Bright Smart
JF-Expert Member
- May 4, 2011
- 643
- 312
Hilo tangazo lipo kwenye mabango, magazetini, majaridani, redioni, runingani na kwingineko na hao wasanii ndo wahusika tu?
Majina kuandikwa kwenye makopo ya soda yaliyo kama zawadi ndo matangazo ya biashara?
wewe unajua matangazo ya biashara ni nini labda kwa uelewa wako!!??
Tangazo la biashara ni tangazo ambalo linatangaza biashara ya mtu au kampuni kwa umma.
basi umeshajipatia jibu mkuu, kumbe unajua ila unakua mbishi tu mpaka unabishana na uelewa wako!!!
yap ni sehemu mojawapo ya matangazo ya biashara ndio maana wakayaandika hayo majina, vinginevyo wangeyaacha hayo makopo plain tu...Sasa majina kuandikwa kwenye makopo ya soda yaliyo kama zawadi ndo matangazo ya biashara?
yap ni sehemu mojawapo ya matangazo ya biashara ndio maana wakayaandika hayo majina, vinginevyo wangeyaacha hayo makopo plain tu...
Pwa ha ha ha haaaa
Unachekesha kweli wewe.
Watu wamepewa hayo makopo kama token tu na si kwamba ukienda madukani utakutana na chupa za Coca-Cola zenye jina la Le Mutuz na hutaona bango lenye picha yake akiwa kashikilia chupa ya Coke yenye jina lake halafu bado wewe unaona hilo ni tangazo la biashara?
You are pathetically comical.
mkuu you are the one who is pathetically comical, kama lisingekua tangazo la biashara wasinge tangaza kwenye media kwamba wametoa zawadi za kopoz kwa watu hao na picha zao juu...
Nyani Ngabu
Wewe umejuaje walimpigia simu? Ulikuwepo wakati wanampigia hiyo simu?
KUTOKUWEPO HAKUMAANISHI KUTOKUJUA
Alishikiwa bunduki wakati wanampigisha hiyo picha?
NDIO MAANA ALIKATAA KWENDA
Sasa walipomwambia hivyo kwa nini hakuwakataza wasiliandike hilo jina analodai ni lake?
WALIANDIKA KWANZA NDIO WAKAMUITA
Kama unadhani sawa maana kudhani tu hakuna shida. Na kwa vile umesema unadhani maana yake ni kwamba hujui Coca-Cola waliongea nini na hao watu.
WATU GANI? WOLPER MATHIBITISHA HAUKUONGEA NAO CHOCHOTE ZAIDI YA KUMPIGIA SIMU AKACHUKUE KOPO LENYE JINA LAKEKWENYE UZINDUZI WAO
Umefikia hili hitimisho baada ya kusikia toka pande zote zinazohusika au umelifikia kutokana na unachokisoma tu kwenye mitandao ya kijamii?
TUNAJUA MAMBO KWA KUSIKIA NA KUSOMA, NOT NECESSARY TOBE THERE
Sawa.
BASI SAWA
Huku ni kusadiki tu sasa maana hujui kama hayo majina yameongeza mauzo ya Coca-Cola. Kama unajua niwekee takwimu hapa.
SIJAONGELE LAZIMA YAONGEZE MAUZO, KWA MARKETING HII NI DHAMIRA YA KUONGEZA SALES
Na watu wako wengi vilevile
NA WOLPER NI MIONGONI MWA HAO WATU WENGI
Mkuu unauelewa finyu sana kuhusu mambo ya marketing and salesPwa ha ha ha haaaa
Unachekesha kweli wewe.
Watu wamepewa hayo makopo kama token tu na si kwamba ukienda madukani utakutana na chupa za Coca-Cola zenye jina la Le Mutuz na hutaona bango lenye picha yake akiwa kashikilia chupa ya Coke yenye jina lake halafu bado wewe unaona hilo ni tangazo la biashara?
You are pathetically comical.
Huwezi kujibu kwa vipande vipande kama nilivyofanya mimi?
Hivi ulivyojibu inanichanganya bana.
Natumia mchina
Mkuu unauelewa finyu sana kuhusu mambo ya marketing and sales
So nihaki yako kabisa kuamini unachoamini
kwanza unajichanganya sijazungumzia kwamba waliopewa zawadi ni wasanii tu la hasha, waliopewa zawadi ni watu wenye majina maarufu katika jamii ambayo ni target ya kutangaza katika soko bidhaa hii, halafu pia sijaona watu wa kawaida wakisema wamepewa zawadi za kopo kama walivyofanya hao super stars!!!Kwa hiyo waliopewa zawadi za hizo kopo ni wasanii tu na hakuna watu wa kawaida wasio wasanii?
wolper bana... Njaa kali.. Sasa simple kweshen ana hati miliki ya hilo jina???? From there ndo unaweza ku'claim... Ingekuwa picha sawa.. Ila jina.. No way.. Sio registered brand.. Hakuna mwana wa sheria atakayeshulika na upuuzi huo.. Ndo maana kila siku mnashauriwa fanya jina lako kuwa brand na lisajili.. Kama unaoona wolper wapo wengi we ongeza tu iwe woolper kuleta utofauti then sajili... Mbweha wewe!!!!