CNN: 'Don't use birth control,' Tanzania's President tells women in the country

CNN: 'Don't use birth control,' Tanzania's President tells women in the country

Kama upo kwenye secta hiyo unazifahamu njia za asili? Kwanini usitumie hata hizo kuliko kuzaa watoto bila mpangilio lengo hapo ni moja tu kuzuia uzazi holela. Mimi ninawafahamu watu wengi wanatumia njia za asili na wengine njia artificial na wapo vizuri ila ninachojua baadhi ya njia huleta matatizo kwa baadhi ya wanawake
N kweli mkuu njia za asili zpo lkn kama nilivosema hapi awali,hakuna kundi LA njia za uzazi wa mpango ambalo m 100%free from side effects ..umakin unahitajika ...njia za asili zna madhara yake pia japo sio kama haya kuleta cancer za kizazi!!! Tukumbuke tu hakuna chenye faida kikakosa hasara ...tuwe makini na tutumie bila kuzidisha maana kila sawa n sumu pia ikizidishwa....
 
Sawa mkuu unachoongea n sawa kabisa kuwa mwanamke akipata madhara watampatia njia nyingne mbadala lkn kina wanawake wanapata madhara makubwa zaid kama cancer za mfumo wa uzazi au kupata leiomyoma/fibroids..HV kwa madhara kama haya hata ukimpa njia nyingnebn kuzd kumuongezea madhara zaidi....ndio maana cancer hz zmeongezeka sana miaka hii kwa wanawake...ukitumia sana zna madhara
Sidhani kwamba chanzo cha kansa ya mfumo wa kizazi ni njia za uzazi peke yake kwani kuna watu wamepata walikuwa hawatumii hizo njia.

Kuna njia zenye madhara kidogo mfano withdraw method, hiyo ya calendar, condom etc kwa kuwa upo huko kwenye afya najua utakuwa unazijua hizo za vijiti, vidonge etc
Kila njia ina side effects ila zinatofautiana, inaweza kusoma hata mtandaoni lakini ni vizuri mtu ukakutana na daktari kujua njia gani bora na isiyo na maadhara
 
Kama nilivosema awali ,njia za uzazi wa mpango n changamoto kubwa sana ,ziwe za asili au hz za kizungu zote zina madhara...madhara ya kalenda n kuwa hubadilika sana kutokana na sababu mbalimbali kama vile matumiz ya dawa,mawazo,magonjwa .nk...kubadilika huku kunaweza sababisha ukapata mtoto ambaye hujatarajia....calendar is not a reliable method kabisa maana mzunguko wa mwanamke hauko fixed siku kila mwez
The bottom line ni kwamba kwa njia yoyote ile zaa kulingana na uwezo wako, hakuna haja ya kuendeleza mjadala wa swala ambalo liko wazi kabisa
 
Unachokiongea n kweli kabisa sikatai,siungi kuzaa kiholela bila utaratibu lkn pia siungi matumiz ya hz artificial methods of birth controls maana zinaleta madhara makubwa kwa baadhi ya wanawake na wizara ya afya huwa haisemi madhara ya hz njia....sio kila kitu kitokacho ulaya kina lengo jema na sisi ...ndio maana hz njia znapingwa na makanisa na dini zote

Kwani lazima utumie vidonge?Kuna naturala methods like to abstain sex during Ovulation period, lakini pia kuna KONDOMU hazina madhara yoyote..Tatizo lako unafikri kuwa na watoto wengi ni sifa na utajiri...! Kuna dhana fulani potofu na ya kipuuzi inayosema..KILA MTOTO HUJA NA RIDHIKI YAKE..!!!Huu ni ujuha....hivi mtoto mchanga anakujaje na ridhiki gani wakti wewe ndio unatakiwa kuwajibika kumpatia huduma zote kuanzia Chakula,Malazi,Elimu na Matibabu?. Acheni kutetea upuuzi.
 
Ina maana sana Ummy Mwalimu na team yake watapiga chini ile campaign yao ya uzazi wa mpango?
 
The bottom line ni kwamba kwa njia yoyote ile zaa kulingana na uwezo wako, hakuna haja ya kuendeleza mjadala wa swala ambalo liko wazi kabisa
Hapo n kweli kabisa.....zaa uwezao kuwalea ....ila hakikisha unatumia njia isiyomletea madhara makubwa ya kiafya mkeo ili muwalee watoto wenu mkiwa pamoja....kuzaa wengi na ushindwe kuwalea ni upumbavu wa kiwango cha hali ya juu lkn pia kutumia njia za uzazi wa mpango ambazo huleta matatzo kwa mkeo n hatari pia....tupime
 
The bottom line ni kwamba kwa njia yoyote ile zaa kulingana na uwezo wako, hakuna haja ya kuendeleza mjadala wa swala ambalo liko wazi kabisa
Kabisa mkuu, kama imekuwa shida wazae tu hata 12 tusilaumiane na wala tusisikie mtu analaumu serikali kwa mtoto wake kukosa mkopo au huduma za afya zikiwa juu au ada zikipanda.
 
Lazima ushangilie kwa kuwa unakula chipsi mayai. Unategemea uzae kwa kula chipsi? Vijijini wanakolima na kila vizuri wanazaa hadi 10. Nenda katavi, kigoma, KAGERA, Iringa na ruvuma. Wewe ukipiga kamora tu uko hoi unategemea kuzaa??
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

ELIMU ELIMU ELIMU
KNOWLEDGE IS POWER
 
Ina maana sana Ummy Mwalimu na team yake watapiga chini ile campaign yao ya uzazi wa mpango?

Hiyo ni sera ya mpango wa uzazi kwa sasa. Ummy Mwalimu na Jiwe wanaweza kukaa na wakatengeneza Sera nyingine mpya kwa kuifuta hii na kuingiza hii ya KUFYATUA WATOTO BILA MPANGO......maana kwa utawala huu chochote kinaweza tokea!!!Yajayo yanafurahisha.
 
Kwani lazima utumie vidonge?Kuna naturala methods like to abstain sex during Ovulation period, lakini pia kuna KONDOMU hazina madhara yoyote..Tatizo lako unafikri kuwa na watoto wengi ni sifa na utajiri...! Kuna dhana fulani potofu na ya kipuuzi inayosema..KILA MTOTO HUJA NA RIDHIKI YAKE..!!!Huu ni ujuha....hivi mtoto mchanga anakujaje na ridhiki gani wakti wewe ndio unatakiwa kuwajibika kumpatia huduma zote kuanzia Chakula,Malazi,Elimu na Matibabu?. Acheni kutetea upuuzi.
Unakosea kusema njia za asili hazna madhara kwa MTU aliyeamua kupanga uzazi na mkewe....mfano,abstinence method hii n ngumu kwa wanaume walio weng kulala na mkewe na asimguse kwa siku takriban sita(from 10-16days),hali hii huweza sababisha mwanaume kuchepuka na kumletea magonjwa kama ukimwi na mengne mkewe...condom is not flexible ktk kutumia kwa sababu inaounguza sexual pleasure hasa kama MTU alizoeabkutembea na mkewe bila kinga,kutumia condom huwa na ugumu fln na sio tu kwa ambao wameoa Bali pia wanaozin kabla ya kuoana,condom weng hupata ugumu kutumia...calendar method is not reliable maana hubadlka kila Mara kutokana na sababu mbalimbali ,hali inayoweza kusababisha ukampa mimba mkeo bila kutambua...withdrawal method yaan njia ya kuchomoa uume ukeni kabka ya kumwaga sio njia ya kutegemea maana kwanza n ngumu kuchomoa hasa mwanaume akishafika kileleni maana hapo ndipo utamu ulipo ,pia kikanisa sio vzur kumwagia chini mbegu zako,pia n ngumu sana kumwaga mbegu zote bila hata chache kumuingia mkeo so inaweza Fanya mkeo apate mimba bila nyie kupanga....
Sasa kwa madhara hayo bado unaona njia asilia n za kutegemea??
Kwa upande wa njia za kisasa madhara n makubwa zaidi ,najua unayajua hata sipaswi kuongea sana...
NB: Mm sifungaman na upande wowote ule maana ziwe za asili au za ulaya zina faida na hasara zake
 
Kabisa mkuu, kama imekuwa shida wazae tu hata 12 tusilaumiane na wala tusisikie mtu analaumu serikali kwa mtoto wake kukosa mkopo au huduma za afya zikiwa juu au ada zikipanda.
Kabisa mkuu, wasitegemee kuwalilia ndugu au serikali maana rais haja outline policy yoyote itakayoweza ku accomodate population growth, yeye kasema fyatua bila kuainisha mpango mahsusi wa serikali kuhusu afya, elimu, maji, umeme, usalama wa lishe na chakula na mambo mengine ya kiuchumi na kijamii kwa hao watoto watakaofyatuliwa
 
Hiyo ni sera ya mpango wa uzazi kwa sasa. Ummy Mwalimu na Jiwe wanaweza kukaa na wakatengeneza Sera nyingine mpya kwa kuifuta hii na kuingiza hii ya KUFYATUA WATOTO BILA MPANGO......maana kwa utawala huu chochote kinaweza tokea!!!Yajayo yanafurahisha.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] et kufyatua bila mpango....if bhn ..raha sana
 
international exposure
Kweli wewe ni kilaza kweli; what is intl exposure for without considering own nation's interest? Ninakushauri uwaulize wajapan na waswizi juu ya sera yao wa sasa ya kuongeza watu (kuzaliana). Waswahili mnasoma kwa kukariri, mnaishi kwa kukariri (intl exposure!) na kisha maisha yenu yanakuwa tainted na uwakala/kuwa vibaraka.
 
Kweli wewe ni kilaza kweli; what is intl exposure for without considering own nation's interest? Ninakushauri uwaulize wajapan na waswizi juu ya sera yao wa sasa ya kuongeza watu (kuzaliana). Waswahili mnasoma kwa kukariri, mnaishi kwa kukariri (intl exposure!) na kisha maisha yenu yanakuwa tainted na uwakala/kuwa vibaraka.
Duuuh ..umetumia lugha Kali sana....kwann usimueleweshe polepole tu badala ya kumuona yy hajui kitu?? Huku jf tunatofautiana uelewa
 
He is african president..exposure ndio itajenga sgr, exposure itanunua ndege..zamani hakukuwa hata na madawa ya uzazi..siku hizi imekuwa mateso kwa wanawake..mara kansa za mlango wa uzazi, mara fibroids..lengo ni kuendelea kupunguza waafrika..huku unaambiwa usizaliane..unapewa dawa za kumalizwa..
Harafu kitu kingine wasichokijua watu ni kuwa,Magu alisema kama huna uwezo wa kuwatunza na unaiona kabisa hali yako hairuhusu fanya uzazi wa mpango ila kama unauwezo wa kuwalea we zaa tu hata 100 kikubwa tu ni kuweka interval nzuri kati ya mtoto na mtoto
Magu anachokikataa ni kuwa sisi tunapewa uzazi wa mpango na tuko watu wachache wao wako wengi na idadi kubwa ya watu ni tool muhimu sana kwenye maendeleo hasa soko na nguvu kazi.......leo hii wanawake wengi wana kansa sababu ya madawa yao hayo ni bora hata wangesisitiza kwenye uzazi wa mpango wa asili usiotumia dawa
 
Lakini amesema kama unaweza kuzaa zaa maana hospitali na vituo vya afya vipo kwa ajili ya kutoa huduma ila kama huna uwezo kiuchumi punguza speed. Tatizo tu labda kuzungumzia issue ya uzazi wa mpango kwamba afagilii otherwise alichokisema ni moja ya msingi wa uzazi wa mpango ambao unasisitiza kuwa na familia ambayo unaimudu japokuwa watanzania wengi wanaamini kuwa na watoto wawili ama watatu ndio uzazi wa mpango kumbe hata mwenye watoto 6 kama ni maamuzi ya wazazi na wameona wana uwezo wa kumudu kuwahudumia bado ni uzazi wa mpango pia
 
Unakosea kusema njia za asili hazna madhara kwa MTU aliyeamua kupanga uzazi na mkewe....mfano,abstinence method hii n ngumu kwa wanaume walio weng kulala na mkewe na asimguse kwa siku takriban sita(from 10-16days),hali hii huweza sababisha mwanaume kuchepuka na kumletea magonjwa kama ukimwi na mengne mkewe...condom is not flexible ktk kutumia kwa sababu inaounguza sexual pleasure hasa kama MTU alizoeabkutembea na mkewe bila kinga,kutumia condom huwa na ugumu fln na sio tu kwa ambao wameoa Bali pia wanaozin kabla ya kuoana,condom weng hupata ugumu kutumia...calendar method is not reliable maana hubadlka kila Mara kutokana na sababu mbalimbali ,hali inayoweza kusababisha ukampa mimba mkeo bila kutambua...withdrawal method yaan njia ya kuchomoa uume ukeni kabka ya kumwaga sio njia ya kutegemea maana kwanza n ngumu kuchomoa hasa mwanaume akishafika kileleni maana hapo ndipo utamu ulipo ,pia kikanisa sio vzur kumwagia chini mbegu zako,pia n ngumu sana kumwaga mbegu zote bila hata chache kumuingia mkeo so inaweza Fanya mkeo apate mimba bila nyie kupanga....
Sasa kwa madhara hayo bado unaona njia asilia n za kutegemea??
Kwa upande wa njia za kisasa madhara n makubwa zaidi ,najua unayajua hata sipaswi kuongea sana...
NB: Mm sifungaman na upande wowote ule maana ziwe za asili au za ulaya zina faida na hasara zake
Inahitajika commitment siyo kitu rahisi ndiyo maana wengi huopt njia za uhakika za hospitali ambazo zina complications kidogo za hapa na pale. Sasa kama hutaki complications inabidi uwe na commitment ya kutosha kutumia hizo njia za asili hasa calendar methods na withdrawal methods la sivyo uamuzi ni wako kujicommit au kuzaa tu ili mradi, remember hakuna kitu kisicho na challenge mchakato mzima wa maisha ni changamoto na matatizo na hayo ndiyo maisha. Sidhani kama ulitegemea huko kwenye uzazi wa mpango ndiyo kuwe smooth kumbuka hizo ndiyo njia zinazotumika dunia nzima China, Marekani etc kwa hiyo ni kuwa makini na kuwa committed tu.
 
Inahitajika commitment siyo kitu rahisi ndiyo maana wengi huopt njia za uhakika za hospitali ambazo zina complications kidogo za hapa na pale. Sasa kama hutaki complications inabidi uwe na commitment ya kutosha kutumia hizo njia za asili hasa calendar methods na withdrawal methods la sivyo uamuzi ni wako kujicommit au kuzaa tu ili mradi, remember hakuna kitu kisicho na challenge mchakato mzima wa maisha ni changamoto na matatizo na hayo ndiyo maisha. Sidhani kama ulitegemea huko kwenye uzazi wa mpango ndiyo kuwe smooth kumbuka hizo ndiyo njia zinazotumika dunia nzima China, Marekani etc kwa hiyo ni kuwa makini na kuwa committed tu.
Umeongea vema mkuu....kula tano popote ulipo .
 
Back
Top Bottom