa; vyama vya upinzaji vikiwa na mikutano yao mikuu ya vyama vyao hawasogezi pua; hadi vyama hivi maskini anaamua kurusha online kwa resources zao ndogo; ila kwa CCM wamejazana Dodoma wanapigana vikumbo!!
Kweli kuikomboa nchi hii ni safari ndefu; na yataka moyo maana wanafiki ni wengi.
Anzisha na wewe TV yako ili uwe unamuonyesha muda wote.Yaani nimeona ni ujinga wa mabifu mpaka lini sasa
Daimond anaitwa kutoka kwenye show ya milion 10 Hadi kufikia laki moja hii Ni ishara ya mondi anapoteaYaani leo clouds tv wameonyesha chuki ya wazi wazi mara baada ya Diamond kupanda jukwaani
Huyo atakuwa sio diamond wa wcb.uyo atakuwa diamond wa chanika kwa zooDaimond anaitwa kutoka kwenye show ya milion 10 Hadi kufikia laki moja hii Ni ishara ya mondi anapotea
If indeed true, this is very unprofessional. Joe should know better.
Tatizo sana kama watoto wa mjini wa siku nyingi na washamba wote wanafanya mambo sawa.
Radio yao hawapangiwi,lkn haimpunguzii kitu Diamond always he shines without them.Yaani leo clouds tv wameonyesha chuki ya wazi wazi mara baada ya Diamond kupanda jukwaani
hajaitwa ila ameenda kama wana ccm wengine.Daimond anaitwa kutoka kwenye show ya milion 10 Hadi kufikia laki moja hii Ni ishara ya mondi anapotea
ushabiki mandazi huwapa upofu wajingaKaribu mjini.
Walianza na ZUCHU badae Simba mwenyewe1[emoji1787]Nimewadharau sana clouds ktk hili..
Mkuu mbona tangazo la PEPSI kutanga chupa kubwa Baba Lao wanachezaNashangaa watu wamekula sabuni mapovu yanawatoka tu.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Mbona lile tangazo la pepsi mkubwa wao wanalipiga clouds au hawana namna hapo,wana roho ya kwaniniNaona alivyo maliza kuimba sasa wamerudisha matangazo kutoka Dodoma [emoji23][emoji23]
Walitakiwa warushe tu kwani hapo Clouds walilipwa na Ccm kufanya hivyo haikuwa mapenzi ya clouds TV bali ni kazi waliopewa na Ccm...kwahiyo kama ya mwanasheria wa Diamond kuhoj why wameonesha show ya Diamond hilo wangejibia Ccm kwani wao waliambiwa na Ccm waonsshe matangazo live bila kijali nan yupo jukwani muda huoMwaka jana mwishoni uongozi wa WCB Wasafi kupitia mwanasheria wao walipeleka barua Clouds Media kuwataka wasithubutu kupiga nyimbo au content yoyote inayomuhusu msanii wa WCB akiwepo Diamond.
Hatua kali za kisheria zitachukuliwa endapo Clouds Media watakiuka maelezo hayo.