Code zinaanza kufunguka

948 si juzi tu kijana? Soma kijana usiwe mvivu kusoma. Usinhgojee kila kusomea na kujazwa ujinga tu.
Unaambiwa "The history of Africa before 1948" yaani ikimaanisha "Historia ya Afrika kabla ya mwaka 1948" wewe unasema ni juzi tu.

Maisha ya kabla ya mwaka 1948 kurudi nyuma unawezaje kuyaita ni ya juzi tu, ukiulizwa habari za 1901 ulikuwepo wewe?

Elimu huna, ndiomaana unashindwa kuelewa tittle ndogo kama hiyo.
 
"title".

Wabantu ni wakuja mashariki ya Afrika, wanatokea magharibi huko.

Kafanye homework yako vizuri,
 
"title".

Wabantu ni wakuja mashariki ya Afrika, wanatokea magharibi huko.

Kafanye homework yako vizuri,
Thibitisha kuwa hii sehemu yote ya Mashariki ya Africa ilikuwa ni Zanzibar, kama ambavyo ulisema kule juu na ilikuwake mkaja kuwa merged na Tanganyika (taifa la wabantu wa kuja)..?
 
Thibitisha kuwa hii sehemu yote ya Mashariki ya Africa ilikuwa ni Zanzibar, kama ambavyo ulisema kule juu na ilikuwake mkaja kuwa merged na Tanganyika (taifa la wabantu wa kuja)..?
Kama shule ulienda kusomea ujinga ni tatizo lako siyo langu.
 
Nnachoona jua Mimi Kwa Sasa mwanasheria wangu KIBATARA anakesi nyingi anazozisimamia zinamshughulisha ngoja amalizane nazo kwanza then ntakuja kujibu na kuchangia hoja mkuu
 
Eleza wewe maana ya msemo huo unaotaka kupindisha hapa.
Hata lugha ya kiswahili nayo inakupa shida, ni kipi sasa ulicho nacho ujuzi. Najua sheria ndio huna kitu ndiyo maana hata hukuweza kuwa ndani ya TLS.
Kuishi kwa utapeli tapeli kuna mwisho wake.
Urefu wa kamba ni kuridhika na kile unachokipata kihalali.
 
TICTS walikuwepo lakini mkataba wao ulikuwa unaiumiza nchi, wataalam wakaamua kuuvunja ili Tanzania ifaidike.

DPW imekuja na mkataba unaofaidisha nchi pia teknolojia zao zipo juu.
 
Machungu pekee ni hayo yanayo wasubiri nyinyi. Mtatoka kwa aibu kubwa na inawezekana mkaburuzwa mbele za sheria na kunyang'anywa mali mlizo iba.
Mwizi na mtenda maovu hata siku moja hawezi kuishi bila ya machungu.
Endelea kuota ndoto mbaya zinazouumiza moyo wako.
 
Urefu wa kamba ni kuridhika na kile unachokipata kihalali.
Hiyo ni tafsiri yako inayoinayo zidi kudhihirisha nia yenu mbaya kwa waTanzania.
Maana yenu ni kwamba waTanzania "waridhike" na hicho kidogo wanacho kipata na kuwa watwana; na nyinyi muendelee kuzoa mali zao bila kuhojiwa na yeyote!

Hovyo kabisa!
 
TICTS walikuwepo lakini mkataba wao ulikuwa unaiumiza nchi, wataalam wakaamua kuuvunja ili Tanzania ifaidike.

DPW imekuja na mkataba unaofaidisha nchi pia teknolojia zao zipo juu.
Basi kama TICTS waliondolewa kwa sababu hizo, hawa DPW wawe wa kawanza kabisa kufungashiwa virago mara tu Samia atakapo ondolewa. Mizengwe yote iliyo tumika kumleta huyo DPW inatosha kabisa kumtupilia mbali.
 
Mimi sioti ndoto mbaya kwa sababu nayapinga maovu mnayo fanya.
Wenye ndoto mbaya ni nyinyi, ambao sasa kila kukicha hamna uhakika mtafika kesho.
Huoni hofu kuu iliyo wazingira kila mahali?
Hakuna hofu kwenye masuala ya mikataba ya kimataifa, inahitajika elimu pana kwa maana ya kujua kwa kina nini kinasainiwa.

Na huo sio mkataba wa kwanza kwa serikali kusaini, tulidanganywa na mpaka maaskofu wakaingia kichwakichwa kusambaza waraka makanisani, kumbe hakuna kampuni au taasisi yenye uwezo wa kuzuia serikali isifanye uwekezaji na taasisi nyingine kwenye suala zima la bandari.

Elimu ni silaha ukiwa nayo.
 
Basi kama TICTS waliondolewa kwa sababu hizo, hawa DPW wawe wa kawanza kabisa kufungashiwa virago mara tu Samia atakapo ondolewa. Mizengwe yote iliyo tumika kumleta huyo DPW inatosha kabisa kumtupilia mbali.
Upana wa biashara anayoifanya DPW hakuna wa kumuondoa. Nimekwambia alianza kusaini mikataba na Tshisekedi kule DRC akaja kusaini na Kagame kisha akamalizia na SSH.

Haupo uwezekano wa nchi tatu tofauti zenye marais watatu tofauti wasiojua nini wanachokifanya.
 
Nani kati yenu mama na wewe anayo hiyo elimu unayo izungumzia, maana naona wote ni vihiyo tu. Kazi muhimu mnayo ijua ni kufisadi tu na kuwadharau waTanzania. Hakuna a ziada mnalofanya sasa hivi.

Haya unayo yaandika hapa kwa kurudiarudia ni kama unajipotezea muda tu, maana hakuna hata moja linalo eezea jambo la kumfanya mtu atumie akili kulitafakari.

Kwa mfano, tazama huo mstari wa kwanza: "Hakuna hofu kwenye masuala ya mikataba ya kimataifa, inahitaji eimu pana kwa maana ya kujua kwa kina nini kinasainiwa". Halafu mikataba yenyewe hata bunge hawatakiwi kuikagua; kila kitu kinafanyika gizani ili pasihojiwe chochote; mradi tu hao wanaojitambulisha kuwa na "elimu pana" FEKI madudu yao kwenye hiyo mikataba yasitambuliwe.
Sasa kila jambo ni siri. Juzi Gesi imegawiwa wajomba huko Ntorya Mtwara, kimya kimya; eti "elimu pana" imetumika!
Huu ni upumbavu wa aina gani huu.
Sasa hao hao wa "elimu pana" wanawekwa kuwa wakuu wa Sheria ili mikataba hovyo ipite bila ya pingamizi.

Kama nilivyo sema awali, mwisho wa siku, mnastahiri kupata haki yenu kwa maovu haya mnayo yafanya sasa hivi kwa nchi hii.
 
Hata asipo ondolewa yeye, uchafu uliomleta ni lazima usafishwe; hilo ndilo la kwanza. Na zaidi ya hivyo; kazi inayoweza kufanywa na waTanzania ni lazima ifanywe; hatuwezi kusubiri miaka 30 kama hatuna akili vichwani. Miaka mitano anafanyiwa tathmini ikionekana kuna umuhimu wa kurudisha hizo kazi kwa waTanzania walio tayari kuzifanya kwa ufanisi, anaondoka. Mapori yetu mnayogawa, wananchi watapanda miti tuvune hizo 'carbon credits' sisi wenyewe.

Kongo na Rwanda hawana tatizo; wanachotaka ni uanisi tu wa kazi hapo bandarini bila kujali nani anaifanya hiyo kazi.
 
Kihiyo ni wewe unayelialia kila serikali inapoingia mkataba wa kibiashara. Ukaenda kutafuta mwanasheria kutoka Kenya ambaye ni kihiyo mwenzako mkadhani mnaweza kuishinda serikali inapokuwa na lengo lake.

Ungekuwa na uelewa wa nini kinachoendelea usingetanguliza wazo la kupinga kwanza kinachokusudiwa kufanywa, ungetanguliza nia ya kutaka kwa kina kufahamu ni kipi kinachokwenda kufanyika.

Hamza ni kichwa kweli kweli, waulize wengi serikalini watakupa ushahidi mwingi tu.
 
Fuatilia ni kiasi gani cha pesa kinaingia hazina kila mwezi kutokana na DPW na Adani kuendesha bandari yetu, kabla ya kubweka kama mbwa asiye na mwenyewe.
 
Kihiyo ni wewe unayelialia kila serikali inapoingia mkataba wa kibiashara. Ukaenda kutafuta mwanasheria kutoka Kenya ambaye ni kihiyo mwenzako mkadhani mnaweza kuishinda serikali inapokuwa na lengo lake.
Nilikwisha kwambia mara kadha humu JF, huyo unaye nihusisha naye hata simjui na wala sijui anashughulika na maswala yapi hasa. Pengine itakusaidia kidogo ukimweleza huyo mtu, maana mimi sihusiki kabisa naye na shughuli zake. Maswala haya ni ya hatari, usije ukawa unamwingiza kwenye matatizo yasiyo muhusu yeye.

Serikali inapoingia kwenye mikataba mibovu kama mnavyo fanya nyinyi, unataka watu wasiseme kitu?Mikataba ya kibiashara ni lazima iwe ya kiwizi wizi; kwamba watu hawatakiwi kujuwa chochote juu yake?
Ungekuwa na uelewa wa nini kinachoendelea usingetanguliza wazo la kupinga kwanza kinachokusudiwa kufanywa, ungetanguliza nia ya kutaka kwa kina kufahamu ni kipi kinachokwenda kufanyika.
Serikali inapo kosa uaminifu kwa wananchi wake kama hii yenu, usitegemee watu wanyamaze. Mikataba ya siri siyo sehemu ya serikali kuwa na uwazi na wala haihusiani kivyovyote na utawala bora. Hii yenu imekuwa ni serikali ya majizi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…