CNN: 'Don't use birth control,' Tanzania's President tells women in the country

CNN: 'Don't use birth control,' Tanzania's President tells women in the country

Siyo mimi sikumsikiliza yeye bali yeye ndiyo hajataka kusikiliza kampeni ya uzazi wa mpango inataka nini. Uzazi wa mpango nia yake ni kila mtu azae watoto anaoweza kuwatunza kama una uwezo wa kutunza watoto 20 vizuri zaa tu. Sasa yeye anasema chapeni kazi na mfyatue watoto tu huu ni upuuzi, utazaaje bila kujipima na kujua uwezo wako wa kulea upoje? Na kwa mfano ukajua unauwezo wa watoto saba utazaaje saba bila usaidizi wa uzazi wa mpango je ukizidisha?

Tatizo hamjaelewa hata kampeni ya uzazi wa mpango ni nini, hatuwezi kuishi kwa kubahatisha tuenende kama mang'ombe sisi ni binadamu. Mungu ametupa utashi na Mungu wetu ni Mungu wa utaratibu lazima tuwe na mpango mkakati katika kila jambo. We have to plan everything maisha yetu lazima yaende kwa mpangilio mimi nilishakataa watoto wa bahati mbaya na wa kushitukizwa najua lini napata mtoto na nani. Siyo umekutana na mwanamke huko hata haeleweki mimba tayari.
Mungu hajaleta uzazi wa mpango ,huu n mpango wa kishetwani tu..Mungu pia haruhusu kulala na mwanamke asiye mkeo,huo n uzinzi any uasherati...njia hz za uzazi wa mpango zina baadhi ya complications ambazo n mbaya sana ...Bhc ty uombe mkeo asipate hata moja
 
Somehow you are missing the point...Rais kama amenukuliwa vema ameweka au kusema na sualaau issue ya kufanya kazi...zaa watoto wengi na ufanye kazi ili uwalishe..point hapa nyingine kubwa ni kwamba Watanzaniatufanye kazi...watoto wakowasikimbilie mijini...uwafanye wafanye kazi huko huko vijijni..wazalishe mali na siyo kuja mijini kuuza soda, tambi, apple, juice za Azam na kadhalika kwenye vituo vya mabasi...
Amenukuliwa akisema hakuna haja ya kutumia vizuizi manaake tuache tu liwalo na liwe jamaa hana elimu kabisa ya afya ya uzazi salama.
 
Mkuu waache wazae tutawaanzishia tuzo ya uzaaji bora.

Huwa najiuliza mtu mmoja watoto kumi ili iweje? Kwani ni sifa? Ukiuliza utaambiwa ooh wazazi wangu wasingezaa wengi nisingekuwepo so what? Usingekuwepo ungepungukiwa nini? Ushajiuliza wasiokuwepo wanashida ipi?

Tuacheni fujo zaa mtoto mmoja wawili au watatu wahudumie vizuri, enjoy maisha yako.
Zaa hao watatu au wawili bila kutumia artificial methods of birth control....zina madhara sana... Mtu kama unaweza kuzaa wawili au watatu bila hzo njia mm nasema n jambo jema tu hata Mungu anabarik
 
FAKE NEWS YA MABEPARI ALICHOSEMA RAIS KAMA UNA UWEZO WA KIFEDHA ZAA TU NA CHA MSINGI ZAIDI AMESEMA WATU WAFANYE KAZI...HIYO YA KUFANYA KAZI MBONA HAWAKUIANDIKA?

Unajua maana ya Fake news au unapayuka tu?
Soma hii quote toka CNN halafu ulinganishe na ulichozungumza:

''Those going for family planning are lazy ... they are afraid they will not be able to feed their children. They do not want to work hard to feed a large family and that is why they opt for birth controls and end up with one or two children only," he said at a public rally on Sunday.

China wana sheria ya kuzaa watoto 1 au 2.Je, Magufuli anataka kutumabia WACHINA NI WAVIVU na ilhali kila siku anaomba misaada toka kwao??
 
Yeye magufuli anayejua kulima na kufuga huku tukimlisha yeye na familia yake yote maisha yake yote ana watoto 2 (wawili tu) huku anawadanganya mamburula wa ccm akina YEHODAYA johnthebaptist na akina ISIS wafyatuane kama vichaa maana hawana hata akili za kulenga tundu la choo!
uzazi ukigoma sio kesi ila ukiwa nao fyatua uwezavyo.Mayai ya uzazi Mungu hakuyaweka kama mapambo yanatakiwa yatotoe.
 
Imeandikwa; "enendeni mkazaliane mkaongezeke mkaijaze dunuia",....... waacheni watu wazaliane wapendavyo, kwani ni agizo la MUNGU na siyo agizo la wanadamu. Waacheni Watanzania wazaliane mpaka mayai ya uzazi yaishe, ninyi CNN hangaikeni na Rais wenu "chizi" Donald Trump!
Hivi ukiacha Bange utapungukiwa nini!!!?
 
Kwani sera ya uzazi wa mpango unasemaje? Mimi ndiyo maana anasema watu hamujui Sera ya uzazi wa mpango inasemaje ndiyo maana mnapinga kitu msichokijua. Rais amesema watu wasitumie vizuizi wazae tu huu ni uzaaji holela. Sera ya uzazi wa mpango ndiyo inayosaidia mtu kuzaa watoto atakao wamudu na kwa wakati alio tayari. Sasa kama Rais hataki uzazi wa mpango halafu anataka watu wazae watoto wanaweza kuwalea which is which? Hamuoni kwamba jamaa hajui anachokiongea? Hivi hamjui kuwa kinyume cha uzazi wa mpango ni uzazi holela wa bahati mbaya yaani mimba iingie wakati wowote ambao hata wahusika hawakutegemea, hapo ndiyo unakuta watoto wanapishana mwaka mmoja mmoja hii kiafya ina madhara kwa mama na mtoto. Tupo humu tunasapoti alichosema Rais bila kupima utafikiri siyo wasomi. Ni wazi elimu ya afya uzazi salama inahitajika nchi hii leo kusingekuwa na hoja hizi kama elimu ya afya ya uzazi ingeanzia kwa Rais mwenyewe. Ipo haja ya kuhakikisha Magu anaelimishwa kuhusiana na kila sera zinazotekelezwa na serikali yake. Hii kauli ni wazi kuwa sera nyingi hazijui hata leo ukimuuliza faida za uzazi wa mpango hawezi kukutajia hata moja hii ni aibu. Kweli taifa hili wasomi ndiyo hawajui elimu ya afya ya uzazi kweli its shame. Ndiyo maana tunasema huko nje lazima watucheke.
Unachokiongea n kweli kabisa sikatai,siungi kuzaa kiholela bila utaratibu lkn pia siungi matumiz ya hz artificial methods of birth controls maana zinaleta madhara makubwa kwa baadhi ya wanawake na wizara ya afya huwa haisemi madhara ya hz njia....sio kila kitu kitokacho ulaya kina lengo jema na sisi ...ndio maana hz njia znapingwa na makanisa na dini zote
 
Hao wanawakimbia watoto wao ndio wafanye birth control maana hawana uwezo wa kuwatunza.
Halafu nimegundua unachangia tuuu hata wala hukumsikiliza Magufuli alicho ongea... una dandia tuu
Hivi umegundua kuwa wewe huangalii msingi wa hoja bali mapenzi yako binafsi kwa Rais? Kama timu yake ya washauri watakuwa kama wewe unadhani itakuwa inamsaidia?
Mtu akiwa na mke wa aina yako hawezi kuendelea na atakabiliwa na aibu kila siku kwani kila akoseapo wewe uta support kwani unawaza dushelele lake tuu
 
Kwani sera ya uzazi wa mpango unasemaje? Mimi ndiyo maana anasema watu hamujui Sera ya uzazi wa mpango inasemaje ndiyo maana mnapinga kitu msichokijua. Rais amesema watu wasitumie vizuizi wazae tu huu ni uzaaji holela. Sera ya uzazi wa mpango ndiyo inayosaidia mtu kuzaa watoto atakao wamudu na kwa wakati alio tayari. Sasa kama Rais hataki uzazi wa mpango halafu anataka watu wazae watoto wanaweza kuwalea which is which? Hamuoni kwamba jamaa hajui anachokiongea? Hivi hamjui kuwa kinyume cha uzazi wa mpango ni uzazi holela wa bahati mbaya yaani mimba iingie wakati wowote ambao hata wahusika hawakutegemea, hapo ndiyo unakuta watoto wanapishana mwaka mmoja mmoja hii kiafya ina madhara kwa mama na mtoto. Tupo humu tunasapoti alichosema Rais bila kupima utafikiri siyo wasomi. Ni wazi elimu ya afya uzazi salama inahitajika nchi hii leo kusingekuwa na hoja hizi kama elimu ya afya ya uzazi ingeanzia kwa Rais mwenyewe. Ipo haja ya kuhakikisha Magu anaelimishwa kuhusiana na kila sera zinazotekelezwa na serikali yake. Hii kauli ni wazi kuwa sera nyingi hazijui hata leo ukimuuliza faida za uzazi wa mpango hawezi kukutajia hata moja hii ni aibu. Kweli taifa hili wasomi ndiyo hawajui elimu ya afya ya uzazi kweli its shame. Ndiyo maana tunasema huko nje lazima watucheke.
Kaa hapo na Sera yako. Hiyo Sera na biblia ama msaafu kwamba haubadiliki?
 
Kwa hiyo kwenu maisha ni chakula tu? Ukishakula ukishiba kinachofuata ni kupandana na kufyatuana tu? Aibu aibu aibu
Basic needs za binadamu ni tatu tu chakula ,malazi na mavazi.Mengine zaidi ya hapo ni kutafuta pressure na na magonjwa ya moyo tu
 
Hebu nitajie mojawapo tu isiyo na madhara half namm ntakuambia madhara yake yote

Tumia kalenda ya hedhi ya mkeo(Mentrual Period Cycle). Hii inaitwa ya asili/NATURAL maana huhitaji kumeza kidonge chochote isipokuwa kucheza na siku za mkeo tu. Kuna mzunguko wa siku 28 kabla mkeo hajapevusha yai la kutunga mimba. Unatakiwa wewe kutofanya tendo la ndoa siku fulanifulani ili kuruhusu hilo yai life na kutoka kwa njia ya damu. Onana na Daktari kwa ushauri nasaha!!!
 
Nenda hospitali zipo njia nzuri zaidi, hata nikikutajia hapa zitasaidia nini wakati mwisho wa siku ni lazima utaenda hospitali.
Nakuuliza HV kwa sababu mm pia Niko ktk sekta hyo ....hospital n kama nyumban sasa unavosema njia hz zko salama 100% nabaki nashangaa sana ila silaumu watz kutokujua madhara yake maana wizara ya afya ktk kampen zake unaongelea faida tu bila kugusia hasara zake.
 
Nafikiri unamaanisha Miradi punguza pressure edit kwanza. Sasa kama kweli unamaanisha miradi hiyo sio nyuzi kwa wajuaji hiyo ndio kazi yake aliyoomba kufanya na tena azindue mingi zaidi kuzindua sio habari. Presidaa kufundisha watu kuzaa wakati sio mtaalam wa afya hiyo lazima imake headlines.
Kwa hiyo wazungu ndio watufundishe? Rais usimushushe kiasi hicho anawajibu Wa kujua hayo mambo.
 
Unachokiongea n kweli kabisa sikatai,siungi kuzaa kiholela bila utaratibu lkn pia siungi matumiz ya hz artificial methods of birth controls maana zinaleta madhara makubwa kwa baadhi ya wanawake na wizara ya afya huwa haisemi madhara ya hz njia....sio kila kitu kitokacho ulaya kina lengo jema na sisi ...ndio maana hz njia znapingwa na makanisa na dini zote
Tumia hata njia za asili mkuu kama mkeo hizo zingine zinamdhuru. Lakini ninachokijua kama moja ikiwa inamdhuru huwa wanabadilisha na kumpatia njia nyingine, artificial methods zina side effects lakini ni kawaida sana siyo to that effects ya kusema bora kutotumia kabisa.
 
Tumia kalenda ya hedhi ya mkeo(Mentrual Period Cycle). Hii inaitwa ya asiliNATURA maana huhitaji kumeza kidonge chochote isipokuwa kucheza na siku za mkeo tu. Kuna mzunguko wa siku 28 kabla mkeo hajapevusha yai la kutunga mimba. Unatakiwa wewe kutofanya tendo la ndoa siku fulanifulani ili kuruhusu hilo yai life na kutoka kwa njia ya damu. Onana na Daktari kwa ushauri nasaha!!!
Kama nilivosema awali ,njia za uzazi wa mpango n changamoto kubwa sana ,ziwe za asili au hz za kizungu zote zina madhara...madhara ya kalenda n kuwa hubadilika sana kutokana na sababu mbalimbali kama vile matumiz ya dawa,mawazo,magonjwa .nk...kubadilika huku kunaweza sababisha ukapata mtoto ambaye hujatarajia....calendar is not a reliable method kabisa maana mzunguko wa mwanamke hauko fixed siku kila mwez
 
Nakuuliza HV kwa sababu mm pia Niko ktk sekta hyo ....hospital n kama nyumban sasa unavosema njia hz zko salama 100% nabaki nashangaa sana ila silaumu watz kutokujua madhara yake maana wizara ya afya ktk kampen zake unaongelea faida tu bila kugusia hasara zake.
Kama upo kwenye secta hiyo unazifahamu njia za asili? Kwanini usitumie hata hizo kuliko kuzaa watoto bila mpangilio lengo hapo ni moja tu kuzuia uzazi holela. Mimi ninawafahamu watu wengi wanatumia njia za asili na wengine njia artificial na wapo vizuri ila ninachojua baadhi ya njia huleta matatizo kwa baadhi ya wanawake
 
Tumia hata njia za asili mkuu kama mkeo hizo zingine zinamdhuru. Lakini ninachokijua kama moja ikiwa inamdhuru huwa wanabadilisha na kumpatia njia nyingine, artificial methods zina side effects lakini ni kawaida sana siyo to that effects ya kusema bora kutotumia kabisa.
Sawa mkuu unachoongea n sawa kabisa kuwa mwanamke akipata madhara watampatia njia nyingne mbadala lkn kina wanawake wanapata madhara makubwa zaid kama cancer za mfumo wa uzazi au kupata leiomyoma/fibroids..HV kwa madhara kama haya hata ukimpa njia nyingnebn kuzd kumuongezea madhara zaidi....ndio maana cancer hz zmeongezeka sana miaka hii kwa wanawake...ukitumia sana zna madhara
 
Back
Top Bottom