Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa ulitaka wawe wa kwanza na hawajacheza mechi yoyote ya ligi??? We ni taahira???Nawakumbusha Yanga kuwa Club ya Africain ni ya mwisho kwenye msimamo wa ligi yao kundi B kwa mwaka huu na itashuka daraja bila shaka. Hii timu ni sawa tu na Ihefu hamna kitu. Hapa chini ni msimamo wa Ligi kwa kundi lao leo 9/10/2022View attachment 2411788
Acha kuchechetuka mkuu! Au ulifanya photoshop ukasahau kuweka match played?Nawakumbusha Yanga kuwa Club ya Africain ni ya mwisho kwenye msimamo wa ligi yao kundi B kwa mwaka huu na itashuka daraja bila shaka. Hii timu ni sawa tu na Ihefu hamna kitu. Hapa chini ni msimamo wa Ligi kwa kundi lao leo 9/10/2022View attachment 2411788
Wewe kweli ndezi, yaani unaona kabisa umeandikiwa kabisa kuwa hajacheza mchezo hata mmoja hapo.Nawakumbusha Yanga kuwa Club ya Africain ni ya mwisho kwenye msimamo wa ligi yao kundi B kwa mwaka huu na itashuka daraja bila shaka. Hii timu ni sawa tu na Ihefu hamna kitu. Hapa chini ni msimamo wa Ligi kwa kundi lao leo 9/10/2022View attachment 2411788
Kajifunze kwanza mpira wa miguu ndio uje tena hapa. Utajua hiyo P maanake niniNawakumbusha Yanga kuwa Club ya Africain ni ya mwisho kwenye msimamo wa ligi yao kundi B kwa mwaka huu na itashuka daraja bila shaka. Hii timu ni sawa tu na Ihefu hamna kitu. Hapa chini ni msimamo wa Ligi kwa kundi lao leo 9/10/2022View attachment 2411788
Unadhani kwann wanaitwa mbumbumbu?Elimu elimu elimu,
Sometimes ukimya usaidia kuficha ujinga wako ..match played ni 0 au ujielewi
[emoji38][emoji38][emoji38]Nawakumbusha Yanga kuwa Club ya Africain ni ya mwisho kwenye msimamo wa ligi yao kundi B kwa mwaka huu na itashuka daraja bila shaka. Hii timu ni sawa tu na Ihefu hamna kitu. Hapa chini ni msimamo wa Ligi kwa kundi lao leo 9/10/2022View attachment 2411788
Ujinga ni mzigo acha CCM waendelee kutawalaHawajacheza mchezo hata mmoja, inamaana wakicheza hawawezi kuwa na hizo alama.