Club African watua, Yanga Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un

Dah! πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
We mbwiga kila unachoongea na popoma wako kule juu vinawaumbua. Lakini hamchoki na hamuoni aibu kutwa mnavyoumbuliwa. YANGA hii utaumiza sana moyo wako. Imekujibu uwanjani YANGA sio kama mikia ya bahasha na yule mwamuzi wenu wa mchongo
 
Unapayuka uwe unashirikisha akili wakati mwingine
Umekuwa kichekesho kila kukicha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…