zipompa
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 11,432
- 24,596
yanga mbovu mkuu wakati kila tukikutana nakupasua ukipona draw unashangilia mwaka mzimaUoga wa nini wakati hii mechi sina pressure nayo
Yanga akishinda sitashangaa
Na Club African akishinda sitashangaa pia
Kwasababu wote ni wabovu