mjanja wa kijiji
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 1,582
- 4,378
Leo waarabu hawajiangushi hovyo hovyo kama kawaida yao?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
una maana gani kwamba licha ya singida kuwa na ma superstar bado n vilazaTimu zote vilaza
Mmeanza kuwakataaMnacheza na vilaza uto hamna kitu
Jaribu kua muungawana hata kidgo.Kila nikijaribu kuiombea yanga kuna sauti inasema ndani yangu kwamba "USIMJARIBU BWANA MUNGU WAKO". Basi naamua kuitii hiyo sauti mana staki dhambi mimi. Wachezaji wa Yanga wanatamani wangepata ajali kama ile ya precision air ili kuficha aibu yao kwa taifa .
Ball limetembea na mmecheza vizuriumeona tafsiri halisi ya ball linatembea
achana na porojo za mgunda
Wamevurugwa hao Mikiauna maana gani kwamba licha ya singida kuwa na ma superstar bado n vilaza
Waarabu vilaza lakini bado watawatoauna maana gani kwamba licha ya singida kuwa na ma superstar bado n vilaza
Kwaio nikiwa muungwana watafufuka? Nipe mwongozoJaribu kua muungawana hata kidgo.
Watu wamepoteza ndgu zao pale wewe unadhihaki.
hahaha vilaza si wamekutana na mabingwaWaarabu vilaza lakini bado watawatoa
Upo mtani za siku mingi? Huonekani kabis ktk tabiri zako siku hiziAcha masimango
Kuna watu ni Mafala sana, acha tu mkuuJaribu kua muungawana hata kidgo.
Watu wamepoteza ndgu zao pale wewe unadhihaki.