MO11
JF-Expert Member
- Mar 23, 2014
- 19,057
- 39,387
Imani yangu ni kwamba imani ni kificho cha ujinga.
kwa kuwa imani ni kificho cha ijinga hata wewe unaamini na imani yako ni kificho cha ujinga pia kama imani yako invyokwambia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imani yangu ni kwamba imani ni kificho cha ujinga.
Kiongozi, jamaa hana analo lifahamu zaidi ya kubisha bila ya ushahidi. Kama yupo tayari kuumbuliwa kisayansi na kiintelejensia. Mwambieni afanye mjadala na mimi.Kaazi kweli kweli ......
Ngoja waje wengine ambao wataweza kujadiliana na mtu ambae anajibiwa halafu anarudia kitu kile kile kuuliza ....
Kumbe Ishmael anakuweza sana wewe .......
Kila la kheri .....
Kwaheri ............!!!
Sidhani hata unaelewa ulichoandika!
Kiongozi, jamaa hana analo lifahamu zaidi ya kubisha bila ya ushahidi. Kama yupo tayari kuumbuliwa kisayansi na kiintelejensia. Mwambieni afanye mjadala na mimi.
umefika makanisa mangapi ukakuta hayo masanamu ?
kwa nini mnageukia saudia au mungu wenu ndipo alipo ??
mwezi na nyota maana yake nini kwa nini ndio symbol yenu au ndio miungu yenu ??
Kiongozi, jamaa hana analo lifahamu zaidi ya kubisha bila ya ushahidi. Kama yupo tayari kuumbuliwa kisayansi na kiintelejensia. Mwambieni afanye mjadala na mimi.
Muhammad, anajiita eti yeye ni Mzungu. Makubwa haya.Wewe wacha porojo, wewe mwenyewe unaabudu sanamu la mzungu.
Katafute Paran ni wapi kutoka kwenye biblia kisha uje kusema hapa.
Unashangaa nyota na mwezi hushangai msalaba kuwa ni symbol ya Ukristo ambao hata biblia imemezwa kila atundikwae ana laana! Unasikitisha sana.
Ok then ..........!!
Umejuaje kwamba mungu yupo na ukomo wake ninyeye mungu mwenyewe nhe ya speculations zisizo na mantiki?
Unahitaji kuwa mungu ili kujua ukomo wa mungu ni nini. Wewe mwanadamu ambaye hujawahi kuwa mungu umejuaje ukomo wa mungu?
Na mungu mwenye ukomo ana tofauti gani na kiumbe mwenye akili ya kutuzidi tu lakini asiyejua na kuweza yote?
Ukishasema mungu ana ukomo ushakubali kwamba uwezo na ujuzi wake una mwisho.
kwa kuwa imani ni kificho cha ijinga hata wewe unaamini na imani yako ni kificho cha ujinga pia kama imani yako invyokwambia
Kwahiyo na wewe kuamini kuwa hakuna Mungu ni kificho cha ujinga?au sijaelewa.
jaman kiranga kwann humpend Mungu kiasi hiki na unampinga sana? kakukosea nn? ivi ikija tokea akawepo kweli ukamkuta utasema nn kaka angu?
Mimi ni mtu ambaye nampenda mu gu sana.
Kuliko unavyofikiria.
Ningependa mungu awepo. Akiwepo, ultimately reaponsibility ya kila kitu ipo kwake. Maana yeye ndiye mwe ye mikoba yote na kaumba vyote.
Kwa hiyo ma hlobal warming, ma Ebola, ma Tsunami yote yanakuwa si mzigo wa mwanadamu. Ni mzigo wa mungu. Mwanadamu anakuwa kipande kidogo tu cha mchezo.
Lakini hata nikimpenda vipi mungu. Hili haliondoi ukweli kwamba kama hayupo, hatuwezi kisema hayupo.
Siwezi kujifariji kwamba mu gu yupo, ni mwema na ana nguvu zote na mimi nionbe na kyimba tu wakati manyiki yote inao esha kwamba hayupo.
Umeulizwa na ukaambiwa usije kukataa, na siku ya hesabu hutolalamika hata chembe kwani utakumbuka ulichoulizwa.
Hivi wewe ukiwa unafanya mtihani halafu ukasahau ulichofundishwa unataka Mwalimu akupe jibu kabla ya kumaliza mtihani? Unanshangaza!
Freedom of choice ya kujiamulia upendavyo kujitengenezea utakacho lakini viwili vitatu kakunyima. Kujuwa kesho, kuumba na kufa ni baadhi ya usivyokuwa na uwezo navyo, hata ufanye nini, sasa jiulize kwanini huna uwezo huo.
Umejistukia kuwa umechemsha eeh?
Nontheism Lies, Misconception, Misrepresenting BUSTED AND DEBUNKEDSiamini katika kuamini.
By Kiranga
Kabla ya kuniambia mungu ananipenda, tafadhali thibitisha kwamba yupo.
By Kiranga
Hujaelewa/ unakwepa swali, siulizi mungu wangu, nauliza mungu wako.
By Free ideas
God is a complicated entity which requires a much more certificated explanation ..........
It can't be better than this.
By Kiranga
Sitaki kuamini, nataka kujua.
Sijashindwa kuthibitisha uwepo wangu, wewe ndiye umeshindwa kutaja framework na margin of error.
Uthibitisho wowote ambao hauna defined domain/ framework and margin of error ni ubatili.
By Kiranga
I can barely tolerate it for practical reasons linked to it's current inescapable nature as pointed above. That is, in order to eradicate it, one has to barely accommodate it, and converge towards it's gradual eradication methodically.
Experimentation, peer review and observation in a corrective and critically reflective culture (the opposite of faith) would eventually converge towards less belief and more knowledge.
That is how science advances.
By Kiranga
I am allergic to belief.
I would rather know, thank you very much.
HUYOOOOO kesha anza kuonyesha tatizo katika UONGO WAKE WA ALLERGY
By Kiranga
Inherently I do not have a problem with faith.
....
Here is where some choose to have total faith in an invisible god while others choose to have only a minimal amountn of faith based on.rationality and gradually converge towards knowledge.