Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,669
- 8,268
SheitwainHatusafirishi maiti tunazika huko huko, marehemu alikuwa na mdomo sana
Define performance ili tuelewe una maanisha niniMbona tunafahamu, huu utaratibu wa kila mtu kutoa positive thoughts kwa mchezaji baada ya kupata ushindi ni kawaida sana
Akili zako hazina akiliKuna Timu imepigwa ngumi tatu Jana kwa mpigo.
1. Ngumi Singida
2. Ngumi Simba Queen
3. Ngumi Tunisia (Hii ndio imemkimbiza, kizunguzungu) [emoji78][emoji78][emoji78]
Yani hii ndio ngumi ya NDOIGE kila alipoenda imemfuata tu.[emoji2095][emoji2095][emoji2095][emoji2095][emoji2095][emoji2095]
Kwanini unadhani zakwako ni +ve thought ila za wengine sio..?Mbona tunafahamu, huu utaratibu wa kila mtu kutoa positive thoughts kwa mchezaji baada ya kupata ushindi ni kawaida sana
Kwasababu najua usingenibishia kama matokeo yangekuja ndivyo sivyoKwanini unadhani zakwako ni +ve thought ila za wengine sio..?
Nadhani umeshanielewa sasa niliposema unajifanya unajua...kumbe unaongea vapour.Kwasababu najua usingenibishia kama matokeo yangekuja ndivyo sivyo
Furahia ushindi mambo ya performance achana nayoDefine performance ili tuelewe una maanisha nini
Sawa ofsaNadhani umeshanielewa sasa niliposema unajifanya unajua...kumbe unaongea vapour.
Nmekuuliza nipe definition ya performance kwa mchezaji mbona maneno mengiFurahia ushindi mambo ya performance achana nayo
Kama unaona nilichokiandika haki make sense basi sio mbaya ukakipuuza
Nafahamu utaratibu wa mashabiki wa hapa bongo ulivyo, timu ikifungwa ni rahisi sana kuwasikia wakisema "Kocha hatufai", "mchezaji fulani hana kiwango"
Hakuna mshabiki ambaye timu yake imefungwa halafu akatoa pongezi kwa mpinzani.
Mavi yamemwagika mpaka uarabuni dadeqJana singida kawainamisha , mkainama akashindilia hogo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkakukuruka kulichomoa wee likachoka na mavi just[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mamaeee
Hakumfunga lakini!Simba alimtoa Zamalek kwake......
Mkuu na hiyo game makolo alipigwa kimokoMwaka gani?[emoji1787] hatutaki historia
Hiyo mechi makolo alikalia 1-0Tena zamalek ndo alikua bingwa mtetezi
nyenyenyenyePrediction: CA 3-1 Yanga
pole sanaHatusafirishi maiti tunazika huko huko, marehemu alikuwa na mdomo sana
au sioNamuona UTOPOLO akipigwa goli 2 za mapema kabisa kipindi cha Kwanza
bado mna imani nayo eeeKila la heri Club Africain. Tuna imani kubwa nanyi.
Niumie nini sasa maana kwangu grupu stage ni mazoea wewe kwako ilikua ndoto uliyoota kwa muda mrefuSimba ilifungwa na Zamalek wakaenda kwenye penalties Kaseja akaibeba timu, Simba walivyorudi Dar mji ulisimama hayo mapokezi yake na hapo ilikuwa wanaingia round ya Pili na wala siyo makundi.
Yanga imemaliza mechi ndani ya dakika 90 kwa kushinda, kuna tofauti kubwa tu hapo, Yanga haijafungwa hata goli moja na hao Africain.
Ngoja tuandae mapokezi ya mashujaa wetu ili muumie vizuri.