Kiweriweri
JF-Expert Member
- Jan 3, 2012
- 2,150
- 3,086
Aziz Ki hawezi kucheza pamoj na fei toto so akicheza na fei , fei anashuka chini kwahiyo inakuwa ngum fei kumpelekea mpila mbele stricker force FistonMakubwa.. .. ufunguo anasugua benchi.
Chanel gani chief ???Download azam tv app au tazama kupitia www.azamtv.com
Chief channel gani kwenye Azam ?Muda unakaribia imebaki 1.30 tu
Azam sport 3 HDChanel gani chief ???
πππππWanalowaaa
Chief channel gani kwenye Azam ?
πππAzam sports 3HD
πππAzam sport 3 HD
Niliwaambia ili Yanga apate ushindi, namba tisa hapo kwa maana ya striker inabidi acheze mwamposa
π€π€π€πππ
Asantee, nimeweka hapa safiiiAzam sports 3HD
I wish hayo yawe matokeo ya kipindi cha kwanza
Tulia Tazama Soccer SafiNiliwaambia ili Yanga apate ushindi, namba tisa hapo kwa maana ya striker inabidi acheze mwamposa