yanga mbovu mkuu wakati kila tukikutana nakupasua ukipona draw unashangilia mwaka mzimaUoga wa nini wakati hii mechi sina pressure nayo
Yanga akishinda sitashangaa
Na Club African akishinda sitashangaa pia
Kwasababu wote ni wabovu
hata wa singida na nyau tulikuwepoUto wameuchangamkia sana uzi huu!!
Hspa ndo mnapofeliyanga mbovu mkuu wakati kila tukikutana nakupasua ukipona draw unashangilia mwaka mzima
Mashabiki wa tunisia wameamka
Bangala anaongea na muarabu afu anacheka
Inamaana wanaelewana?
Hapana, wapo na wanaanza kupandisha vibeKuna Kiongozi Wa Yanga alijidanganya Kuwa Mashabiki Hawapo Uwanja Uko Empty
Wamevurugwa hata moto wamesahau kuchoma........shenzi hawaMashabiki wa tunisia wameamka
KwakweliiNipo mtani, tabiri ni mpaka mizimu iamue🤣🤣🤣
Itakuwa Wanaongea kifaransa..Bangala anaongea na muarabu afu anacheka
Inamaana wanaelewana?