CNN and Coronavirus: Africa in existential threat

Barikiwa sana.
 
Acha kuwa na negativity ?Wewe haujawahi kuchanjwa chanjo yeyote ?Bila chanjo wewe ungekufa kwa surua au ungeshaugua polio. Kwenye chanjo kuna protocols bwana.Acheni kupayuka payuka ujinga.
 
Lakini hata wakitumaliza watagundua hawajamaliza matatizo. Mwisho watagundua wao ndiyo tatizo. Kama ndivyo ujinga wao hauna kifani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata kama una Bima lakini ventilators hazitoshi
Look sisi tunajiingiza kwenye Mega projects lakini hospitali zetu utasema ni machinjio ya wagonjwa
Maji safi na salama hakuna ila tunaenda kununua Ndege kubwa na ghali sana kwa cash
Sijui jamaa anayatafakari haya huko Chattle aliko
..!????
 
Ok kiongozi umeeleweka,lakini sio kutumwa kikohozi bali kupimwa kikohozi!!

Hehehehehe!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiki ndio hata mimi najiuliza. Kwasababu tangu tupate wagonjwa Africa rate ya kufa sio kama Wao walivyopata wagonjwa w akwanza
 
Acha kuwa na negativity ?Wewe haujawahi kuchanjwa chanjo yeyote ?Bila chanjo wewe ungekufa kwa surua au ungeshaugua polio. Kwenye chanjo kuna protocols bwana.Acheni kupayuka payuka ujinga.
Mimi niliugua Surua,Tete kuwanga,mshipa wa ngiri,Kipindupindu,
Chanjo niliyopigwa ilikuwa ni ya Ndui na polio tu
Wakati huo dunia ilkuwa natu wachache na walikuwa serious katika kujilinda na maradhi ila hii dunia ya sasa ni vita ya kumalizana haswa kwetu yaani black race
Inasemekana tumekalia madini na utajiri ambao kuna watu wanautaka.
 
Sijui jamaa anayatafakari haya huko Chattle aliko
..!????
Kama ugali uko mezani kwake na kapewa nguvu na majeshi yote yanamtii hawezi kusikiliza mpaka atoke hapo aje uraiani
 
Tunavyovingapi kweli hivi? Twafaaaaaa
Ndo hicho hicho tu. Hapa kama ulikuwa haujui kusali inabidi uanze kusali. Mungu aingilie kati. Maana Alveolis zikishambuliwa ujue kwa heri
Ventilator moja mpo mia moja mnahitaji. Mungu ingilia kati.
 
Your theory might hold water but let's not get too excited on the African immunity. Tunahitaji kufanya tests zaidi for a conclusive interpretation of the results.
 
Tetekuwanga hata watoto mpaka leo wanaugua,uzuri hiyo sio fatal.Na ukiugua unakunywa panadol tu kupunguza homa wiki mbili unapona na hauugui tena. Ila kipindupindu umeniogopesha. Mimi Surua,tb,polio,menengitis,Hepatit B zote nimechanjwa. Ndui wakati nazaliwa walikuwa hawachanji tena. Ila mliochanjwa ndui mna maalama makubwa begani. Mweh 🤣🤣🤣
 
Chloroquine kama inatibu kwanini ifanyiwe utafiti ni tamaa tu ya makampuni ya dawa
 
duuh mkuu una miaka mingapi!?
hujachanjwa kwa bega?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wapo sahihi. Waafrica ni Mungu tu ndyo anatusaidia. Ila ukiangalia mazingira yetu, huu ugonjwa ungekuwa na nguvu kama ebola, bac tungeisha wote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…