New City
JF-Expert Member
- Apr 17, 2014
- 2,880
- 3,794
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Haya tuambieni mmekaa wapi tuanze kuwaita mbwa..........
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Haya tuambieni mmekaa wapi tuanze kuwaita mbwa..........
Sometimes mnahitaji msemwe na kutambiwa ili mpate morale ya kufanya vizuriKitakacho tokea huko mbele sijui nikwambie au nikuache?
Tupo majumbani, mbwa wapo njeHaya tuambieni mmekaa wapi tuanze kuwaita mbwa..........
Endeleni kubadilisha nyimbo wakati mwaka jana mpaka kwa babu mlienda,mkaharibu pichi ya watu.Kombe la losers linavyopigiwa debe hata sikutegemea
Mtaaibika tena🤣🤣🤣Mnapangiwa lini wa kucheza nao ili tujue kama tunainua tanga kumbe marehemu hakufa alizimia tuu au tuendelee kusubirisubiri labda atadedi kabisa kwenye hatua ya makundi?
Hakika muda umesema. Wamefungwa wa Tunisia kuna watu wako Mapelele wanaumia[emoji23][emoji23][emoji23]Makolo hii Yanga inawaumiza sana vichwa. Yote hii ni propaganda mkiamini kaka yenu hatoboi Tunisia.
Muda utasema
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha wanaochukulia mpira serious na wale wa kubet ndo wanakufa na kuzirai hapo hapo. Ila sie wa kuchonga chonga midomo hata mpira wenyewe sijaangalia huwa hatuaibiki yani wakavuuuuMtaaibika tena🤣🤣🤣
Kule South Africa kulikuwa na baridi sans na kama unavyojua makao makuu ya Club ni dar na Dar nadhani unalijua joto lakeEndeleni kubadilisha nyimbo wakati mwaka jana mpaka mpaka kwa babu mlienda,mpaka mkaharibu pichi ya watu.
View attachment 2411816
Mnabadilisha nyimbo ila nyie mliendea kwa babu mpaka mkalitia taifa aibu kwa vitendo vyenu vya kipuuzi na mkaichoma pichi ya watu.Vyovyote vile
HILI BADO NI KOMBE LA LOOSERS
Hii nisha ijibu leta ingineMnabadilisha nyimbo ila nyie mliendea kwa babu mpaka mkalitia taifa aibu kwa vitendo vyenu vya kipuuzi na mkaichoma pichi ya watu.
View attachment 2411818
[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]Ila watu hatuna dogo wamefunga tupooo kusema wangefungwa ndo wasingelala kabisa. Mungu wao anawapiginia maana wangekuwa loosers square.
Halafu wanajifanya kujisahaulisha draw ya singidaMASHABIKI WA SIMBA WANAONGEA SANA KAMA WANAWAKE WA BAR WALIOPATA DANGA STUPID SANA NYIE SIMBA
Kuliko ule wa kwenu kule South?Kweli Uchawi upo yaani !!