Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
Yanga hakuna mchezaji anaitwa MorrocoFarid Musa in,Morroco out
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yanga hakuna mchezaji anaitwa MorrocoFarid Musa in,Morroco out
Unapingana na kauli ya semaji lenu?Makolo huwa hawana akili
Si tunaongelea ya jana hizo nyingine tutaongelea mda ukifikaWekeni akiba ya maneno kuna mechi zingine mbele.
Mwaka ganiTena Zamalek ndo alikuwa bingwa mtetezi
Huyu manula atakuja kufa kizembeKinachosikitisha mara ya mwisho Simba Kushinda Majaliwa alikuwa bado Mvuvi.
🤣🤣🤣🤣
View attachment 2412076
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hua nikisoma komenti za hizi mechi nachekaga sanaAisee hivi hawa ni waarabu kweli [emoji1787][emoji1787]
Nilijua mnapigwa goli 2+ kumbe miujiza bado ipo!🤣🤣🤣 ila bana hizi mambo hizi bana yaani tumejua kuwalowesha aisee.
Sababu mambo yamekuja tofauti na matarajio yenu.
Mmh 2016 (chini ya Hans) na 2018 (chini ya Lwandamina) ni muda mrefu huo chifu?!Niumie nini sasa maana kwangu grupu stage ni mazoea wewe kwako ilikua ndoto uliyoota kwa muda mrefu
Mlishinda bao ngapi misri?Tena Zamalek ndo alikuwa bingwa mtetezi
Club haziimbi nyimbo za Taifa. Ni National teams pekee ndizo huimba. Hii inaonesha huna/hamna uzoefu kwenye football za kimataifa.
Turudi nyuma kivipi mkuu wakati ni mwiko... 😀 😀 😀Ila twende mbele turudi nyuma Sure Boy ni noma[emoji122][emoji122][emoji122]
Ushabiki wa matusi usini quoteJana singida kawainamisha , mkainama akashindilia hogo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkakukuruka kulichomoa wee likachoka na mavi just[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mamaeee
Muda mrefu upi ikiwa misimu mitano nyuma alishiriki mara mbili mfululizoNiumie nini sasa maana kwangu grupu stage ni mazoea wewe kwako ilikua ndoto uliyoota kwa muda mrefu
Rudi hapaKila nikijaribu kuiombea yanga kuna sauti inasema ndani yangu kwamba "USIMJARIBU BWANA MUNGU WAKO". Basi naamua kuitii hiyo sauti mana staki dhambi mimi. Wachezaji wa Yanga wanatamani wangepata ajali kama ile ya precision air ili kuficha aibu yao kwa taifa .
Mkuu nani prof wa mchongo?Yaani hapo alipoingia ki Aziz ndio alipobugi huyo profesa wa mchongo.. msije sema sikuwaambia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mi mbona simlaumu kocha? Kwanza sina tabia ya kumlaumu mtu kwenye timu waka benchi la ufundi. Ntapitia mtani uweke na pilipili nyingiii iniwashe vizuri
mtani achana na mimiHahahaaa. Nilikwambia kuna mida hutajibu quotes zangu Mtani. 😀😀